Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Aviator haijawahi muacha mtu salama🤣🤣🤣kama ulkuwa unaniona vile kaka me nlikuwa na spin tuu na mara chache chache nacheza aviotor kwa simu nkiwa npo kwa ofisi
Chuo ulichosoma ni SUA Morogoro ila ulipohitimu ulirudi mkoani kwako na kufungua biashara Kilombero (Morogoro). Hali sio, unahitaji msaada.Kwanza nitangulize salamu zangu kwa wanajamvi wote humu ndani, Tumsifu yesu kristo, Asaalam Aleykum.
Mimi ni kijana wa miaka 26 (me) elimu yangu ya juu ni degree ya tourim managment niliyoipata SUA miaka 2 iliyopita.
Kiufupi Mimi ni muumin mzuri wa biashara hivyo basi baada ya kuhitimu elimu yangu pale SUA mwaka 2022 nilikuwa nmefankiwa kukusanya kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kufanya biashara na kweli nilirudi mkoani kwangu na kufungua biashara ya kuuza vyombo vya ndani katika soko la kilombero, Hivyo kwangu cheti hakikua na maana yoyote ile kwani nia yangu ilikuwa niwe mfanya biashara mkubwa tuu hivyo cheti cha form six na chuo vyote sikuchukua kwani sikua na mpango ata theluthi moja wa kuajiriwa.
Hivyo basi ubongo na akili niliviboost kimapacha ili nikue kibiashara na kweli mambo yalikuwa poa, huku classmate wangu wengne wakitafta ajira. Mpaka kufika mwaka jana mwezi wa 8(august) nikuwa na kiasi cha 4 million.
Basi bhana kuna siku classmate wangu mmoja alniomba tukutane mtaa flani iv na me nkaenda kweli kumskilza ila kwa bahati mbaya alkua kwenye nyumba ya michezo ya bahati na sibu bas bhana tukapiga story na nkamuomba anielekeze namna ya kubeti alooooo hapo ndo nilipo jiloga mwenyewe kwani kwa siku ile nilkula kama elfu 78 kwa dau la 2500 nkasema mbona pesa apa ni chap chap.
WAKUU kuanzia hapo nilkuwa mkamaria mzuri yaan mpaka kuna time nlikua naacha ofisi yenyewe naenda kupambana na betting niwe mkweli betting imeniharibu vibaya mnoo na kunifilisi kila kitu nlichokuwa nacho apa nlipo sina simu wala ata senti moja.
BETTING imeharibu si tu uchumi wangu ata mahusiano na jamii,ndugu,pamoja na marafiki kwan uaminifu tena na mimi hawana PILI betting imenipotezea hisia za mapenzi, hofu ya mungu pamoja na ladha ya chakula kiufupi tyuu saiv akili na ubongo kila kukicha ni kuwaza betting na nimekuwa nikishinda kwenye nyumba za betting kuanzia asubuhi ad wanafunga yaani kula yangu yenyewe ad nipige ukware nikipata buku nile jero na jero nibaahatishe bahati yangu lakini nmeambulia kuwa mtu wa kujilaumu ad kna mda natamani tyuu bora nife coz I am great loser en dis is painful to me always en am lose hope,light en love.
NOW tumain pekee la kwa nini niishi ni namhurumia mwanangu pamoja na mam yake vip wataishi? ni heri nichechemee hivi hivi huku nikifurahia tabasamu la kachanga kangu though sijui now ako na two month nlichomudu kumnunulia ni kofia mbili tyuuu that too bad to how dis fucking aibu inantafuna.
Mama🤔? Hadi wanawake Wana uraibu wa kamariKamari kamari, kuna mama mmoja ni nesi hospitali fulani pale Dom, aliweka hadi rehani gari yake noah na ikaenda, pesa ya semina akiipata yote inaishia kwenye kamari anabakiwa na nauli tu
Hapana , apo unakuwa umeongeza uwezekano wa kula na sio uhakika wa kula , ata uweke mech Moja uweke mzigo wa maana utaumia tu , kamari n hatari sana , isije kushawishika ukaweka pesa kubwa mana huchez wwmchezo wa wenye hela jamani huu, chukua timu zako mbili weka mzigo wa maaana.
sie wengine utaishia minya pumbuz tuu kama mie hapa nimeweka goal goal mechi ya uturki na austria lakini naona dakika zinaenda tuu austria hafungi
maisha is about probability sasa wewe weka mechi zako mbili tia mpunga, u will win more than lose. hapa nilishapate hela ya supu. GG imetoka mechi ya turkeyHapana , apo unakuwa umeongeza uwezekano wa kula na sio uhakika wa kula , ata uweke mech Moja uweke mzigo wa maana utaumia tu , kamari n hatari sana , isije kushawishika ukaweka pesa kubwa mana huchez ww
Degree holder mwandiko wa kingumbaruKwanza nitangulize salamu zangu kwa wanajamvi wote humu ndani, Tumsifu yesu kristo, Asaalam Aleykum.
Mimi ni kijana wa miaka 26 (me) elimu yangu ya juu ni degree ya tourim managment niliyoipata SUA miaka 2 iliyopita.
Kiufupi Mimi ni muumin mzuri wa biashara hivyo basi baada ya kuhitimu elimu yangu pale SUA mwaka 2022 nilikuwa nmefankiwa kukusanya kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kufanya biashara na kweli nilirudi mkoani kwangu na kufungua biashara ya kuuza vyombo vya ndani katika soko la kilombero, Hivyo kwangu cheti hakikua na maana yoyote ile kwani nia yangu ilikuwa niwe mfanya biashara mkubwa tuu hivyo cheti cha form six na chuo vyote sikuchukua kwani sikua na mpango ata theluthi moja wa kuajiriwa.
Hivyo basi ubongo na akili niliviboost kimapacha ili nikue kibiashara na kweli mambo yalikuwa poa, huku classmate wangu wengne wakitafta ajira. Mpaka kufika mwaka jana mwezi wa 8(august) nikuwa na kiasi cha 4 million.
Basi bhana kuna siku classmate wangu mmoja alniomba tukutane mtaa flani iv na me nkaenda kweli kumskilza ila kwa bahati mbaya alkua kwenye nyumba ya michezo ya bahati na sibu bas bhana tukapiga story na nkamuomba anielekeze namna ya kubeti alooooo hapo ndo nilipo jiloga mwenyewe kwani kwa siku ile nilkula kama elfu 78 kwa dau la 2500 nkasema mbona pesa apa ni chap chap.
WAKUU kuanzia hapo nilkuwa mkamaria mzuri yaan mpaka kuna time nlikua naacha ofisi yenyewe naenda kupambana na betting niwe mkweli betting imeniharibu vibaya mnoo na kunifilisi kila kitu nlichokuwa nacho apa nlipo sina simu wala ata senti moja.
BETTING imeharibu si tu uchumi wangu ata mahusiano na jamii,ndugu,pamoja na marafiki kwan uaminifu tena na mimi hawana PILI betting imenipotezea hisia za mapenzi, hofu ya mungu pamoja na ladha ya chakula kiufupi tyuu saiv akili na ubongo kila kukicha ni kuwaza betting na nimekuwa nikishinda kwenye nyumba za betting kuanzia asubuhi ad wanafunga yaani kula yangu yenyewe ad nipige ukware nikipata buku nile jero na jero nibaahatishe bahati yangu lakini nmeambulia kuwa mtu wa kujilaumu ad kna mda natamani tyuu bora nife coz I am great loser en dis is painful to me always en am lose hope,light en love.
NOW tumain pekee la kwa nini niishi ni namhurumia mwanangu pamoja na mam yake vip wataishi? ni heri nichechemee hivi hivi huku nikifurahia tabasamu la kachanga kangu though sijui now ako na two month nlichomudu kumnunulia ni kofia mbili tyuuu that too bad to how dis fucking aibu inantafuna.
Ndiyo na niliyopata yuko sahihiapa❌️
hapa✅️
cpo❌️
sipo ✅️
ndo❌️
nd'o✅️
ndio✅️
nliyopta❌️
niliopata✅️
huyu akachinjwe kabisa hana akiliKamari kamari, kuna mama mmoja ni nesi hospitali fulani pale Dom, aliweka hadi rehani gari yake noah na ikaenda, pesa ya semina akiipata yote inaishia kwenye kamari anabakiwa na nauli tu
Kamari ni kama pepo akishakuingia, tena ni mtu mzima yuko karibuni ku retireMama🤔? Hadi wanawake Wana uraibu wa kamari
Bado hujui Kiswahili mkuu. Mimi nilikua najua kama wewe. Nikasahihishwa na mtaalamu wa Kiswahili.Ndiyo na niliyopata yuko sahihi
au siyoFanya kosa la jinai ufungwe jela hata miaka 2 tu ukitoka mkeo ana mume mwingine na hutakuwa na hamu ya betting.
Unajizima data kwa mambo ya kingese hayo.
kuna mda hua mnaangalia vitu vya hovyo sanaDegree holder mwandiko wa kingumbaru
ahsant sana mkuuWe baado janja kabisa sema una mbio afu hujui njia,
Sasa unajiona bitch vile life inakufuck.
Kaza tafuta kazi sasa hata ya 10k/day na uridhike na kipatocuha kazi ya mikono yako.
Mimi naamini pesa inatengenezwa na nguvu, muda na akili. Wala sio kuweka tu pesa mahali wewe ukatulia ati utakuta imekua nyingi lazima upigwe siku yako ikikufikia.
Pole, anza upya.
Tatizo vijana wana tamaaa....kamali ni ya wenye hela...ni njia nyingine waliyobuni kukwapua hela toka kwa maskiniWe baado janja kabisa sema una mbio afu hujui njia,
Sasa unajiona bitch vile life inakufuck.
Kaza tafuta kazi sasa hata ya 10k/day na uridhike na kipatocuha kazi ya mikono yako.
Mimi naamini pesa inatengenezwa na nguvu, muda na akili. Wala sio kuweka tu pesa mahali wewe ukatulia ati utakuta imekua nyingi lazima upigwe siku yako ikikufikia.
Pole, anza upya.
Ni kama mchele wa kuitia jogoo la pasaka.Tatizo vijana wana tamaaa....kamali ni ya wenye hela...ni njia nyingine waliyobuni kukwapua hela toka kwa maskini
Pole mkuu ata mim pia ni muhanga wa hii kituKwanza nitangulize salamu zangu kwa wanajamvi wote humu ndani, Tumsifu yesu kristo, Asaalam Aleykum.
Mimi ni kijana wa miaka 26 (me) elimu yangu ya juu ni degree ya tourim managment niliyoipata SUA miaka 2 iliyopita.
Kiufupi Mimi ni muumin mzuri wa biashara hivyo basi baada ya kuhitimu elimu yangu pale SUA mwaka 2022 nilikuwa nmefankiwa kukusanya kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kufanya biashara na kweli nilirudi mkoani kwangu na kufungua biashara ya kuuza vyombo vya ndani katika soko la kilombero, Hivyo kwangu cheti hakikua na maana yoyote ile kwani nia yangu ilikuwa niwe mfanya biashara mkubwa tuu hivyo cheti cha form six na chuo vyote sikuchukua kwani sikua na mpango ata theluthi moja wa kuajiriwa.
Hivyo basi ubongo na akili niliviboost kimapacha ili nikue kibiashara na kweli mambo yalikuwa poa, huku classmate wangu wengne wakitafta ajira. Mpaka kufika mwaka jana mwezi wa 8(august) nikuwa na kiasi cha 4 million.
Basi bhana kuna siku classmate wangu mmoja alniomba tukutane mtaa flani iv na me nkaenda kweli kumskilza ila kwa bahati mbaya alkua kwenye nyumba ya michezo ya bahati na sibu bas bhana tukapiga story na nkamuomba anielekeze namna ya kubeti alooooo hapo ndo nilipo jiloga mwenyewe kwani kwa siku ile nilkula kama elfu 78 kwa dau la 2500 nkasema mbona pesa apa ni chap chap.
WAKUU kuanzia hapo nilkuwa mkamaria mzuri yaan mpaka kuna time nlikua naacha ofisi yenyewe naenda kupambana na betting niwe mkweli betting imeniharibu vibaya mnoo na kunifilisi kila kitu nlichokuwa nacho apa nlipo sina simu wala ata senti moja.
BETTING imeharibu si tu uchumi wangu ata mahusiano na jamii,ndugu,pamoja na marafiki kwan uaminifu tena na mimi hawana PILI betting imenipotezea hisia za mapenzi, hofu ya mungu pamoja na ladha ya chakula kiufupi tyuu saiv akili na ubongo kila kukicha ni kuwaza betting na nimekuwa nikishinda kwenye nyumba za betting kuanzia asubuhi ad wanafunga yaani kula yangu yenyewe ad nipige ukware nikipata buku nile jero na jero nibaahatishe bahati yangu lakini nmeambulia kuwa mtu wa kujilaumu ad kna mda natamani tyuu bora nife coz I am great loser en dis is painful to me always en am lose hope,light en love.
NOW tumain pekee la kwa nini niishi ni namhurumia mwanangu pamoja na mam yake vip wataishi? ni heri nichechemee hivi hivi huku nikifurahia tabasamu la kachanga kangu though sijui now ako na two month nlichomudu kumnunulia ni kofia mbili tyuuu that too bad to how dis fucking aibu inantafuna.