Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

Kwan Hawa Hizbullah SI walisema wanazo deadly drones nyingi tu kama Ile iliyopenya na kuua wanajeshi wanne wa Israel kwann wasirushe sasa au walibahatisha?

Israel anachapa Gaza anachapa Lebanon mtu na shoga yake wanapelekewa moto kiherehere kimewaponza kujitia wababe kumbe wepesi mithili ya unyoya.
 
Subiri misaada ya Shahid Drone kutoka kwa waislamu wa Iran
Tuzisome halafu siri apewe Netanyahu......kavita kanapigwa kinshomile zaidi.....kafiri anashinda west anashinda east
 
Ndio si tunaona taifa la pili kwa nguvu ya kijeshi sasa linaomba silaha kwa kobazi Iran, kila kitu kiko wazi
Unatoa msaada huku rais wako anatunguliwa..........nyie mmeshazoeleka wakutumika tu ila wanaotawala makafiri
 
Unatoa msaada huku rais wako anatunguliwa..........nyie mmeshazoeleka wakutumika tu ila wanaotawala makafiri
Hakuna Rais alietunguliwa wewe ajali inaweza mpata yeyote, tulia usaidiwe hujiwezi mchekeshaji ameshakuweza wewe
 
Tuzisome halafu siri apewe Netanyahu......kavita kanapigwa kinshomile zaidi.....kafiri anashinda west anashinda east
Mnazisoma wakati mnajilinda na makombora ya Zelensky, yule Zelensky anabonda hacheki na kima yule
 
Hakuna Rais alietunguliwa wewe ajali inaweza mpata yeyote, tulia usaidiwe hujiwezi mchekeshaji ameshakuweza wewe

Ajali kazini wacha we hadi watu wanafumua pete za majini ni ajali......haya nenda na we kainame muombe allah alete ajali kwa Netanyahu
 
Ajali kazini wacha we hadi watu wanafumua pete za majini ni ajali......haya nenda na we kainame muombe allah alete ajali kwa Netanyahu
Zelensky alipiga drone mpaka Moscow , juzi watu wamechapa kambi ya kijeshi Israel pale halafu unapiga yowe, subiri superpower Iran akupe maisha
 
Zelensky alipiga drone mpaka Moscow , juzi watu wamechapa kambi ya kijeshi Israel pale halafu unapiga yowe, subiri superpower Iran akupe maisha
Anatoa maisha huku ya watu wake anashindwa kuyalinda...........kafiri acha aendelee kuwapapasa......ongeza hizo drone na makombora peleka urusi tukusome vizuri
 
Hata yule wa hamas hapo tehran ilikua tu ajali kazini blaza
watu wamebonda kambi ya jeshi hapo hapo Israel ndani itakuwa nyumba ya Haniyah , msaada wa Iran ni mkombozi kwa Urusi
 
Anatoa maisha huku ya watu wake anashindwa kuyalinda...........kafiri acha aendelee kuwapapasa......ongeza hizo drone na makombora peleka urusi tukusome vizuri
Zelensky ndio kiboko ya Putin, kila siku anakazi ya kutishia nyuklia kapagawa
 
Shehe Ponda na wenzake washabiki wapo kimyaa.
 
Myahudi ana angaika na ahadi za kulipiza kisasi watu wana muangalia tu
Zelensky je si anawapa motisha hadi mna copy and paste,,,, mnajifanya mnamchukia myahudi kumbe bado ni role model wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…