Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Ngoja nikachukue sample ya hayo maji nimpelekee proff muhongo tuone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?
Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?
Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?
Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
aibu na fedheha sana kwa taifa hili sijui Lissu anasemaje katika hili na waandani wake wamempa ubuyu gani na Chadema chini ya Heche wanasemaje ukanda huoEndapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?
Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?
Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?
Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Usicheze na wahuni, kabla kamati haijaanza Kazi vikatafutwa vinyesi vikaenda kumwagwa. Ujanja Kazi ingefanyika kimya kimya ingesaidia, Hii serikal kila kitu siasa. Utaalamu uko pembenMusoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu, huku samaki wakifa ambapo chanzo kimeelezwa kuwa ni shughuli za binadamu pamoja na nguvu za asil...
Watendaji Kazi wabovu muda wote wanawaza rushwaNgombe hawa hawa wa mara mmoja anakunya kinyesi cha kg 25 na mkojo lita 21..???
Hivi wanaficha nini kwa manufaa ya nani?..hivi hiyo mifugo imeanza kufungwa mwaka huu maeneo hayo..mbona hayakuwahi kutokea hayo...
Hizo fact za Google ndo hatueitaki. Ng'ombe tunaongelea hapa ni Ng'ombe ambao eneo la mto hukaa kwa dk 5 mpaka 10 wakinywa maji. Utafiti unatuletea kiasi cha uchafu anaotoa Ng'ombe kwa saa 24. Najiuliza jambo moja huo mto umetumika kunywesha Ng'ombe maji tangu Enzi hizo na wakazi wa maeneo husika wakiwa na kiasi kikubwa kuliko hivi Sasa.Pinga maeneo mengine yote, lakini sio hilo la daily quantity ya huo uchafu. It’s a googleable fact!
Hizo fact za Google ndo hatueitaki. Ng'ombe tunaongelea hapa ni Ng'ombe ambao eneo la mto hukaa kwa dk 5 mpaka 10 wakinywa maji. Utafiti unatuletea kiasi cha uchafu anaotoa Ng'ombe kwa saa 24. Najiuliza jambo moja huo mto umetumika kunywesha Ng'ombe maji tangu Enzi hizo na wakazi wa maeneo husika wakiwa na kiasi kikubwa kuliko hivi Sasa.
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?
Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?
Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?
Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Jamani hayo ndo majibu ya utafiti Sasa nyie mnaokataa mmefanya utafiti?Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?
Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?
Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?
Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Point yako ya pili (2) upo correct mkuu,kwa kufanya oxidation ili ku degrade cyanide level ni gharama sana...hata method nilioanisha mimi ya kufanya dilution nayo cost yake sio ndogo...Kama wanaepuka na kuchepusha hizo tailings kwenye mazingira basi watakua hawatutendei haki(1) Uko correct kabisa katika item ya kwanza; cyanide ni toxic sana kuliko huyo "mtaalamu" anavyotaka kuaminisha watu kuwa inaishiwa nguvu na haina madhara. Zamani ilikuwa inaaminika hivyo, ila studies za miaka miaka ya karibuni imeonyesha ndege n a wanyama wengi wakiwa wanadhurika nayo. Mahakama moja huko Idaho ilizuia mkampuni moja ya dhahabu isichimbe karibu na mtu kwa sababu hiyo
![]()
SUCCESS! Idaho judge orders deeper analysis of cyanide mining impacts at Kilgore site — Greater Yellowstone Coalition
Today, Judge Winmill ruled that the U.S. Forest Service must conduct further research before allowing toxic cyanide gold mining near Kilgore, Idaho, just west of Yellowstone National Park. This order temporarily halts a proposed open-pit, cyanide, heap-leach gold mine being explored by foreign miningreateryellowstone.org
(2) Kuhusu item ya pili, elewa kuwa process nzima ya kudegrade cyanide kufikia level ya kuwa harmless ni kwa oxidation, hata hivyo cost ya oxidation huwa ni kubwa sana kuweza kufuta faida ya mining. Kwa hiyo mchimbaji asiposimamiwa, ataimwaga popote tu mradi aendelee na na shughuli zake kuliko kuingia gharama za oxidation. Wengine huwa wana recycle hiyo cyanide na kuitumia tena, hata hivyo recycling process pia ina gharama kwa mchimbaji kiasi kuwa akipata mwanya, ataimwaga popote. Hii siyo mara ya kwanza mgodi wa North Mara kulalamikiwa kwa kumwaga sumu hiyo kwenye maji ili kupata faida bila kuingia gharama za kutunza mazingira.
![]()
Cyanide Use in Gold Mining - Earthworks
Today's hardrock mining industry too often spills cyanide, endangering the environment, wildlife and humans.earthworks.org
Teh teh teh 😂😂 we jamaa acha dharau bhana.... heshimu wasomi wenzako.Ukitaka kujua uwezo wao uwapime kwa kuwaangalia propesa Lipumba, Mruma na Ossoro...
Mwafrika hata asome vipi huwezi mtofautisha na mshenzi.
Sasa hpo ukijumlisha 15 za kinyesi na 10 za mkojo hatupati 25 kweli?Study nyingi zinaonesha kgs 9 mpaka 15 za kinyesi na lita 7 mpaka 10 za mkono kwa ng'ombe mmoja. Sasa sijui hao ng'ombe wa Mara wakoje?
Labda walishikwa na tubo la kuhara!!Study nyingi zinaonesha kgs 9 mpaka 15 za kinyesi na lita 7 mpaka 10 za mkono kwa ng'ombe mmoja. Sasa sijui hao ng'ombe wa Mara wakoje?
Nyie mnaopinga hii ripoti ya utafiti Inabidii mtoe utafiti wenu maana kupinga kwa hisia zenu tu haitoshi.Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?
Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?
Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?
Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Profesa ni kilaza mwenye makaratasi yanayoitwa vyetiEndapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?
Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?
Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?
Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Muafrika hata afike level gani ya elimu, atabaki kuwa mpumbavu tu.
Wewe fikiria hapa Tz unamtofautishaje Kishimba au Msukuma na Chenge au Lipumba?? Kwa kipi yani??
Hahaha! Wewe jumlisha takwimu za kamati utaona jumla yake.Sasa hpo ukijumlisha 15 za kinyesi na 10 za mkojo hatupati 25 kweli?