Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Hii habari ya kuumwa niliiona Jana kwenye ukurasa wa Babu mzanzibar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna amani hapo! Hukumu ya Shana mbona iko simple kabisa kujulikana!Mungu ampumzishe kwa amani
Okay sisi hatuna la kusema mbele ya kazi za Mungu. Yeye anaona ya nuruni na ya gizani. Kamanda alale mahali pema peponi Amina.Naaam
Nami namkumbukia kwa hapo
Alikuwa RPC wa Mkoa wa ArushaALIKUWA MKOA GANI MARA YA MWISHO KABLA YA MAUTI?
Hapana sio huyu. Huyu ni yule alikuwa kamanda wa Arusha. R.I.PNdio
Hatuendi peponi kwa mastahili yetu bali ni kwa huruma ya Mungu. Ndo maana wenzetu wanasema 'roho za marehemu zipate rehema kwa Mungu zipumzike kwa amani.'Watakuja Watu Kukupinga Ingawa Upo Sawa
CCPALIKUWA MKOA GANI MARA YA MWISHO KABLA YA MAUTI?
Aisee Shana ndio kawa hivi!!Ni huzuni & majonzi
Ameumaliza mwendo
Kazi ya Mungu Haina makosa
RIP Kamanda Shana
View attachment 1571062View attachment 1571063View attachment 1571064View attachment 1571065
View attachment 1571066
Si ndo huyu mzee wa Ukipigaa napigaa...Ukipiga unapigwaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mara ya mwisho alipelekwa Moshi akawe kiongozi wa mafunzo ya polisi au??? Daah apumzike kwa amaniAlikuwa RPC wa Mkoa wa Arusha
Alikuwa ni "close friend" wa Mrisho Gambo, mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini, kupitia CCM,
Sio huyoHivi Ni huyu video yake fulani ili trend akiwa na Ilani ya CCM?