TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

Je kifo chake "kimeharakishwa" kutokana na kufutwa kazi ya uRpc aliyokuwa nayo kabla? Huenda magonjwa jamii ya Bp imehusika. Pumzika unapostahili kamanda.
 
Amefanya nini zaidi ya kuwa polisi kada wa chama cha mapinduzi? Na yeye kupitia nafasi yake amekuwa akiunyanyasa upinzani. Ametumika vibaya kisiasa,pia amesababisha niichukie kada yote ya polisi. Naombeni mnisamehe kama nimewakwanza.
R.I.P kamanda kada w CCM
Tumsamehe bure.
Ameenda kule wasikorudi na mengi ameyaacha hapa duniani.
RIP Kamanda.
 
Ni-heri mimi nauza pilipili kwa matumizi ya hiali kwako na wengine wenye mapenzi nazo(kwa walaji) lakini sisi yeye mwenye kuhatarisha Amani kwa Taifa kwa kutumia ofisi yake vibaya,kwa matumizi ya kisiasa.
Tunapata prsha ya bure. Kuna watu wameamuia kuwa watumwa na hatuna njia ya kuwasaidia. Mtu anashabikia chama cha siasa utadhani ni mali ya familia yake, kumbe hata M/kitu hamjui! Kama huyu aliamua kuwa mtumwa wa CCM, huna sababu ya kuumia. Achana naye na hapo hakuna suala la amani ya nchi, ni mapenzi yake.
 
Tunapata prsha ya bure. Kuna watu wameamuia kuwa watumwa na hatuna njia ya kuwasaidia. Mtu anashabikia chama cha siasa utadhani ni mali ya familia yake, kumbe hata M/kitu hamjui! Kama huyu aliamua kuwa mtumwa wa CCM, huna sababu ya kuumia. Achana naye na hapo hakuna suala la amani ya nchi, ni mapenzi yake.

Mkuu ,unaelewa maana ya Dhamana /Madaraka /Mamlaka ?.

Unaijua Athari ya kutumia Ofice vibaya kinyume kabisa na Utaratibu !?.

Jeshi la Polisi linaposhiriki vikao vya ndani vya CCM, unategemea litatenda haki kwa vyama vingine?
 
Mkuu ,unaelewa maana ya Dhamana /Madaraka /Mamlaka ?.

Unaijua Athari ya kutumia Ofice vibaya kinyume kabisa na Utaratibu !?.
Tatizo munalaani kamanda huyu bila kumbukumbu kwamba Mbowe anatumia madaraka vibaya, Magufuli anatumia vibaya, Shen anatumia vibaya, Zitto anatumia vibaya, wewe unatumia vibaya hapo nyumbani kwako, nk. Now, when everybody is guilt, who is guilt?
 
u

Alitubu kabla ya kufa? wee utumie madaraka yako vibaya kunyanyasa watu halafu eti ulazwe pema? kama hakutubu, kuacha uovu na kumrudia Muumba wa Mbingu na Nchi huyo ni motoni tu tena kuzimu....
Ndo maana nimesema Mungu anaona ya nuruni na ya gizani.....kiimani tunaaswa kuwa makini na maisha yetu....unaweza kukosa na kutubu lakini adhabu ipo pale pale.....ni kumwomba Mungu atupatie REHEMA KAMILI.
 
Huyu ndiyo yule aliefanya jeshi letu la polisi kuwa la ccm na kuvunja katiba yetu kwamba polisi ni kwa kila raia wa Tanzania?

Kwamba if A = B and B = C then A = C nakwamba akatamatisha kuwa hakuna tofauti kati ya ccm na polisi.

Ali manipulates Logics kishabiki sana nakufedhehesha elimu ya hesabu

Au siyo yeye ?
Ile yote ilikuwa njaa ya kuusaka uIGP
 
Ni huzuni & majonzi

Ameumaliza mwendo

Kazi ya Mungu Haina makosa

RIP Kamanda Shana

=====

TANZIA: KAMANDA JONATHAN SHANA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu

Alifahamika zaidi katika kujihusisha na shughuli za Vyama akiwa na sare za kipolisi. Aidha, aliwahi kufananisha Chama Tawala, Serikali na Dola kwa Kanuni za Kihesabu

Kamanda Shana aliwahi kuwa RCO Mikoa Mbalimbali Nchini ikiwemoRPC-Mikoa ya Pwani, Mwanza na Arusha pia aliwahi kuwa Mkuu wa Upelelezi Simiyu.

ACP Jonathan Shana amefariki akiwa Afisa Mnadhimu katika Chuo cha Polisi (CCP) Moshi



Pia soma >>> RPC Shana anavyotikisha Arusha, awadaka Majangili hatari, AK 45, Meno ya Tembo

Watu 9 waliohusika kutungua chopa na kumuua rubani wakamatwa

Inaonekana umeandika kama una furaha vile?
Hata ufanye lipi kufa ni lazima, kwa haiyo Han[na pus litasalia kwenye hii dunia.
 
Back
Top Bottom