Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hua mna matatizo sana..kujiona mwema na kumbe ni mdhambi mkubwa na hujielewi hii nayo ni hasara
Dunia TunapitaJamaa kakabidhi jezi kwa Sir God
Ilani Ya Ccm Ama Ipiatazikwa na ilani au
Tujirekebishe Tunapokosea Maana Dunia TunapitaMimi nilifikiri ukiwa ccm kifo kinakuwa mbali nawe! Kumbe ndiyo unajiharakishia kifo.
Huo utu ni upi?arusha kazi yake ilikua kamata watu ambao wanampinga gambo mpka waandishi wa habari.Alikua tofauti kabisa aisee ndo mana umeona katolewa Arusha, alikua ana utu sana
Kweli duniani tunapita,Ni huzuni & majonzi
Ameumaliza mwendo
Kazi ya Mungu Haina makosa
RIP Kamanda Shana
=====
TANZIA: KAMANDA JONATHAN SHANA AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu
Alifahamika zaidi katika kujihusisha na shughuli za Vyama akiwa na sare za kipolisi. Aidha, aliwahi kufananisha Chama Tawala, Serikali na Dola kwa Kanuni za Kihesabu
Kamanda Shana aliwahi kuwa RCO Mikoa Mbalimbali Nchini ikiwemoRPC-Mikoa ya Pwani, Mwanza na Arusha pia aliwahi kuwa Mkuu wa Upelelezi Simiyu.
ACP Jonathan Shana amefariki akiwa Afisa Mnadhimu katika Chuo cha Polisi (CCP) Moshi
Pia soma >>> RPC Shana anavyotikisha Arusha, awadaka Majangili hatari, AK 45, Meno ya Tembo
Watu 9 waliohusika kutungua chopa na kumuua rubani wakamatwa
'frastresheni' ni aina gani ya kilevi?RIP Kamanda.......itakuwa alipata frastresheni alivohamishwa vile
Amsalimie sana Mkapa. Amwambie sisi bado tupo tu kama WassiraRiP Kamanda Shana