Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Profit milion 4 kwa miaka yote hiyo?π π π π thanks a lot
ndugu kumbuka iyo ilikuwa ni profit tyuu na biashara ilikuwa na mambo mengne yaliendelea
Profit milion 4 kwa miaka yote hiyo?π π π π thanks a lot
ndugu kumbuka iyo ilikuwa ni profit tyuu na biashara ilikuwa na mambo mengne yaliendelea
mkeka me ckuwa naweka ata kidogo me nilikuwa na dili na virtual games na mchezo wangu mkubwa ulkuwa ni spin na wa pili ni aviatorPole kijana Mimi pia ni muhanga na hii kitu , ila naeza SEMA angalau Hela nliyoliwa sio pesa yangu ya jasho wala ya wazazi Bali ni pesa ya bumu tu ya matumizi binafsi chuoni mana wengine wanahonga wengine wanailia Bata wengine wanapenda kupendeza ko mwendo wa nguo na viatu ila mm nliiweka kwny betting Kwa kuweka odds 2 natia laki . Katika betting unaweza ona kitu ni uhakika mfano yanga anacheza na majimaji watu wanaekaga ata milion ili wapate laki Kwa vile wanaona yanga anashinda uhakika , ila mipira haitabiriki ndo nlichojifunza ndomana odd 1.01 inachana fresh tu,NB hakuna option kwny kubeti Ina asilimia π― kutiki bali inaeza kua na 99%, kama option sio asilimia π― uwezekano wa tukio kutokea basi jua pesa Yako IPO hatarini kupotea Yani umeiwekea rehani haijalishi chochote na hakuna tukio lenye uwezekano wa 100% kwny mpira au mchezo wowote ko ni ubahatishaji tu usidanganywe na odds Wala ukubwa wa timu
Ku spin ni hatari mnoo mimi niliwahi jiingiza huko asubuhi tu nishamaliza kunywa chai nazama huko kuondoka ni mpaka niishiwe kiasi nilichoenda nacho au kufungwe, ila nashukuru nilifanikiwa kuchomoka na sitarudi tenakama ulkuwa unaniona vile kaka me nlikuwa na spin tuu na mara chache chache nacheza aviotor kwa simu nkiwa npo kwa ofisi
Kwanza nitangulize salamu zangu kwa wanajamvi wote humu ndani, Tumsifu yesu kristo, Asaalam Aleykum.
Mimi ni kijana wa miaka 26 (me) elimu yangu ya juu ni degree ya tourim managment niliyoipata SUA miaka 2 iliyopita.
Kiufupi Mimi ni muumin mzuri wa biashara hivyo basi baada ya kuhitimu elimu yangu pale SUA mwaka 2022 nilikuwa nmefankiwa kukusanya kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kufanya biashara na kweli nilirudi mkoani kwangu na kufungua biashara ya kuuza vyombo vya ndani katika soko la kilombero, Hivyo kwangu cheti hakikua na maana yoyote ile kwani nia yangu ilikuwa niwe mfanya biashara mkubwa tuu hivyo cheti cha form six na chuo vyote sikuchukua kwani sikua na mpango ata theluthi moja wa kuajiriwa.
Hivyo basi ubongo na akili niliviboost kimapacha ili nikue kibiashara na kweli mambo yalikuwa poa, huku classmate wangu wengne wakitafta ajira. Mpaka kufika mwaka jana mwezi wa 8(august) nikuwa na kiasi cha 4 million.
Basi bhana kuna siku classmate wangu mmoja alniomba tukutane mtaa flani iv na me nkaenda kweli kumskilza ila kwa bahati mbaya alkua kwenye nyumba ya michezo ya bahati na sibu bas bhana tukapiga story na nkamuomba anielekeze namna ya kubeti alooooo hapo ndo nilipo jiloga mwenyewe kwani kwa siku ile nilkula kama elfu 78 kwa dau la 2500 nkasema mbona pesa apa ni chap chap.
WAKUU kuanzia hapo nilkuwa mkamaria mzuri yaan mpaka kuna time nlikua naacha ofisi yenyewe naenda kupambana na betting niwe mkweli betting imeniharibu vibaya mnoo na kunifilisi kila kitu nlichokuwa nacho apa nlipo sina simu wala ata senti moja.
BETTING imeharibu si tu uchumi wangu ata mahusiano na jamii,ndugu,pamoja na marafiki kwan uaminifu tena na mimi hawana PILI betting imenipotezea hisia za mapenzi, hofu ya mungu pamoja na ladha ya chakula kiufupi tyuu saiv akili na ubongo kila kukicha ni kuwaza betting na nimekuwa nikishinda kwenye nyumba za betting kuanzia asubuhi ad wanafunga yaani kula yangu yenyewe ad nipige ukware nikipata buku nile jero na jero nibaahatishe bahati yangu lakini nmeambulia kuwa mtu wa kujilaumu ad kna mda natamani tyuu bora nife coz I am great loser en dis is painful to me always en am lose hope,light en love.
NOW tumain pekee la kwa nini niishi ni namhurumia mwanangu pamoja na mam yake vip wataishi? ni heri nichechemee hivi hivi huku nikifurahia tabasamu la kachanga kangu though sijui now ako na two month nlichomudu kumnunulia ni kofia mbili tyuuu that too bad to how dis fucking aibu inantafuna.
Hapana kama umesoma vizuri ni kufkia mwak jana mwez wa 8 ndo nlikuwa na icho kias na bussines nlianza mwaka 2022 mwez dec tarahe 19P
Profit milion 4 kwa miaka yote hiyo?
samahani kwa hiloMsomi mkubwa.
Tyuu=tu
hii kitu nliambiwa na padre mmoja pale st terresia nlipoenda kutafta msaada wa kiroho. In a nut shell "tatizo la mtu ni mtu mwenyewe so wewe pekee ndo unaweza kuamua kuacha ama lah!!!" but kwangu imekuwa ngumu hii kituOn a serious note, kuacha kamari ni kujikana. Na huez amini, ukifanikiwa ndani ya mwez mmoja kutocheza kamari tayari uko kwenye njia njema.
Kila mtu na kiwango chakeNilikua nataka nione tu baada ya biashara unayosema uliachana na ajira umeingiza sh ngapi kwa miaka yote hiyo nimechoka nilipoiona milion 4 π! Wenzio hyo ni posho tu ya mwezi bado misheard mishe! Pole sana.
Hamkosekanagi mamiliomea wa JfNilikua nataka nione tu baada ya biashara unayosema uliachana na ajira umeingiza sh ngapi kwa miaka yote hiyo nimechoka nilipoiona milion 4 π! Wenzio hyo ni posho tu ya mwezi bado misheard mishe! Pole sana.
result sleep coz wakati wa udahili cheti kilikuwa bado hakijatoka kumbuka me ni direct from school not diploma nduguUandishi wako tu unaonesha kuna tatizo au labda sipo sawa..
Uliona vyeti havina umuhimu, ulidahiliwa vipi kuingia chuo kikuu bila cheti cha f6?
Lakini kwa mfanya biashara hyo 4ml ata kama kaipata kwa miaka 10.....bado ananafasi nzuri ya kuiongeza hyo mara tano yake kwa miaka 2...Nilikua nataka nione tu baada ya biashara unayosema uliachana na ajira umeingiza sh ngapi kwa miaka yote hiyo nimechoka nilipoiona milion 4 π! Wenzio hyo ni posho tu ya mwezi bado misheard mishe! Pole sana.
NAKAZIAKitendo cha kutambua kua betting imekuharibia maisha ni ishara ya kujitambua na kutambua kosa lako,
Bado hujachelewa na umri wako bado unaruhusu,toka huko kwenye betting uanze upya,
Kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa.