TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

Je kifo chake "kimeharakishwa" kutokana na kufutwa kazi ya uRpc aliyokuwa nayo kabla? Huenda magonjwa jamii ya Bp imehusika. Pumzika unapostahili kamanda.
ccm hawafai alijimbendekeza kwao kwa kuleta fomula ya ABC(A=B=C hivyo A=C ccm ilimwona huyu hajali hata miiko ya watumishi wa serikali safi sana akashangiliwa lakini pale alipokosea walimtupa chuoni.
 
Ni huzuni & majonzi

Ameumaliza mwendo

Kazi ya Mungu Haina makosa

RIP Kamanda Shana

=====

TANZIA: KAMANDA JONATHAN SHANA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu

Alifahamika zaidi katika kujihusisha na shughuli za Vyama akiwa na sare za kipolisi. Aidha, aliwahi kufananisha Chama Tawala, Serikali na Dola kwa Kanuni za Kihesabu

Kamanda Shana aliwahi kuwa RCO Mikoa Mbalimbali Nchini ikiwemoRPC-Mikoa ya Pwani, Mwanza na Arusha pia aliwahi kuwa Mkuu wa Upelelezi Simiyu.

ACP Jonathan Shana amefariki akiwa Afisa Mnadhimu katika Chuo cha Polisi (CCP) Moshi



Pia soma >>> RPC Shana anavyotikisha Arusha, awadaka Majangili hatari, AK 45, Meno ya Tembo

Watu 9 waliohusika kutungua chopa na kumuua rubani wakamatwa
Mungu amlipe kadiri ya matendo yake
 
Huyu RPC bora akapumzike tu. Tuone na huko kama atapata hata cheo chochote
 
Ni huzuni & majonzi

Ameumaliza mwendo

Kazi ya Mungu Haina makosa

RIP Kamanda Shana

=====

TANZIA: KAMANDA JONATHAN SHANA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu

Alifahamika zaidi katika kujihusisha na shughuli za Vyama akiwa na sare za kipolisi. Aidha, aliwahi kufananisha Chama Tawala, Serikali na Dola kwa Kanuni za Kihesabu

Kamanda Shana aliwahi kuwa RCO Mikoa Mbalimbali Nchini ikiwemoRPC-Mikoa ya Pwani, Mwanza na Arusha pia aliwahi kuwa Mkuu wa Upelelezi Simiyu.

ACP Jonathan Shana amefariki akiwa Afisa Mnadhimu katika Chuo cha Polisi (CCP) Moshi



Pia soma >>> RPC Shana anavyotikisha Arusha, awadaka Majangili hatari, AK 45, Meno ya Tembo

Watu 9 waliohusika kutungua chopa na kumuua rubani wakamatwa
Tuliobaki tutuzingatie hilo
 
If A=B, B=C then A=C (A=CCM B=SERIKALI HALALI C=VYOMBO VYA DOLA) kamanda huko uliko nakuomba sana umfafanulie Mwenyezi Mungu hii kanuni otherwise atakuadhibu horribly.
Logic yake kwa katiba yetu alikuwa sahihi.
Sema wanafunzi waliokuwa wanamsikiliza walikuwa vilaza.

Wangemuelewa wangeamka akili leo wasingelialia habari za Tume huru.

U penguin ulikuwa mwingi
 
Jamani nina mmissi sana rafiki kipenzi Kangi Lugola hivi yu wapi kidume wetu wa Mwibara na mashati yake yenye mifuko pendwa?
 
ma-CCM mnaona namna mnavyo ponza watumishi??
👉Kwamba kwasababu ya comments zenu hizi Basi Kuna kitu kitaharibika kwenye mazishi yake🤔?

👉Au labda chuki na mawazo yenu ninyi msiokuwa wa CCM yanafanana na Mwenyezi Mungu juu yake?

👉Pengine labda mngekuwa mnampamba kwa maneno matamu hapa, kuna faida yeyote angeipata kama maiti kwa Sasa?

👉Yeye kafa, wewe ambae sio CCM, hutakufa?
Ungekuwa wamaana kama ungefurahi kumuona akipitia magumu hapahapa duniani, Ila kwasasa sioni hoja yako ya msingi yeyote kwakuwa yeye hajitambui.

NB:Subiri zamu yako kwa unyenyekevu, ukimuomba aliyekuumba.Ni hakika na ni lazima kila chenye uhai kupatwa na umauti.🙏🙏
 
Usipende kuhukumu mkuu
Mkuu nimehukumu wapi? Mimi na wewe tutaenda sehemu Ile ambayo kulingana na matendo yetu hapa duniani kama umetenda mema utaenda mbinguni na kama umetenda mabaya utaenda jehanam ya Moto ndiyo maana mm nimesema "aende sehemu anayostahili kwenda kutokana na matendo yake"
 
Pole sana kwa wanafamilia,
Mungu amuweke mahala
anapostahili.
Wanafamilia wepi?? Mungu anasema huwapatiliza wana wa uovu kuanzia kizazi cha kwanza hadi cha nne na wao wasubiri tu zamu yao. Mungu ni mkali wa kuadhibu.
 
CCM, mzikeni huyu kada kwenye kaburi moja Kama pamba ya njiani vitu vifuatavyo:-
1. Ilani ya Uchaguzi ya CCM, na
2. Kadi ya uanachama wa CCM.
Mtabarikiwa sana. Apumzike anakostahili.
 
Back
Top Bottom