Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Tangu lini organic matters zikaua samaki..wakati kuna kambale wanaishi kwenye tope chafu na hawakufi..hawa jamaa wamepewa hongo wakapindisha uchunguzi na kuleta ngonjera zisizo na mashiko kabisa...haimake sense kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
Aiseh mi mwenyewe nimeshangaa waseme tu mercury,lead na co wameua samaki kabisa kuliko uongo huo!!
 
Acha tu juzi nimeona tena wachimbaji wadogo Shinyanga wanaambiwa aondoke eneo la machimbo ya dhahabu wampishe mwekezaji..hii nchi mapanya yamerudi baada ya paka kufariki.

#MaendeleoHayanaChama
Yani daah ni shida sanaa
 
Kuna watu wanacheza na akili za watanzania kwa manufaa ya mwekezaji.

Yale Yale ya Zelensky na raia wake kwa manufaa ya marekani[emoji848]
Kwa fikra zako unadhani ni mwekezaji gani kwa namna gani yawezekana akawa amechafua mto Mara?
 
Mtu kapata PhD ndani ya miez 6 unategemea reasoning capacity yake itakuwa nzuri? Sahauni kabisa!!!
 
Ni up.umbavu wa hali juu kufikiria kuwa eti kuna sumu za mgodini zingesababisha samaki kufa mto Mara. Ni fikra za kijinga kabisa kutoka kwa wajinga wasiojua chochote kuhusiana na shughuli za mineral processing.

Mgodi wa North Mara, mahali uliko halafu eti ukasababishe vifo vya samaki mto Mara, hata akili ndogo ya kawaida inakataa.

Kwanza ni sumu gani ambayo ingeweza kutembea toka mgodi wa North Mara mpaka ikafike mto Mara ikiwa bado ina nguvu ya kuua viumbe majini? Chemical pekee yenye sumu kali inayotumika kwenye mineral processing ni Sodium cyanide, ambayo kwa muda mfupi ikiwa exposed kwenye hewa hupoteza nguvu yake. Chemicals nyingine ni acids, ambazo zingeingia majini zingekuwa diluted kutokana na uwingi wa maji.
we jamaa acha porojo basi
 
Wengi hufikiri watanzania wengi hawaja elimika kama miaka ya mwinyi na nyerere, kwa haraka haraka ananiambia ng’ombe anakula zaidi ya kilo hamsini za nyasi kuzalisha kinyeshi cha kilo 50 mbona hawa Proffesa wanawadharau sana wananchi
alafu tunashauriwa kama unafuga samaki nyumbani tuweke bwawa chini ili wale kinyesi leo jamaa wa mchongo wanasema sumu ha ha ha ha ha
 
Ma proffesa siku hizi wamekuwa washenzi sana sijapata logic yoyote hapo, ngoja nimalize kupata kinywaji hapa nikapitie mafaili yangu kwenye mechanism kadhaa na baadha ya tafiti tuanze kumpinga kwa tafiti.

Bila shaka atakuwa amedhalilisha ma profesa wenzake, na hapa inaonesha moja kwa moja serikali haiko radhi kumsumbua muwekezaji kwa sababu wao wanafikiria kukusanya mapato na si kulinda afya za watanzania na viumbe asilia.

Kwa hii ripoti serikali imepotosha
UDSM nayo siku hizi imekuwa bomu kweli kama maprofesa wake wanafanya utafiti na kuandika ripoti za namna hii ambazo hata mtoto wa darasa la 10 anajua siyo kweli. Mimi siyo mtu wa kemia wala elimu ya viumbe lakini hilo ninaliona wazi kabisa kutokana na elimu niliyopata form 1 ya miaka ya 70.
(1) Mto Mara una maji yanayotililika, kwa hiyo hayawezi kukosa oxygen hata siku moja. Samaki hao wanakufa kwa sumu siyo kwa sababu ya kukosa oxygen.
(2) Kinyesi na mkojo wa mifugo yote ni organic materials inayotoka kwenye mwili wa kiumbe aliye hai kwa hiyo material hiyo haiwezi kugeuka kuwa sumu baada ya kuchanganyika na maji; itachafua maji lakini haitafanya maji hayo yawe sumu.
(3) Kama maji hayo yana mfuta mengi kiasi cha kuathiri kiwango cha oxygen, mafuta hayo hawawezi kuwa yanatokana na kinyesi na mkojo kwa vile sehemu kubwa ya mkojo wa mnyama yeyote ni maji bali ni sehemu ndogo tu ndiyo yenye biochemical compounds na hasa urea, ambayo siyo mafuta.
 
alafu tunashauriwa kama unafuga samaki nyumbani tuweke bwawa chini ili wale kinyesi leo jamaa wa mchongo wanasema sumu ha ha ha ha ha
Intergrated farming tena ukiangalia kinyesi cha kuku kiko highly concentrated with ammonia kulinganisha na kinyesi cha ng’ombe leo nimecheka sana ..

Wasomi wengi wa Tanzania hasa hawa maproffesa ni vilaza wakuu
 
alafu tunashauriwa kama unafuga samaki nyumbani tuweke bwawa chini ili wale kinyesi leo jamaa wa mchongo wanasema sumu ha ha ha ha ha
[emoji28][emoji28][emoji28] jamaa wanatuonaje sijui.

#MaendeleoHayanaChama
 
UDSM nayo siku hizi imekuwa bomu kweli kama maprofesa wake wanafanya utafiti na kuandika ripoti za namna hii ambazo hata mtoto wa darasa la 10 anajua siyo kweli. Mimi siyo mtu wa kemia wala elimu ya viumbe lakini hilo ninaliona wazi kabisa kutokana na elimu niliyopata form 1 ya miaka ya 70.
(1) Mto Mara una maji yanayotililika, kwa hiyo hayawezi kukosa oxygen hata siku moja. Samaki hao wanakufa kwa sumu siyo kwa sababu ya kukosa oxygen.
(2) Kinyesi na mkojo wa mifugo yote ni organic materials inayotoka kwenye mwili wa kiumbe aliye hai kwa hiyo material hiyo haiwezi kugeuka kuwa sumu baada ya kuchanganyika na maji; itachafua maji lakini haitafanya maji hayo yawe sumu.
(3) Kama maji hayo yana mfuta mengi kiasi cha kuathiri kiwango cha oxygen, mafuta hayo hawawezi kuwa yanatokana na kinyesi na mkojo kwa vile sehemu kubwa ya mkojo wa mnyama yeyote ni maji bali ni sehemu ndogo tu ndiyo yenye biochemical compunts na hasa urea, ambayo siyo mafuta.
Kaka ungekuwa karibu ningekununulia bia, hii tafiti ingefanywa na rafiki yangu kipenzi bingwa wa Samaki Prof. Mdegela ningeeleaa ila kwa huyu Prof napata mashaka na elimu yake isije kuwa ni profesa wa kiswahili mambo ya sayansi ya samaki angeijulia wapi?

Huwenda wanamuonea bure mzee wa watu
 
UDSM nayo siku hizi imekuwa bomu kweli kama maprofesa wake wanafanya utafiti na kuandika ripoti za namna hii ambazo hata mtoto wa darasa la 10 anajua siyo kweli. Mimi siyo mtu wa kemia wala elimu ya viumbe lakini hilo ninaliona wazi kabisa kutokana na elimu niliyopata form 1 ya miaka ya 70.
(1) Mto Mara una maji yanayotililika, kwa hiyo hayawezi kukosa oxygen hata siku moja. Samaki hao wanakufa kwa sumu siyo kwa sababu ya kukosa oxygen.
(2) Kinyesi na mkojo wa mifugo yote ni organic materials inayotoka kwenye mwili wa kiumbe aliye hai kwa hiyo material hiyo haiwezi kugeuka kuwa sumu baada ya kuchanganyika na maji; itachafua maji lakini haitafanya maji hayo yawe sumu.
(3) Kama maji hayo yana mfuta mengi kiasi cha kuathiri kiwango cha oxygen, mafuta hayo hawawezi kuwa yanatokana na kinyesi na mkojo kwa vile sehemu kubwa ya mkojo wa mnyama yeyote ni maji bali ni sehemu ndogo tu ndiyo yenye biochemical compunts na hasa urea, ambayo siyo mafuta.
Wanaujua ukweli sema wameamua kupindisha kwa maslahi yao na ya mabwana wakubwa...heavy metal zimeingia mtoni ndio zimeleta hiyo shida..wala sio porojo walizoleta kwenye hiyo ripoti yao feki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni up.umbavu wa hali juu kufikiria kuwa eti kuna sumu za mgodini zingesababisha samaki kufa mto Mara. Ni fikra za kijinga kabisa kutoka kwa wajinga wasiojua chochote kuhusiana na shughuli za mineral processing.

Mgodi wa North Mara, mahali uliko halafu eti ukasababishe vifo vya samaki mto Mara, hata akili ndogo ya kawaida inakataa.

Kwanza ni sumu gani ambayo ingeweza kutembea toka mgodi wa North Mara mpaka ikafike mto Mara ikiwa bado ina nguvu ya kuua viumbe majini? Chemical pekee yenye sumu kali inayotumika kwenye mineral processing ni Sodium cyanide, ambayo kwa muda mfupi ikiwa exposed kwenye hewa hupoteza nguvu yake. Chemicals nyingine ni acids, ambazo zingeingia majini zingekuwa diluted kutokana na uwingi wa maji.
wacha projo mtaalamu. Aliyekufundisha kuwa Sodium Cyanide inayeyuka haraka sana alikudanganya; in fact ni sumu kali kwa dozi ndogo sana, kwani huwa inakausha oxygen yote.

 
Hahahaaa hata bibi yangu hawezi kuandika ripoti kama hii, lazma bahasha zimetembea kwa wanakamati au wamepata maelekezo kutoka juu
 
Hii kali sana.
Hizo data wamezichukua hapa: Cow In and Out
ila cha ajabu, je hao ng'ombe walikuwa wanashinda humo mtoni, kulala humo humo? na Je mto ulikuwa umetuama? Hawa Mapro- pesa ndio maana wanadhalauliwa na darasa la saba kama Msukuma na Kibajaji... Yaani Professor mzima anadiriki kwenda mbele za walimwengu na kusema samaki wamekufa kutokana na kinyesi chja ng'ombe - ni nguma sana kumeza.... huko nyuma, hawa ng'ombe walikuwa wapi? Au ndio mpango wa kuwaondoa wakurya na wajaruo kando kando ya mto Mara kama wanavyofanyiwa wamasai?
 
Back
Top Bottom