Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

1. Walipima wapi, lini na ngombe wangapi ili kujua kila ngombe moja ktk hao malaki anakunya mv uzito wa nusu ya mfuko wa cement?

2. Lita hizo za mkojo na mv zilitoka wapi kama muda husika ulikuwa kiangazi hakuna mvua?

3. Miaka yote kabla ya tukio hili la ghafla kulikuwa hakuna ngombe?

4. Kama walikuwepo kwanini ngombe waanze ghafla kunya na kukojoa kiasi hicho muda wa kiangazi tu na sio masika? Waliugua kipindupindu?
 
Wewe Ndio Mdau ambao JF wanenileta kukusoma huku?
 
Kisayansi tunaelewa kinyesi ni moja ya chakula cha samaki.

Pia kinyesi kikioza ndani ya maji huzalisha wadudu ambao huliwa na samaki.

Sasa hii ya kinyesi kuchafua maji na kuua samaki imekua ni mpya.
Ndugu yangu kwanza watu watofautishe mto na bwawa pale mto mara maji yanatiririka sasa hiyo kinyesi kina resistance gani kuweza kutuama na kuweza kutengeneza sumu. Hii haiwezekani mimi sikubaliani na hii ripoti
 
Kisayansi tunaelewa kinyesi ni moja ya chakula cha samaki.

Pia kinyesi kikioza ndani ya maji huzalisha wadudu ambao huliwa na samaki.

Sasa hii ya kinyesi kuchafua maji na kuua samaki imekua ni mpya.

Serikali nzima haiwezi kujitenga na hii kadhia.

Hakuna kisingio hapa.

Taarifa iliyotolewa haiingii akilini.
 
Hao watu wa mara vinyesi vyao vipimwe tu
Maana kama majibu ya tume ndiyo Haya
Basi kinyesi toka mara unaweza zalishia bomu la nyuklia

Ova
 
SERIKALI yetu inapenda utani sana..
Kanda ya Ziwa.. ugonjwa wa CANCER umeongezeka sana.. ikumbukwe maji kwenye kwenye mito na hata pembezoni mwa ziwa Victoria hutumika majumbani kama usafi na hata kupikia chakula..
Mwezi wa Nne nitakuwepo Msoma, nitatufuta kifaa kisafi nitaosha na distilled water nitachota maji mtoni na ziwani nitapeleka kiwanda flani (siri) wanayo analyser.. Na tutacheki..
pH kwenye maji
Colour
Sulfur conc
Mercury ipo kiasi gani
Cynide level
Bila hivyo watu watakuja kufa ovyo kwa kutumia chemical za ajabu kwenye maji.
Kinyesi hakiwezi kuwa sumu.. Hata sikumoja.. Ni biological products ambayo kwanza inarutuba.. Ndio maana inatumika kama mbolea
 
cha juu mkuuu na huko kanda ya ziwa kuna kansa kwa kwenda mbele hata ocean road wagonjwa wengi ni wa kanda ya ziwa ,anyway kamati imekula kwa urefu wa kamba yake bana
Aliyeiunda tuma nae kayakubali majibu ya tume?

KILA M1 ALE KWA UREFU WA KAMBA YAKE
 
Yaani ningekuwa Madarakani mimi wangenikoma!! Mjue sasa watanzania hili ndo tatizo la kuingia Madarakani kwa uchawi uchawi!!...Wooote hawa waliokubali utoporo huu hawajasoma vizuri hawa madarasa yakawakaaa!!

Ila waliingia madarakani kwa uchawi!!!.. hawa dini waliweka pembeni ........na mchawi wenu mkubwa aliye waroga mpaka mkalala fofofofofofo ni Dini za yesu mzungu baaaasi!....Naema hamchomokimtake msitake labda mfuate yangu haya!
 
Sasa Rasmi nimeamini Magufuli amefarikii...!!! Yani mpaka waziri anakubali kupokea rpoti ya kimakuuuu hiii...shwain sanaa

Kama ile stori ya maji ya kufulia umeme na matumiz ya makazi kukaushwa na ng’ombe kwa kunywa maji liter 450kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…