Kamanda Muliro kajichanganya kuhusu sakata la Sativa kwenye Kongamano la TLS?

Huwajui polisi wa Tanzania
Kwa mfano
Polisi hawahawa walimuua Mkurugenzi wa zamani wa usalama wa Taifa.

Polisi hawahawa waliwaua wafanyabiashara wa madini kutoka morogoro.

Polisi hawahawa walimuua mfanyabiashara wa Mtwara na kesi ipo mahakamani.
Hata ingekuwa kweli huyo Sativa ana hadhi gani labda ya hadi polisi wakusanye resources zao kutaka kumuua ? Mbona hamna kitu pale
 
Nani yupo sawa Muliro au Sativa. Sativa alisema katekwa na Washkaji na Muliro kadai wao ndio walimuokoa alivyotekwa. Swali linakuja kwanini Sativa kaokolewa na polisi ila washkaji wakaachiwa au hawakukamatwa?.
Read my comment again
 
Hata ingekuwa kweli huyo Sativa ana hadhi gani labda ya hadi polisi wakusanye resources zao kutaka kumuua ? Mbona hamna kitu pale

Hana hadhi kabisa, ila kwanini muhusika hakamatwi Kama polisi ndio walimuokoa?.
 
Kuna mtu alishasema polisi wa Tanzania ni empty set huwa hawajui walifanyalo
 
Waongo Sana. Mtu anadai wao ndio waliomwokoa sativa hapo hapo anadai wapo kwenye upelelezi mkali kumkamata muhusika wa utekaji wa Sativa. Yani walishindwa kumkamata wakati wanamwokoa waje wamakamate Sasa hivi? Muongo sana.
Eti hii ndio CCTV footage ya gari iliyotumika kumteka Mo Dewji!

Mchek huyo kamanda machoni.

Mbona ya Area D hawajaileta hadi leo.?
 
Leo kwenye Kongamano la TLS kuhusu utekaji na kupotea Kwa raia, Kamanda Muliro amejichanganya kwa kuelezea kuhusu suala la Sativa...
Kakiri kuwa utekaji na upoteaji upo na akatolea mifano mbali mbali kmf papaa Msofe, lakini katetea kwa nguvu zote jeshi la Polisi kutokujihusisha na utekaji.

Maelezo yake yote hakuna popote alipounga mkono serikali kujihusisha na utekaji na kupoteza watu.

Huyu alijipanga kama unavyosema mleta mada, kuja kupangua hoja maudhui ya forum.

Mi husikitishwa sana kuona kiongozi yeyote anayesimama kwenye mimbari na kutetea uongo kwa mambo ambayo yako wazi kabisa katika macho ya jamii.

Hivi angelipotezwa mwanaye wa kuzaa, angelikubali na kuamini upelelezi wa kasi ya kinyonga kwa mambo yaliyo wazi kama ya Sativa?
 
Ukiona amechanganyikiwa hivyo ujue amedhurumu sana haki za watu, lazima ajichanganye na ndio maana polisi wakibanwa mahakamani na mawakili huwa wanaonekana kabisa kuwa sio watu wa haki.
 
Mkuu na Mzee kibao naye wanasingiziwa? Je, analysis yako inasemaje kuhusu kina soka au dogo wa Tanga???
 
Mkuu na Mzee kibao naye wanasingiziwa? Je, analysis yako inasemaje kuhusu kina soka au dogo wa Tanga???
Upelezi unaendelea kujua kama ni inside Job ndani ya Chadema au Boni yai yuko ndani na Mnyika kajifungia kanisani hataki kwenda polisi kuhojiwa polisi wanamsubiri asaidie upelelezi akitoka huko kanisani alikojifungia
 
Kavideo kapo? ๐Ÿผ
 
muliro ni debe tupu ubongo wa mbele na nyuma hazisomani
 
Kwamba Polisi wamtoe Dsm wampeleke Arusha na baadae Katavi, Kwa lipi yaani? Sativa yafaa aseme ukweli nini kilisababisha kukutwa Hifadhini Katavi
 
Amen ๐Ÿ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ