Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Chemistry ya wapi hiyo!!ina Maana urea ya ng'ombe na ammonia ya mavi yake itakua sumu KWA samaki anae excrete ammonia kali ZAIDI tena sumu kuliko ya ng'ombe ndipo samaki afe!!???Waache kutudanganya waseme heavy metals zote zinazotokana na uchafu zimeua samaki WETU hapo mara!!Waache usanii !!!
 
Wengi hufikiri watanzania wengi hawaja elimika kama miaka ya mwinyi na nyerere, kwa haraka haraka ananiambia ng’ombe anakula zaidi ya kilo hamsini za nyasi kuzalisha kinyeshi cha kilo 50 mbona hawa Proffesa wanawadharau sana wananchi
Washaonana watanzania wote wapumbavu,
Wao Ndo wanawajua ngombe kuliko wananchi wanaowafuga.
 
Bado hujaweka kinyesi cha binadamu, mbwa na wanyama pori nk.
 
Kama raisi hajaenda shule ni rahisi kumficha vitu vingi kupitia maandishi [emoji3]
Haya ni matusi kwa rais wanamuona mama tahira sijuii yani inasikitishaaa sanaaa ni suala la ajabu sanaaaa...!! Hata kama ni rushwa bhasi hii imezidi
 
Nchi ngumu sana hii
 

Hivi wale nyumbu, nyati, punda milia, swala nk wa great migration huwa hawajisaidii? Ni ng'ombe, punda, mbuzi na kondoo tu?
 
Kasome kuhusu minamata bay..ndio uje utoe hilo povu lako.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bongo!! ***** walai [emoji23]

Hawa wanasiasa wanatuchukulia sisi ni viazi kweli, na kiukweli wametuweza, hiyo ishaishia hapo.
 
From my instinct, this is rubbish period.
 
Tangu lini organic matters zikaua samaki..wakati kuna kambale wanaishi kwenye tope chafu na hawakufi..hawa jamaa wamepewa hongo wakapindisha uchunguzi na kuleta ngonjera zisizo na mashiko kabisa...haimake sense kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sasa Rasmi nimeamini Magufuli amefarikii...!!! Yani mpaka waziri anakubali kupokea rpoti ya kimakuuuu hiii...shwain sanaa
Acha tu juzi nimeona tena wachimbaji wadogo Shinyanga wanaambiwa aondoke eneo la machimbo ya dhahabu wampishe mwekezaji..hii nchi mapanya yamerudi baada ya paka kufariki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hao ng’ombe wanajisaidia MAWE maana hebu fikiria majani Kilo 25 hapo ni gunia mbili ama ?

Sasa kama ni hivyo tusingehitaji mbolea ya YARA
Ndoo ya lita 20 ongezea lita tano..ndio kinyesi cha ng'ombe..nahisi walikosea kusema hapo walimaanisha kifaru ama tembo.

Daah..tushauzwa tayari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…