Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Kabisaaa hadi mtu akabutuliwa kininja tehranIran ni ninja sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa hadi mtu akabutuliwa kininja tehranIran ni ninja sana
Wewe unaandika takataka kabisaa hakuna vita Israel anapigana zaidi ya vikundi vya Iran, sasa vikundi vinamtoa kamasi vile anaweza kupigana na nchi yenye misuli kama Iran?upo nyuma sana kama wanafunzi shule vipaji maalum, silaha zinazotekwa na Israel kwenye maghala ya Hizbulla huko south Lebanon, kwenye bunks za Magaidi ya kiislamu ya Hams zimetengenezwa Korea, Urusi, china na Iran.
Wanalipwa mishahara na Iran, sasa sijui unataka upewe ushahidi gani ?
Au wewe ndio wale mnatangaza idadi ya watoto na wanawake wanaouawa badala ya kutangaza idadi ya migaidi ya kislamu inayodunguliwa kila uchao?
Its as if huko Palestina kuna watoto na wanawake wasio na baba, maana sijawahi kuskia baba kauliwa, magaidi yanaweka silaha nyumba za ibada, shule na kwenye makazi, unategemea yaachwe?
Kama walivyobutuliwa wale wanajeshi waliokuwa wakipata chakula pale kambiniKabisaaa hadi mtu akabutuliwa kininja tehran
Mateka wako hai , Sinawar ndio mtoa roho wao kwasasa akitaka wanakufa au wanabaki hai, maandamano yana endelea Tel Aviv mateka waachiweKaa na mateka sie tunakaa na roho za wenu kuzimu
Watu wamesepa na Hani wao......Kama walivyobutuliwa wale wanajeshi waliokuwa wakipata chakula pale kambini
Bado unaangaika Mateka wako kwa Sinawar sio kwahuyoWatu wamesepa na Hani wao......
Unapiga kelele umepata sisimizi yakheee.......watu wamevua jipapaa limenonaaaView attachment 3126815
Mateka wapo hai ila watu wako wapo kuzimu......we kaa na hao mateka unadhani ndo mapambano yatasimama kisa una mateka........we kaa nao tu kwetu makafiri kutoa kafara ni jambo jepesi tuMateka wako hai , Sinawar ndio mtoa roho wao kwasasa akitaka wanakufa au wanabaki hai, maandamano yana endelea Tel Aviv mateka waachiwe
Haniiiiiii..........watu wakala tena palepale tehran tonge mdomoniBado unaangaika Mateka wako kwa Sinawar sio kwahuyo
Wako hai wakati mtoa roho ni Sinawar, nenda Tel Aviv hawamtaki Netanyahu wanasema kaua MatekaMateka wapo hai ila watu wako wapo kuzimu......we kaa na hao mateka unadhani ndo mapambano yatasimama kisa una mateka........we kaa nao tu kwetu makafiri kutoa kafara ni jambo jepesi tu
Kwani wale wanajeshi wameliwa wapi?chakula wakaenda kumalizia kaburiniHaniiiiiii..........watu wakala tena palepale tehran tonge mdomoni
Weka idadi ya maiti za myahudi na kobaziWako hai wakati mtoa roho ni Sinawar, nenda Tel Aviv hawamtaki Netanyahu wanasema kaua Mateka
Kitu kidogo tu mwanajeshi haogopi kufa hadi aanze kuvaa nguo za wamamaKwani wale wanajeshi wameliwa wapi?chakula wakaenda kumalizia kaburini
Sasa unataka afe kiboya wakati kuna mateka wa kuwashika ili kule Tel Aviv maandamano yasiishe, njoo ukomboe mateka acha kulia liaKitu kidogo tu mwanajeshi haogopi kufa hadi aanze kuvaa nguo za wamama
Kuna mateka wakutosha zaidi ya 20 roho zao ziko chini ya Sinawar, yeye ndio kashika button anaamua nani aishi au nani afe, wewe unafikiri kwanini maandamano hayaishi Tel Avivi!!!!Weka idadi ya maiti za myahudi na kobazi
Hehe......tunawapendaga saaana ........nyie makafiri watawatawala milele walahiSasa unataka afe kiboya wakati kuna mateka wa kuwashika ili kule Tel Aviv maandamano yasiishe, njoo ukomboe mateka acha kulia lia
Kumbe 20 halafu unajisifu nikajua hata 5000 hiviKuna mateka wakutosha zaidi ya 20 roho zao ziko chini ya Sinawar, yeye ndio kashika button anaamua nani aishi au nani afe, wewe unafikiri kwanini maandamano hayaishi Tel Avivi!!!!
Hakuna shida hao wanakwenda kula Mema ya nchi, wale wako 1200 sijui wako wapi kwasasaHehe......tunawapendaga saaana ........nyie makafiri watawatawala milele walahiView attachment 3126819
Wale 1200 walifia pale pale IsraelKumbe 20 halafu unajisifu nikajua hata 5000 hiviView attachment 3126820
1200 wameenda kumsabahi mtume awape mambo mengine ya kucopy kwa makafiriHakuna shida hao wanakwenda kula Mema ya nchi, wale wako 1200 sijui wako wapi kwasasa