Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

mkeka me ckuwa naweka ata kidogo me nilikuwa na dili na virtual games na mchezo wangu mkubwa ulkuwa ni spin na wa pili ni aviator
 
kama ulkuwa unaniona vile kaka me nlikuwa na spin tuu na mara chache chache nacheza aviotor kwa simu nkiwa npo kwa ofisi
Ku spin ni hatari mnoo mimi niliwahi jiingiza huko asubuhi tu nishamaliza kunywa chai nazama huko kuondoka ni mpaka niishiwe kiasi nilichoenda nacho au kufungwe, ila nashukuru nilifanikiwa kuchomoka na sitarudi tena
 


Pole Sana kaka , shit always is there.

Muda bado upo wa kurekebisha makosa.

Anza na Meditation au tahajud au sala za usiku.

Mkabdhi Mungu kila kitu kuanzia sasa
Unapoamka usiku muombe Sana Mungu akurejeshe on the right way .

Pia jisamehe usijihukumu maana kamali sio wewe tu there's a lot of the people imeua dreams zao so usjione wewe ndo umekumbwa na hilo tatizo peke yako.


Then practice gratitude kila mara kila dakika jizoeze kushukuru Amini utarudi katika Raman I soon as possible.

And finally cherish every single moment

Learn from LS (Mistakes ) but don't dwell on negative thoughts &Past.

Tuna Dakika Sana duniani so blaming is ill.
 
On a serious note, kuacha kamari ni kujikana. Na huez amini, ukifanikiwa ndani ya mwez mmoja kutocheza kamari tayari uko kwenye njia njema.
hii kitu nliambiwa na padre mmoja pale st terresia nlipoenda kutafta msaada wa kiroho. In a nut shell "tatizo la mtu ni mtu mwenyewe so wewe pekee ndo unaweza kuamua kuacha ama lah!!!" but kwangu imekuwa ngumu hii kitu
 
Nilikua nataka nione tu baada ya biashara unayosema uliachana na ajira umeingiza sh ngapi kwa miaka yote hiyo nimechoka nilipoiona milion 4 πŸ˜„! Wenzio hyo ni posho tu ya mwezi bado misheard mishe! Pole sana.
Kila mtu na kiwango chake
 
Nilikua nataka nione tu baada ya biashara unayosema uliachana na ajira umeingiza sh ngapi kwa miaka yote hiyo nimechoka nilipoiona milion 4 πŸ˜„! Wenzio hyo ni posho tu ya mwezi bado misheard mishe! Pole sana.
Lakini kwa mfanya biashara hyo 4ml ata kama kaipata kwa miaka 10.....bado ananafasi nzuri ya kuiongeza hyo mara tano yake kwa miaka 2...

Biashara ni kama baiskeli itachukua muda kujifunza ila ukishaweza ndo umeweza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…