Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Tuzisome halafu siri apewe Netanyahu......kavita kanapigwa kinshomile zaidi.....kafiri anashinda west anashinda eastSubiri misaada ya Shahid Drone kutoka kwa waislamu wa Iran
Unatoa msaada huku rais wako anatunguliwa..........nyie mmeshazoeleka wakutumika tu ila wanaotawala makafiriNdio si tunaona taifa la pili kwa nguvu ya kijeshi sasa linaomba silaha kwa kobazi Iran, kila kitu kiko wazi
Hakuna Rais alietunguliwa wewe ajali inaweza mpata yeyote, tulia usaidiwe hujiwezi mchekeshaji ameshakuweza weweUnatoa msaada huku rais wako anatunguliwa..........nyie mmeshazoeleka wakutumika tu ila wanaotawala makafiri
Mnazisoma wakati mnajilinda na makombora ya Zelensky, yule Zelensky anabonda hacheki na kima yuleTuzisome halafu siri apewe Netanyahu......kavita kanapigwa kinshomile zaidi.....kafiri anashinda west anashinda east
Hakuna Rais alietunguliwa wewe ajali inaweza mpata yeyote, tulia usaidiwe hujiwezi mchekeshaji ameshakuweza wewe
Wacha we anabonda kama masta wake Netanyahu yahudi sio mutu msuri aseeMnazisoma wakati mnajilinda na makombora ya Zelensky, yule Zelensky anabonda hacheki na kima yule
Hata yule wa hamas hapo tehran ilikua tu ajali kazini blazaHakuna Rais alietunguliwa wewe ajali inaweza mpata yeyote, tulia usaidiwe hujiwezi mchekeshaji ameshakuweza wewe
Zelensky alipiga drone mpaka Moscow , juzi watu wamechapa kambi ya kijeshi Israel pale halafu unapiga yowe, subiri superpower Iran akupe maishaAjali kazini wacha we hadi watu wanafumua pete za majini ni ajali......haya nenda na we kainame muombe allah alete ajali kwa Netanyahu
Anatoa maisha huku ya watu wake anashindwa kuyalinda...........kafiri acha aendelee kuwapapasa......ongeza hizo drone na makombora peleka urusi tukusome vizuriZelensky alipiga drone mpaka Moscow , juzi watu wamechapa kambi ya kijeshi Israel pale halafu unapiga yowe, subiri superpower Iran akupe maisha
watu wamebonda kambi ya jeshi hapo hapo Israel ndani itakuwa nyumba ya Haniyah , msaada wa Iran ni mkombozi kwa UrusiHata yule wa hamas hapo tehran ilikua tu ajali kazini blaza
Zelensky ndio kiboko ya Putin, kila siku anakazi ya kutishia nyuklia kapagawaAnatoa maisha huku ya watu wake anashindwa kuyalinda...........kafiri acha aendelee kuwapapasa......ongeza hizo drone na makombora peleka urusi tukusome vizuri
Watu wameua kabisa makamanda ,,kupiga vijumba kuna ishu ganiwatu wamebonda kambi ya jeshi hapo hapo Israel ndani itakuwa nyumba ya Haniyah , msaada wa Iran ni mkombozi kwa Urusi
Shehe Ponda na wenzake washabiki wapo kimyaa.Muhammad Kamel Naim, kamanda wa kikosi maalum cha Radwan cha jeshi la Hezibollah, kikosi maalum cha makombora ameuawa kwenye shambulio la Israel kusini mwa Lebanon.
Pia Israel imefanya shambulio jingine, kwa mara ya kwanza kaskazini mwa Lebanon na kuua watu 22. Haijajulikana bado kama hao 22 ni raia au wapiganaji wa Hezbollah.
Kuuawa kwa kamanda wa Hezbollah kunafuatia shambulio la drone la Hezbollah kwa Israel ambalo liliua askari wanne, kujeruhi vibaya 7 na kuwapa majeraha madogo askari wengine 61 wa Israel.
Red Cross nchini Lebanon, wamesema kuwa kwa sasa nchini Lebanon hakuna eneo lililo salama.
=======================
Israel kills commander of elite anti-tank missile unit
Israel has killed the commander of the anti-tank missile unit of Hezbollah's elite Radwan Force, its military has said.
Muhammad Kamel Naim was killed in a strike in the Nabatieh area of south Lebanon, it added.
1h ago18:57
Number killed rises to 21 in Israel's first strike on northern Lebanon
The number of people killed in an Israeli airstrike on an apartment building in northern Lebanon has risen to 21, according to the Lebanese Red Cross.
There was no immediate comment from the Israeli military and it was not clear what the target was.
Tuombe hekima ya Mungu iwaguse watu wote ili ugaidi ukome, vita vikome, umoja na upendo vitawale, ili watu waishi kwa amani, kama Kristo alivyosema, "Amani Iwe Kwenu"
Aliepagawa anaonekana hadi kaanza kumbusu myahudiZelensky ndio kiboko ya Putin, kila siku anakazi ya kutushia nyuklia kapagawa
Tulia Iran asaidie wasio na uwezoShehe Ponda na wenzake washabiki wapo kimyaa.
Myahudi ana angaika na ahadi za kulipiza kisasi watu wana muangalia tuAliepagawa anaonekana hadi kaanza kumbusu myahudi
we kobazi mwenye mahaba niue kwa yahudi Zelensky,,,hadi wakina Ponda wataanza kuwapenda wayahudiTulia Iran asaidie wasio na uwezo
Zelensky je si anawapa motisha hadi mna copy and paste,,,, mnajifanya mnamchukia myahudi kumbe bado ni role model wenuMyahudi ana angaika na ahadi za kulipiza kisasi watu wana muangalia tu
Zelensky anachapa baba yako Putin , tulia waislamu wamsaidie baba yakowe kobazi mwenye mahaba niue kwa yahudi Zelensky,,,hadi wakina Ponda wataanza kuwapenda wayahudi