Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
😂😂😂😂 changamoto hiyo!Sleep
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 changamoto hiyo!Sleep
result slipEti ???!!!… result nini??🤦♀️
Aaaah wewe bwana chai hii…!
Pole sana mkuu., Rudisha simu ya watu!hapa nlipo sina simu wala ata senti moja.
Pole sanaresult slip
hapa nipo betting house natumia computer yao ki wizi kuingia jamiiPole sana mkuu., Rudisha simu ya watu!
kwa sababu sina kifaa chochote cha mawasilianohapa nipo betting house natumia computer yao ki wizi kuingia jamii
kimsingi ni uvivu tu wa kuchapa neno kwa neno ndo maana unaona naamanisha kitu tofauti kabisaPole sana
Hamna,atahama mpaka lini? je kama huko anakohamia Hali ikienda kuwa mbaya zaidiNakushauri ubadilishe mazingira Mkuu kwa kuhama sehemu uliyopo.
Bad hujakoma?kwa sababu sina kifaa chochote cha mawasiliano
nenda kanisani utapona 100%ndugu mwaka huu mwanzoni nliamua kuikimbia lkn uez amini mwez wa 5 nlirudi kwa kasi ya ajabu na imeshanilevya nawish niiende cjui pori gani nkakae kwa muda at wa mwaka ili niitibu kwanza akili na kuieka swa
now sina ninachomiliki na sina pa kwenda apa ndo maskani yangu, hii ofisi nimeacha pesa zangu nyingi so acha tu nitumie vifaa vyao kuwasilianaBad hujakoma?
kanisani nlikwa naenda na mama yangu yeye akiamini ni roho chafu nimetupiwa so maombi kanipeleka sana bahati mbaya mimi sipendi maombi yao ya makelele na kila siku nilimwambia mama sisi ni wakatoliki so haya maombi siyapendi bora nikaombewe katoliliki ila yeye anasema mungu ni mmoja then why tuende kwa kanisa ambalo hatsali wala sisi sio waamini wake? ninachoamini natakiwa nijiponye mwenyewe kwa kuacha kabisa je naachaje apa bado natafta njia ya kuchomokanenda kanisani utapona 100%
Watumishi wangapi wana akiba ya 4m benki baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili?Nilikua nataka nione tu baada ya biashara unayosema uliachana na ajira umeingiza sh ngapi kwa miaka yote hiyo nimechoka nilipoiona milion 4 😄! Wenzio hyo ni posho tu ya mwezi bado misheard mishe! Pole sana.
Cheti cha f6 wengi wanachukua baada ya kumaliza chuo.Uandishi wako tu unaonesha kuna tatizo au labda sipo sawa..
Uliona vyeti havina umuhimu, ulidahiliwa vipi kuingia chuo kikuu bila cheti cha f6?