Kamanda Muliro kajichanganya kuhusu sakata la Sativa kwenye Kongamano la TLS?

Kamanda Muliro kajichanganya kuhusu sakata la Sativa kwenye Kongamano la TLS?

Punguza siasa na unafiki. Kwako chama ni muhimu kuliko ubinadamu?. Kama CHADEMA wamehusika si wakamatwe. Watu 84 wamepoteza mpaka Sasa hawajulikani waliopo, halafu wewe unaleta mambo ya CHADEMA.
Kataa kwa nguvu unavyoweza lakini ukweli ndiyo huo; Kuna ,atukio yanapangwa kisiasa. Nimeshaunganisha dots na kupata majibu........siku Moja Mungu atamuumbua mtu.
 
Ingekuwa cdm ndio wanateka wangekuwa washawekwa wazi muda mrefu. Kama mnawabambikia kesi, mkipata tukio halisi si ndio mngepata pa kushikia?
Ndo maana, kwa nguvu kubwa, tena kwa ushirikiano na mawakala wao kama hao tls, Kuna kasi ya ajabu ya kuwahusisha polisi kwa haraka sana Ili muradi kuvuruga Hali......mara maandamano mara sijui makongamano n.k. Unajua maana yake ewe brainless nyumbu?!!! Hapo polisi wamewekewa kigingi Ili lionekane lolote watakalolisema basi ionekane ni uongo.
 
Siku nikisikia police wamekufa nitaenda kutoa sadaka.....
Tena mate chini muulize Malisa mwanachadema mwenzio alikuwa akitukana polisi kuna siku majambazi ya kichaga yakazingira nyumba yake .akaanza kuhaha kupiga kelele majirani hawatoki kumsaidia akatafuta namba za polisi kuomba msaada huku akilia .

Defender ikafika kumsaidia akashukuru toka hapo huji.msikia akitukana polisi

Hayajakukuta wewe utajinyea hadharani
 
Mulilo anadhani anaongea na wajinga! Kama ingelikuwa nchi za demokrasi ya utawala wa sheria such USA and the like countries, jana mulilo angalilala kwenye mikoni ya FBI/CIA/MOSAD/Scotland yard and the like

Kwahiyo washikaji ndio walimpeleka kitua cha Oysterbay? stupid mind!
Acha uongo wewe hukwenda kusomea uongo

Wazazi wako walipoteza pesa kukusomesha
USA maraisi walishauawa vifo vya kutatatanisha tena wakiwa madarakani na ulinzi juu wa CIA na FBI

Donald Trump tu hapo katwangwa risasi huku kazungukwa ns wote FBI na CIA mara mbili
 
Hao washikaji walipomteka halafu wakampeleka kituo cha polisi Osterbay?
Hadithi ya kutunga hiyo wangekuwa na haja ya kumalizana naye eangemuua hapohapo osterbay polisi na kwenda mtupa hata baharini huko .Wasingehangaika naye kumxungusha mikoa yote hiyo

Hii kesi ya Sativa imeonyesha wazi kuna baadhi ya watanzania akili zao finyu mno tena wengine wasomi kuwa hawawezi kushirikisha hata ubongo wao kutafakari kwa kina hicho anachoongea huyo Sativa

Mtu anayeunga mkono alichoongea Sativa anabidi awahi mirembe akapimwe afya ya akili.Kuna nyuzi kichwani jwenye mishipa ya akili naye haziko sawa
 
Leo kwenye Kongamano la TLS kuhusu utekaji na kupotea Kwa raia, Kamanda Muliro amejichanganya kwa kuelezea kuhusu suala la Sativa.

1. Kwanza, amekiri kwamba Sativa kabla ya kuhojiwa alikiri kuwa anamjua aliyemteka.

2. Pili, Kamanda Muliro amedai ya kwamba baada ya kauli ya Sativa , alitokea mtu anayejiita whistleblower kwenye mtandao wa x zamani Twitter na kuelezea kuwa aliyemteka Sativa alikuwa ni mtu Fulani.

3. Tatu, Kamanda Muliro kadai ya kwamba walipomhoji Sativa alikiri kwamba akitekwa na washkaji Fulani hivi.

4. Nne, Kamanda Muliro amedai kuwa baada ya mahojiano ameshangaa kusikia stori tofauti ya Sativa kwamba alitekwa na Mafwele.

5. Tano, kamanda Muliro amedai kwamba suala la Sativa linafanyiwa upelelezi na kwamba Kuna wanasheria na wataalamu wanalifuatilia Hilo jambo kwa kina.

6. Mwisho, Kamanda Muliro kadai ya kwamba wao ndio walimuokoa Sativa, Jambo ambalo ukumbi mzima ulipinga kwa mshangao.

Swali linakuja Kamanda Muliro anadai kwamba walimuokoa Sativa, je walimuokoa kutoka wapi na dhidi ya nani. Je nani aliwapa taarifa ya kwenda kumuokoa? Kama waliweza kwenda kumuokoa wanashindwaje kumkamata muhusika. Kwakweli hapa ndipo tatizo lipo. Halafu Cha kusikitisha jeshi la polisi wapo kwenye uchunguzi wa kina huku mtuhumiwa mkuu ndio ZCO wa Dar es Salaam. Huo ni upelelezi au komedi. Ilitakiwa Mafwele apelekwe likizo ya muda kupisha upelelezi na si vingine.

Pia Kamanda Muliro kadai ya kwamba Sativa alidai ya kwamba katekwa na Washkaji na sio mafwele. Sasa ni kwanini jeshi la polisi linatumia nguvu nyingi kudai hajatekwa na Mafwele baadala ya kuwakamata hao washkaji waliotajwa?. Kama jeshi la polisi linaamini alitekwa na washkaji, ni kwanini inakuwa ngumu kuwakamata Hawa washkaji?. Kama washkaji wa mtaani ni ngumu kuwakamata je polisi wataweza kumkamata nani?.

Mwisho, Napenda kumshauri Kamanda Muliro awe Neutral asioneshe upande wake. Leo ni kama alijipanga kuja kupambana na sio kuleta suluhisho au kuleta mpango wa Jeshi la polisi DSM kupambana na utekaji. Pia ni muhimu kukiri mapungufu kwenye jeshi la polisi hasa kwenye utekaji.
Waongo Sana. Mtu anadai wao ndio waliomwokoa sativa hapo hapo anadai wapo kwenye upelelezi mkali kumkamata muhusika wa utekaji wa Sativa. Yani walishindwa kumkamata wakati wanamwokoa waje wamakamate Sasa hivi? Muongo sana.
Tawala za Kikomunisti/Ujamaa duniani kote kabisa huwa haZijubaliki na Wananchi walio wengi zaidi katika nchi husika, hivyo Basi, existence ya tawala hizo hutegemea zaidi uwepo wa Majeshi ili kuwalazimisha Wananchi waukubali utawala hata kama dhamiri zao hazitaki.
 
Tena mate chini muulize Malisa mwanachadema mwenzio alikuwa akitukana polisi kuna siku majambazi ya kichaga yakazingira nyumba yake .akaanza kuhaha kupiga kelele majirani hawatoki kumsaidia akatafuta namba za polisi kuomba msaada huku akilia .

Defender ikafika kumsaidia akashukuru toka hapo huji.msikia akitukana polisi

Hayajakukuta wewe utajinyea hadharani
Nasema, Acha nife. Mwenyekiti wa CCM ameshasema kufa ni kufa Tu.
 
Ndo maana, kwa nguvu kubwa, tena kwa ushirikiano na mawakala wao kama hao tls, Kuna kasi ya ajabu ya kuwahusisha polisi kwa haraka sana Ili muradi kuvuruga Hali......mara maandamano mara sijui makongamano n.k. Unajua maana yake ewe brainless nyumbu?!!! Hapo polisi wamewekewa kigingi Ili lionekane lolote watakalolisema basi ionekane ni uongo.
Huhitaji elimu ya chuo kikuu kujua polisi na vyombo vingine vya dola ndio vinaendesha uovu dhidi ya wapinzani. Body language ya huyo Muliro inadhibitisha polisi ndio wahusika.
 
B
Huhitaji elimu ya chuo kikuu kujua polisi na vyombo vingine vya dola ndio vinaendesha uovu dhidi ya wapinzani. Body language ya huyo Muliro inadhibitisha polisi ndio wahusika.
Body language?!!!! Ni hilo tu basi?!! Kama ni hivyo hata Mimi naweza kusema lile kengeza la mbowe ukiliangalia kwa umakini unaona kabisa linahusika na utekaji.
 
B

Body language?!!!! Ni hilo tu basi?!! Kama ni hivyo hata Mimi naweza kusema lile kengeza la mbowe ukiliangalia kwa umakini unaona kabisa linahusika na utekaji.
Usingepanick ningeshangaa sana😂 Ni hivi, polisi ndio wahusika fullstop. Hutaki jinyonge.
 
Usingepanick ningeshangaa sana😂 Ni hivi, polisi ndio wahusika fullstop. Hutaki jinyonge.
Yaani Mimi wanipanikishe nyumbu?!!!! Over my body dead (in jpm' s voice). On contrary, wewe ndo umepanic
 
Kwa kweli kuna binadamu wenzetu wameshajivua ubinadamu na kuuvaa unyama.......yaani wao furaha yao ni kuona binadamu wenzao wanateseka na kufariki ikiwa tu vyeo na madaraka vitaingiliwa.......

Wao wanajiona wataishi milele......wao wamejipa mamlaka za kutesa na kunyakua roho za binadamu wenzao kana kwamba wao wana ushirika na muumba.....

Matendo yao machafu yaliyokithiri yamepofusha mioyo yao mpaka imekuwa ngumu kwao kuurejea ubinadamu............

Nawakumbusha kuwa kama ambavyo waliapa kwa vitabu vya dini kuwakilisha kuwa yupo aliye juu na mwenye mamlaka.....

Iko siku watalipia kila ubaya wa tendo lao......na siku hakutakuwa na jeshi la polisi wala magari ya kuwasha....bali ni wao na mola wao mlezi.......

MUNGU YUPO......
Hao badaye huwa wanaishi kwa tabu sana

Ova
 
Hadithi ya kutunga hiyo wangekuwa na haja ya kumalizana naye eangemuua hapohapo osterbay polisi na kwenda mtupa hata baharini huko .Wasingehangaika naye kumxungusha mikoa yote hiyo

Hii kesi ya Sativa imeonyesha wazi kuna baadhi ya watanzania akili zao finyu mno tena wengine wasomi kuwa hawawezi kushirikisha hata ubongo wao kutafakari kwa kina hicho anachoongea huyo Sativa

Mtu anayeunga mkono alichoongea Sativa anabidi awahi mirembe akapimwe afya ya akili.Kuna nyuzi kichwani jwenye mishipa ya akili naye haziko sawa
Mimi naamini kuwa anayepinga ayasemayo muathirika basi ni miongoni mwa waliokuwa wakimzungusha na kumpeleka mpaka KATAVI hasa kwa kuzingatia yule jamaa wa HAMDENI alivyokuwa akitafutwa vituo vya polisi bila mafanikio na polisi kukana kumshikiria lkn siku 29 baadae wakakiri kumshikilia.
 
Back
Top Bottom