"amesababisha niichukie kada yote ya polisi." Matendo ya mtu mmoja ndio yalisababisha ulichukie Jeshi zima la Polisi!! Nadhani una sababu nyengine ambazo hutaki tujue.Amefanya nini zaidi ya kuwa polisi kada wa chama cha mapinduzi? Na yeye kupitia nafasi yake amekuwa akiunyanyasa upinzani. Ametumika vibaya kisiasa,pia amesababisha niichukie kada yote ya polisi. Naombeni mnisamehe kama nimewakwanza.
R.I.P kamanda kada w CCM
alikuwa chini ya kamandaAlikua ndio boss pale chuo cha polisi Moshi
Ameondoka kabla ya matunda yake ya october ya GamboAende anakostahili kutokana na matendo yake
Le him go where he deserve to beWatu hua mna matatizo sana..kujiona mwema na kumbe ni mdhambi mkubwa na hujielewi hii nayo ni hasara
Jehanamu kuna watu wake. Tunamtakia agike salama huko akavune alichopandaAlikufa Afande Masoud, nchi nzima kila mtu anacomment RIP, utafikiri ndio alikuwa IGP. Leo kafa huyu jamaa, kila mtu anamng'ong'a. Kiburi si maungwana, haki huinua taifa, hao unaojaribu kuwafurahisha huenda ukifa hata wasitoe mchango wa kuni wala kukuchimbia kaburi.
Tanguliza utu ukiwa na cheo. Usitumie cheo chako kufanya ya kipumbavu ili watu wachache wacheke huku ukiumiza wenye haki.
Ukiwa wa shetani utaenda kwa shetani tu. Hakuna haja ya kumung'unya maneno haisaidii kitu. Let him go to hellHuyu ndiyo yule aliefanya jeshi letu la polisi kuwa la ccm na kuvunja katiba yetu kwamba polisi ni kwa kila raia wa Tanzania?
Kwamba if A = B and B = C then A = C nakwamba akatamatisha kuwa hakuna tofauti kati ya ccm na polisi.
Ali manipulates Logics kishabiki sana nakufedhehesha elimu ya hesabu
Au siyo yeye ?
Ndie haswaa, karma jamani haijawahi kumwacha mtu!Huyu ndiyo yule aliefanya jeshi letu la polisi kuwa la ccm na kuvunja katiba yetu kwamba polisi ni kwa kila raia wa Tanzania?
Kwamba if A = B and B = C then A = C nakwamba akatamatisha kuwa hakuna tofauti kati ya ccm na polisi.
Ali manipulates Logics kishabiki sana nakufedhehesha elimu ya hesabu
Au siyo yeye ?
Mmmmh! Umekosea english. Andika hivi; Talk about yourself, talk to yourself. Au ulitaka kuandika speak for yourself? Unalo deni la kujifunza mengi kuliko kuhangaika kumtetea Mbowe, Magufuli, Zitto, Lissu, nk.Kwa hiyo nyumbani kwako wewe ni A, B and C ....!? Talk for yourself!
SAmahani... Polisi ni idaraHivi kwanini hapa kwetu Polisi ni Jeshi na si Idara kama ilivyo uhamiaji?
Tatizo ni imani yangu kwao."amesababisha niichukie kada yote ya polisi." Matendo ya mtu mmoja ndio yalisababisha ulichukie Jeshi zima la Polisi!! Nadhani una sababu nyengine ambazo hutaki tujue.
Huyo huyoHivi Ni huyu video yake fulani ili trend akiwa na Ilani ya CCM?
Duniani tunapita. Kuna watu wanajipa Umungu kana kwamba hawata kufa.Amsalimie sana Mkapa. Amwambie sisi bado tupo tu kama Wassira
Duh! Basi ni mipango ya Mungu.Alikuwa RPC wa Mkoa wa Arusha
Alikuwa ni "close friend" wa Mrisho Gambo, mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini, kupitia CCM,
Apumzike huko anakostahili!Friend.of Gambo, R.I.P soldier