TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

Amefanya nini zaidi ya kuwa polisi kada wa chama cha mapinduzi? Na yeye kupitia nafasi yake amekuwa akiunyanyasa upinzani. Ametumika vibaya kisiasa,pia amesababisha niichukie kada yote ya polisi. Naombeni mnisamehe kama nimewakwanza.
R.I.P kamanda kada w CCM
"amesababisha niichukie kada yote ya polisi." Matendo ya mtu mmoja ndio yalisababisha ulichukie Jeshi zima la Polisi!! Nadhani una sababu nyengine ambazo hutaki tujue.
 
Alikufa Afande Masoud, nchi nzima kila mtu anacomment RIP, utafikiri ndio alikuwa IGP. Leo kafa huyu jamaa, kila mtu anamng'ong'a. Kiburi si maungwana, haki huinua taifa, hao unaojaribu kuwafurahisha huenda ukifa hata wasitoe mchango wa kuni wala kukuchimbia kaburi.
Tanguliza utu ukiwa na cheo. Usitumie cheo chako kufanya ya kipumbavu ili watu wachache wacheke huku ukiumiza wenye haki.
 
Alikufa Afande Masoud, nchi nzima kila mtu anacomment RIP, utafikiri ndio alikuwa IGP. Leo kafa huyu jamaa, kila mtu anamng'ong'a. Kiburi si maungwana, haki huinua taifa, hao unaojaribu kuwafurahisha huenda ukifa hata wasitoe mchango wa kuni wala kukuchimbia kaburi.
Tanguliza utu ukiwa na cheo. Usitumie cheo chako kufanya ya kipumbavu ili watu wachache wacheke huku ukiumiza wenye haki.
Jehanamu kuna watu wake. Tunamtakia agike salama huko akavune alichopanda
 
Huyu ndiyo yule aliefanya jeshi letu la polisi kuwa la ccm na kuvunja katiba yetu kwamba polisi ni kwa kila raia wa Tanzania?

Kwamba if A = B and B = C then A = C nakwamba akatamatisha kuwa hakuna tofauti kati ya ccm na polisi.

Ali manipulates Logics kishabiki sana nakufedhehesha elimu ya hesabu

Au siyo yeye ?
Ukiwa wa shetani utaenda kwa shetani tu. Hakuna haja ya kumung'unya maneno haisaidii kitu. Let him go to hell
 
Huyu ndiyo yule aliefanya jeshi letu la polisi kuwa la ccm na kuvunja katiba yetu kwamba polisi ni kwa kila raia wa Tanzania?

Kwamba if A = B and B = C then A = C nakwamba akatamatisha kuwa hakuna tofauti kati ya ccm na polisi.

Ali manipulates Logics kishabiki sana nakufedhehesha elimu ya hesabu

Au siyo yeye ?
Ndie haswaa, karma jamani haijawahi kumwacha mtu!
 
Kwa hiyo nyumbani kwako wewe ni A, B and C ....!? Talk for yourself!
Mmmmh! Umekosea english. Andika hivi; Talk about yourself, talk to yourself. Au ulitaka kuandika speak for yourself? Unalo deni la kujifunza mengi kuliko kuhangaika kumtetea Mbowe, Magufuli, Zitto, Lissu, nk.
 
"amesababisha niichukie kada yote ya polisi." Matendo ya mtu mmoja ndio yalisababisha ulichukie Jeshi zima la Polisi!! Nadhani una sababu nyengine ambazo hutaki tujue.
Tatizo ni imani yangu kwao.
 
Back
Top Bottom