Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

kama ulkuwa unaniona vile kaka me nlikuwa na spin tuu na mara chache chache nacheza aviotor kwa simu nkiwa npo kwa ofisi
Wewe akili huna hapo ulikua haubeti Bali ulikua unaliwa hivi mtu mwenye akili timamu utacheza aviator wabongo akili mnaweka wapi yaani unacheza kitu kinachochezeshwa na kompyuta akili huna mzee hupasi kuonewa huruma
 
Wewe akili huna hapo ulikua haubeti Bali ulikua unaliwa hivi mtu mwenye akili timamu utacheza aviator wabongo akili mnaweka wapi yaani unacheza kitu kinachochezeshwa na kompyuta akili huna mzee hupasi kuonewa huruma
samahani ndugu je kubeti ni kufanyaje yawezekana nkapata chochote kupitia wewe! seems like betting is all about winng right?
 
Anhaa duh Yani mi napendelea sana sports kuliko games, michezo halisia naona kabisa apa man city kakandwa live kabisa dk 90 na nlimpa ashinde au naona kabisa mpka dk ya 90 watu wamegoma kufungana Ngoma 0-0 na nliiweka over 1.5.l, games zile jau sana na apo ndo kampuni za betting zinapiga pesa nyngi sana Yani spin Ile ni bahati kwelkwel kupata na pia nahisi inachezeshwa tu na bookies , aviator nacho nlijaribu nkaona kina flew away kwny 1.00 nkaona ni utapeli tu apa Bora angalau michezo halisi inaenda na uhalisia na uwezekano
 
Kwa Nini unaandika Tyu badala YA TU? Angalia usije kuleft group.
 
Zab 27:1
Bwana ni nuru yangu na wakovu wangu
Mithali 1:10
Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi, WEWE usikubali
Hos 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
 
Anhaaa nimecheka sana mpaka mgonjwa aliyejifanya kazimia akaletwa hapa amezinduka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…