Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

1200 waende kwa Paulo huko wakaimbe imbe huko
Sio wateremshe tena mistari iongezwe kwenye kile kitabu??.....maana hata huko pia mliiga kwa myahudi kama mnavyoiga kwa Zelensky
 
Sio wateremshe tena mistari iongezwe kwenye kile kitabu??.....maana hata huko pia mliiga kwa myahudi kama mnavyoiga kwa Zelensky
Waislamu ndio wakufaidi zile rahaaa, nyie wengine si mmechagua kuimba imba huko mbinguni, endelea kujichelewesha
 
Waislamu ndio wakufaidi zile rahaaa, nyie wengine si mmechagua kuimba imba huko mbinguni, endelea kujichelewesha
Zile raha za sistine chapel.....🤣🤣🤣 nyie kweli viazi yani mrumi kawatumia na bado myahudi anawatumia.....wajinga ndo waliwao
 
Mwamba huyo amesha muachia Sinawar kazi ya kuwafanya mateka kama Mbwa wake , anawafuga au anawauza ni yeye tu Sinawar na yupo Gaza na hakuna kitu mtafanya
20 tu.........hebu ongezeni asee idadi ndogo sana hio
 
Wewe unaandika takataka kabisaa hakuna vita Israel anapigana zaidi ya vikundi vya Iran, sasa vikundi vinamtoa kamasi vile anaweza kupigana na nchi yenye misuli kama Iran?
Zijue nchi tatu zinazotuhumiwa kuisaidia Urusi katika vita vyake dhidi ya Ukraine
https://bbc.in/3NrjDiz
Urusi inatuma mamilioni ya makombora kwa mwaka kwenye vita vyake nchini Ukraine, pia hufanya mashambulizi ya anga – na inasemekana silaha hizo hutolewa na washirika wa kigeni.
Wakati mataifa ya Magharibi yakijaribu kuhujumu uwezo wa Urusi wa kutengeneza silaha kwa kuiwekea vikwazo, China, Iran na Korea Kaskazini zinadaiwa kuisaidia ili vita viendelee.
Washirika hao hao ndio wanaompa Iran silaha apenyeze kwenye makundi ya kigaidi ya kiislamu kuipiga Israel.​
 
Urusi ana hali mbaya Superpower anasaidiwa na Kiduku , mwaka wa 3 huu mchekeshaji Zelensky anadunda
Sema myahudi mliemcopy ana dunda huku mliocopy mmewahishwa ahera......makafiri wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…