road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Mungu fundi. AiseeeRip kamanda!
Wengine wanasaka ubunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu fundi. AiseeeRip kamanda!
Wengine wanasaka ubunge.
Sio desturi ya sisi watu wa Afrika kuzungumzia mabaya ya marehemu. Tafadhali ondoa kipengele hiki.Alifahamika zaidi katika kujihusisha na shughuli za Vyama akiwa na sare za kipolisi. Aidha, aliwahi kufananisha Chama Tawala, Serikali na Dola kwa Kanuni za Kihesabu
sawa, basi usiseme alazwe pema, mwache alazwe anapostahiliNdo maana nimesema Mungu anaona ya nuruni na ya gizani.....kiimani tunaaswa kuwa makini na maisha yetu....unaweza kukosa na kutubu lakini adhabu ipo pale pale.....ni kumwomba Mungu atupatie REHEMA KAMILI.
Bora uwe nazo sirini kuliko kuzianika kwa makusudi hadharani tena kwa nia ya kutaka sifa,wa hivi ndo huwa hajielewi.Watu hua mna matatizo sana..kujiona mwema na kumbe ni mdhambi mkubwa na hujielewi hii nayo ni hasara
Kwa hiyo nyumbani kwako wewe ni A, B and C ....!? Talk for yourself!Tatizo munalaani kamanda huyu bila kumbukumbu kwamba Mbowe anatumia madaraka vibaya, Magufuli anatumia vibaya, Shen anatumia vibaya, Zitto anatumia vibaya, wewe unatumia vibaya hapo nyumbani kwako, nk. Now, when everybody is guilt, who is guilt?
He is not a solder and was never a soldier... Ni Police OfficerFriend.of Gambo, R.I.P soldier
Ukweli lazima usemwe... Alifanya jeshi la polisi lidharaulike sana.Amefanya nini zaidi ya kuwa polisi kada wa chama cha mapinduzi? Na yeye kupitia nafasi yake amekuwa akiunyanyasa upinzani. Ametumika vibaya kisiasa,pia amesababisha niichukie kada yote ya polisi. Naombeni mnisamehe kama nimewakwanza.
R.I.P kamanda kada w CCM
Ngoja tuone
Jamaa kakabidhi jezi kwa Sir GodMKUU
Ina Maana Kamanda Hatupo Naye???