Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Kataa kwa nguvu unavyoweza lakini ukweli ndiyo huo; Kuna ,atukio yanapangwa kisiasa. Nimeshaunganisha dots na kupata majibu........siku Moja Mungu atamuumbua mtu.Punguza siasa na unafiki. Kwako chama ni muhimu kuliko ubinadamu?. Kama CHADEMA wamehusika si wakamatwe. Watu 84 wamepoteza mpaka Sasa hawajulikani waliopo, halafu wewe unaleta mambo ya CHADEMA.
Ndo maana, kwa nguvu kubwa, tena kwa ushirikiano na mawakala wao kama hao tls, Kuna kasi ya ajabu ya kuwahusisha polisi kwa haraka sana Ili muradi kuvuruga Hali......mara maandamano mara sijui makongamano n.k. Unajua maana yake ewe brainless nyumbu?!!! Hapo polisi wamewekewa kigingi Ili lionekane lolote watakalolisema basi ionekane ni uongo.Ingekuwa cdm ndio wanateka wangekuwa washawekwa wazi muda mrefu. Kama mnawabambikia kesi, mkipata tukio halisi si ndio mngepata pa kushikia?
Sijawahi kukasirika kutukanwa na nyumbu wa mbowe sababu najua hawajielewi.......ni vyombo tu vya matumizi vya mbowe na lissuUnaonekana muelewa Kumbe mpiga debe mshamba!Hoja za kipunguani!
Kila binadamu ana mihemuko akiguswa pabaya.Bado sana ndugu, una uongeaji na uchambuzi wa kichekechea.
Tena mate chini muulize Malisa mwanachadema mwenzio alikuwa akitukana polisi kuna siku majambazi ya kichaga yakazingira nyumba yake .akaanza kuhaha kupiga kelele majirani hawatoki kumsaidia akatafuta namba za polisi kuomba msaada huku akilia .Siku nikisikia police wamekufa nitaenda kutoa sadaka.....
Acha uongo wewe hukwenda kusomea uongoMulilo anadhani anaongea na wajinga! Kama ingelikuwa nchi za demokrasi ya utawala wa sheria such USA and the like countries, jana mulilo angalilala kwenye mikoni ya FBI/CIA/MOSAD/Scotland yard and the like
Kwahiyo washikaji ndio walimpeleka kitua cha Oysterbay? stupid mind!
Hadithi ya kutunga hiyo wangekuwa na haja ya kumalizana naye eangemuua hapohapo osterbay polisi na kwenda mtupa hata baharini huko .Wasingehangaika naye kumxungusha mikoa yote hiyoHao washikaji walipomteka halafu wakampeleka kituo cha polisi Osterbay?
Leo kwenye Kongamano la TLS kuhusu utekaji na kupotea Kwa raia, Kamanda Muliro amejichanganya kwa kuelezea kuhusu suala la Sativa.
1. Kwanza, amekiri kwamba Sativa kabla ya kuhojiwa alikiri kuwa anamjua aliyemteka.
2. Pili, Kamanda Muliro amedai ya kwamba baada ya kauli ya Sativa , alitokea mtu anayejiita whistleblower kwenye mtandao wa x zamani Twitter na kuelezea kuwa aliyemteka Sativa alikuwa ni mtu Fulani.
3. Tatu, Kamanda Muliro kadai ya kwamba walipomhoji Sativa alikiri kwamba akitekwa na washkaji Fulani hivi.
4. Nne, Kamanda Muliro amedai kuwa baada ya mahojiano ameshangaa kusikia stori tofauti ya Sativa kwamba alitekwa na Mafwele.
5. Tano, kamanda Muliro amedai kwamba suala la Sativa linafanyiwa upelelezi na kwamba Kuna wanasheria na wataalamu wanalifuatilia Hilo jambo kwa kina.
6. Mwisho, Kamanda Muliro kadai ya kwamba wao ndio walimuokoa Sativa, Jambo ambalo ukumbi mzima ulipinga kwa mshangao.
Swali linakuja Kamanda Muliro anadai kwamba walimuokoa Sativa, je walimuokoa kutoka wapi na dhidi ya nani. Je nani aliwapa taarifa ya kwenda kumuokoa? Kama waliweza kwenda kumuokoa wanashindwaje kumkamata muhusika. Kwakweli hapa ndipo tatizo lipo. Halafu Cha kusikitisha jeshi la polisi wapo kwenye uchunguzi wa kina huku mtuhumiwa mkuu ndio ZCO wa Dar es Salaam. Huo ni upelelezi au komedi. Ilitakiwa Mafwele apelekwe likizo ya muda kupisha upelelezi na si vingine.
Pia Kamanda Muliro kadai ya kwamba Sativa alidai ya kwamba katekwa na Washkaji na sio mafwele. Sasa ni kwanini jeshi la polisi linatumia nguvu nyingi kudai hajatekwa na Mafwele baadala ya kuwakamata hao washkaji waliotajwa?. Kama jeshi la polisi linaamini alitekwa na washkaji, ni kwanini inakuwa ngumu kuwakamata Hawa washkaji?. Kama washkaji wa mtaani ni ngumu kuwakamata je polisi wataweza kumkamata nani?.
Mwisho, Napenda kumshauri Kamanda Muliro awe Neutral asioneshe upande wake. Leo ni kama alijipanga kuja kupambana na sio kuleta suluhisho au kuleta mpango wa Jeshi la polisi DSM kupambana na utekaji. Pia ni muhimu kukiri mapungufu kwenye jeshi la polisi hasa kwenye utekaji.
Tawala za Kikomunisti/Ujamaa duniani kote kabisa huwa haZijubaliki na Wananchi walio wengi zaidi katika nchi husika, hivyo Basi, existence ya tawala hizo hutegemea zaidi uwepo wa Majeshi ili kuwalazimisha Wananchi waukubali utawala hata kama dhamiri zao hazitaki.Waongo Sana. Mtu anadai wao ndio waliomwokoa sativa hapo hapo anadai wapo kwenye upelelezi mkali kumkamata muhusika wa utekaji wa Sativa. Yani walishindwa kumkamata wakati wanamwokoa waje wamakamate Sasa hivi? Muongo sana.
Nasema, Acha nife. Mwenyekiti wa CCM ameshasema kufa ni kufa Tu.Tena mate chini muulize Malisa mwanachadema mwenzio alikuwa akitukana polisi kuna siku majambazi ya kichaga yakazingira nyumba yake .akaanza kuhaha kupiga kelele majirani hawatoki kumsaidia akatafuta namba za polisi kuomba msaada huku akilia .
Defender ikafika kumsaidia akashukuru toka hapo huji.msikia akitukana polisi
Hayajakukuta wewe utajinyea hadharani
Huhitaji elimu ya chuo kikuu kujua polisi na vyombo vingine vya dola ndio vinaendesha uovu dhidi ya wapinzani. Body language ya huyo Muliro inadhibitisha polisi ndio wahusika.Ndo maana, kwa nguvu kubwa, tena kwa ushirikiano na mawakala wao kama hao tls, Kuna kasi ya ajabu ya kuwahusisha polisi kwa haraka sana Ili muradi kuvuruga Hali......mara maandamano mara sijui makongamano n.k. Unajua maana yake ewe brainless nyumbu?!!! Hapo polisi wamewekewa kigingi Ili lionekane lolote watakalolisema basi ionekane ni uongo.
Body language?!!!! Ni hilo tu basi?!! Kama ni hivyo hata Mimi naweza kusema lile kengeza la mbowe ukiliangalia kwa umakini unaona kabisa linahusika na utekaji.Huhitaji elimu ya chuo kikuu kujua polisi na vyombo vingine vya dola ndio vinaendesha uovu dhidi ya wapinzani. Body language ya huyo Muliro inadhibitisha polisi ndio wahusika.
Usingepanick ningeshangaa sana😂 Ni hivi, polisi ndio wahusika fullstop. Hutaki jinyonge.B
Body language?!!!! Ni hilo tu basi?!! Kama ni hivyo hata Mimi naweza kusema lile kengeza la mbowe ukiliangalia kwa umakini unaona kabisa linahusika na utekaji.
Yaani Mimi wanipanikishe nyumbu?!!!! Over my body dead (in jpm' s voice). On contrary, wewe ndo umepanicUsingepanick ningeshangaa sana😂 Ni hivi, polisi ndio wahusika fullstop. Hutaki jinyonge.
Ni over my dead body. Kuna kupanick zaidi ya hivyo?Yaani Mimi wanipanikishe nyumbu?!!!! Over my body dead (in jpm' s voice). On contrary, wewe ndo umepanic
Hao badaye huwa wanaishi kwa tabu sanaKwa kweli kuna binadamu wenzetu wameshajivua ubinadamu na kuuvaa unyama.......yaani wao furaha yao ni kuona binadamu wenzao wanateseka na kufariki ikiwa tu vyeo na madaraka vitaingiliwa.......
Wao wanajiona wataishi milele......wao wamejipa mamlaka za kutesa na kunyakua roho za binadamu wenzao kana kwamba wao wana ushirika na muumba.....
Matendo yao machafu yaliyokithiri yamepofusha mioyo yao mpaka imekuwa ngumu kwao kuurejea ubinadamu............
Nawakumbusha kuwa kama ambavyo waliapa kwa vitabu vya dini kuwakilisha kuwa yupo aliye juu na mwenye mamlaka.....
Iko siku watalipia kila ubaya wa tendo lao......na siku hakutakuwa na jeshi la polisi wala magari ya kuwasha....bali ni wao na mola wao mlezi.......
MUNGU YUPO......
Kweli we nyumbu, hujaelewa kwenye brackets kilifichwa nini.......hebu nenda mkajadili maandamano huko maana ndo kitu mnawezaNi over my dead body. Kuna kupanick zaidi ya hivyo?
Mimi naamini kuwa anayepinga ayasemayo muathirika basi ni miongoni mwa waliokuwa wakimzungusha na kumpeleka mpaka KATAVI hasa kwa kuzingatia yule jamaa wa HAMDENI alivyokuwa akitafutwa vituo vya polisi bila mafanikio na polisi kukana kumshikiria lkn siku 29 baadae wakakiri kumshikilia.Hadithi ya kutunga hiyo wangekuwa na haja ya kumalizana naye eangemuua hapohapo osterbay polisi na kwenda mtupa hata baharini huko .Wasingehangaika naye kumxungusha mikoa yote hiyo
Hii kesi ya Sativa imeonyesha wazi kuna baadhi ya watanzania akili zao finyu mno tena wengine wasomi kuwa hawawezi kushirikisha hata ubongo wao kutafakari kwa kina hicho anachoongea huyo Sativa
Mtu anayeunga mkono alichoongea Sativa anabidi awahi mirembe akapimwe afya ya akili.Kuna nyuzi kichwani jwenye mishipa ya akili naye haziko sawa