Kamanda Muliro kajichanganya kuhusu sakata la Sativa kwenye Kongamano la TLS?

Kwamba Polisi wamtoe Dsm wampeleke Arusha na baadae Katavi, Kwa lipi yaani? Sativa yafaa aseme ukweli nini kilisababisha kukutwa Hifadhini Katavi
Kuna ukweli juu ya ukweli aliouongea?

Binadamu tu wabinafsi sana, angelikuwa ni mtoto wako wa kuzaa katendewa hayo, kisha aje kukusimulia, ungeliropoka kama ulivyoandika hapa.

Kama aliamua kusema uongo, mbona Mafwele hajatoka hadharani kupinga na kum sue huyo Sativa kwa kumchafua?
 
Ngoja nipite hivi kumbe anga hili ni la chadema.......ni eneo lao la kufarijiana na kushinikiza Kila kihoja walichokikamata kwa ajili ya kudivert attention. Mungu nisamehe lakini naamini cdm inahusika na utekaji na nguvu hizi unazoziona ni kwa ajili ya kupoteza maboya sababu ni rahisi kwa wasiofikiri sawasawa (wajinga) kuamini na kulizoza jeshi.....,.......hivi huko waliko kina mbowe na lissu wanagonga glass ya mvinyo tu na kuagiza kilos za kitimoto kujipongeza.
 
Bado sana ndugu, una uongeaji na uchambuzi wa kichekechea.
 
Hao washikaji walipomteka halafu wakampeleka kituo cha polisi Osterbay?
 
Watu wanalinda vyeo kwa gharama yoyote ile Murilo akistaafucataona aibu sana kuongea upumbavu mtu mzima mbelevya watoto na jamii yake kwa ujumla Umaskini wa familia mbaya sana.
 
Hebu acha ushabiki wa kipumbavu!
 
Unaonekana muelewa Kumbe mpiga debe mshamba!Hoja za kipunguani!
 
Ingekuwa cdm ndio wanateka wangekuwa washawekwa wazi muda mrefu. Kama mnawabambikia kesi, mkipata tukio halisi si ndio mngepata pa kushikia?
 
Upelezi unaendelea kujua kama ni inside Job ndani ya Chadema au Boni yai yuko ndani na Mnyika kajifungia kanisani hataki kwenda polisi kuhojiwa polisi wanamsubiri asaidie upelelezi akitoka huko kanisani alikojifungia
Huna akili.
 
Mulilo anadhani anaongea na wajinga! Kama ingelikuwa nchi za demokrasi ya utawala wa sheria such USA and the like countries, jana mulilo angalilala kwenye mikoni ya FBI/CIA/MOSAD/Scotland yard and the like

Kwahiyo washikaji ndio walimpeleka kitua cha Oysterbay? stupid mind!
 

Kweli kabisa mkuu
 

Punguza siasa na unafiki. Kwako chama ni muhimu kuliko ubinadamu?. Kama CHADEMA wamehusika si wakamatwe. Watu 84 wamepoteza mpaka Sasa hawajulikani waliopo, halafu wewe unaleta mambo ya CHADEMA.
 
Watu wanalinda vyeo kwa gharama yoyote ile Murilo akistaafucataona aibu sana kuongea upumbavu mtu mzima mbelevya watoto na jamii yake kwa ujumla Umaskini wa familia mbaya sana.

Kweli kabisa mkuu.
 

Shida yupo pale kulinda cheo chake baadala ya wananchi anaowatumikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…