Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Mnaelekezwa mnaambiwa msiharibu vyanzo vya maji hamsikii mnajali ng'ombe ndio mambo kama hayo yanatokea sababu ya ignorance [emoji1787][emoji1787]
Si kweli.Maji ya mto yanatembea(kutiririk).Na wakazi ambao wana mifugo/ng'ombe wameishi maeneo hayo kwa miongo mingi.Huo uchafuzi wa kinyesi cha mifugo ndiyo uanze leo kuua samaki?Je,mifugo hao wameanza kutoa kinyesi tofauti na miaka yote?Je,wamelishwa sumu(kemikali)na kufikia hatua ya kuwa sumu kwa ustawi wa viumbe wengine?Na kama wamekula(kulishwa) sumu/kemikali,haijawadhuru hao mifugo?Taarifa/ripoti hiyo ya profesa inatujazia maswali mengi tata kuliko hitimisho lake legelege.Rubbish!
 
Hii taarifa siyo ya kiraalamu hata chembe wanapaswa kurudia upya waje na jibu sahihi.
 
we jamaa acha porojo basi
Siyo porojo ndugu zangu. Shida ya wengi, uelewa hawana, hawafanyi utafiiti hata mdogo kabisa, lakini wanajifanya wanajua kila siku.

Kuna watu, leo hii hata ng'ombe wakifa Mpwapwa, wakaambiwa wamekunywa maji ya sumu yanayotoka mgodi wa dhahabu Geita, watakubali, na kusambaza taarifa hizo kwa nguvu zao zote. Tatizo kubwa ni ujinga katika mambo mengi na kutotambua kuwa ni wajinga.
 
Wanaujua ukweli sema wameamua kupindisha kwa maslahi yao na ya mabwana wakubwa...heavy metal zimeingia mtoni ndio zimeleta hiyo shida..wala sio porojo walizoleta kwenye hiyo ripoti yao feki.

#MaendeleoHayanaChama
Na wewe ndiyo hujui kabisa. Heavy metals huwa hazisababishi vifo vya ghafla bali huleta madhara ya kiafya kama vile magonjwa ya kansa.
 
wacha projo mtaalamu. Aliyekufundisha kuwa Sodium Cyanide inayeyuka haraka sana alikudanganya; in fact ni sumu kali kwa dozi ndogo sana, kwani huwa inakausha oxygen yote.

Unafahamu chemical reaction yake? Kweli ni sumu kali sana lakini half life yake ni fupi sana. Cyanide haiwezi kusafiri toka mgodi wa North Mara, ipite maeneo mbalimbali bila kuleta madhara yoyote, halafu baada ya umbali mrefu ikaingie mto Mara, ikaue samaki bila kuua viumbe wengine maeneo ilikopita.

Mimi sijui kama samaki wameuawa na kinyesi na mkojo wa ng'ombe, lakini nina uhakika 100% haiwezekani ikawa ni kemikali zinazotumika North Mines maana ni umbali mrefu. Labda kama mtu atakuja na uthibitisho kuwa kuna watu walisafirisha sumu, wakaenda kumwaga ndani ya mto, jambo ambalo utafiti qa wachunguzi, umekataa.

Karibia kila mwaka samaki hasa tilapia, ziwa Victoria huwa wanakufa na kuelea, na wavuvi huwazoa na kwenda kuuza. Vifo hivyo huwa vinasababishwa na nini?
 
Hizo data wamezichukua hapa: Cow In and Out
ila cha ajabu, je hao ng'ombe walikuwa wanashinda humo mtoni, kulala humo humo? na Je mto ulikuwa umetuama? Hawa Mapro- pesa ndio maana wanadhalauliwa na darasa la saba kama Msukuma na Kibajaji... Yaani Professor mzima anadiriki kwenda mbele za walimwengu na kusema samaki wamekufa kutokana na kinyesi chja ng'ombe - ni nguma sana kumeza.... huko nyuma, hawa ng'ombe walikuwa wapi? Au ndio mpango wa kuwaondoa wakurya na wajaruo kando kando ya mto Mara kama wanavyofanyiwa wamasai?
Mboba samaki wamekuwa wanakufa kila mwaka? Kwa sasa, kinaonekana ni jambo geni kutokana na kukua maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano.
 
Ukisikia ungese basi ndio huu. Kinyesi na mkojo vimekuwepo toka enzi na enzi na samaki hawajawahi kufa ndo waje wafe leo?
Ujinga na upumbavu wa wasomi wetu ndivyo vitatumaliza. Wale wote waliokuwa kwenye kamati ya uchunguzi wanastahili kuchomwa moto.
Usiongee kitu usichokijua, samaki wamekuwa wakionekana kufa au kuelea maeneo mbalimbali, hasa eneo la Kanda ya Ziwa, including Ziwa Victoria.
 
Pale Dakawa njia kuu ya Moro Dom kuna ka bwawa miaka na miaka sasa,...wamasai wananywesha ng'ombe, wanakunya humour na kukojoa na zaidi watu wanafanya shughuli zao humour kama kuoga na kufua na maji hayo yametwama.

Sijawahi sikia Kambale pale wamekufa
Kambale ni vigumu sana kufa. Wanaokufa haraka ni samaki ukoo wa tilapia.
 
Unafahamu chemical reaction yake? Kweli ni sumu kali sana lakini half life yake ni fupi sana. Cyanide haiwezi kusafiri toka mgodi wa North Mara, ipite maeneo mbalimbali bila kuleta madhara yoyote, halafu baada ya umbali mrefu ikaingie mto Mara, ikaue samaki bila kuua viumbe wengine maeneo ilikopita.

Mimi sijui kama samaki wameuawa na kinyesi na mkojo wa ng'ombe, lakini nina uhakika 100% haiwezekani ikawa ni kemikali zinazotumika North Mines maana ni umbali mrefu. Labda kama mtu atakuja na uthibitisho kuwa kuna watu walisafirisha sumu, wakaenda kumwaga ndani ya mto, jambo ambalo utafiti qa wachunguzi, umekataa.

Karibia kila mwaka samaki hasa tilapia, ziwa Victoria huwa wanakufa na kuelea, na wavuvi huwazoa na kwenda kuuza. Vifo hivyo huwa vinasababishwa na nini?
Mkuu hebu angalia video clip hii nafikiri inaweza kukusaidia kidogo! Then wasingizie ng'ombe wa wakurya.

 
Unafahamu chemical reaction yake? Kweli ni sumu kali sana lakini half life yake ni fupi sana. Cyanide haiwezi kusafiri toka mgodi wa North Mara, ipite maeneo mbalimbali bila kuleta madhara yoyote, halafu baada ya umbali mrefu ikaingie mto Mara, ikaue samaki bila kuua viumbe wengine maeneo ilikopita.

Mimi sijui kama samaki wameuawa na kinyesi na mkojo wa ng'ombe, lakini nina uhakika 100% haiwezekani ikawa ni kemikali zinazotumika North Mines maana ni umbali mrefu. Labda kama mtu atakuja na uthibitisho kuwa kuna watu walisafirisha sumu, wakaenda kumwaga ndani ya mto, jambo ambalo utafiti qa wachunguzi, umekataa.

Karibia kila mwaka samaki hasa tilapia, ziwa Victoria huwa wanakufa na kuelea, na wavuvi huwazoa na kwenda kuuza. Vifo hivyo huwa vinasababishwa na nini?
Unavyojibu hoja hapa inaonyesha kuwa unaandika mambo usiyokuwa na uelewa nayo bali umewahi kuambiwa nusu nusu tu. Ni kawaida ya watu wanaojua mambo nusu nsusu kutaka kujionyesha ni wajuzi zaidi ya uwezo wao kwa kujitutumua.

1. Unaponiuliza mimi kama ninajua chemical reaction ya cyanide ni wazi kuwa hata wewe mwenyewe hujui unauliza nini iwapo unashindwa kuelewa kuwa chemical reaction yoyote inatokana na kuwepo kwa reactants mbili au zaidi, na sasa hivi hujasema unataka chemical reaction ya cyanide na reactant gani nyingine unategema nikujibu nini. Matokeo ya ujuaji nusu huo.

2. Cyanide inayotumika kwenye migodi ya dhahabu ni Sodium Cyanide, na hiyo siyo radioctive kabisa kwani inatokana na stable isotope za sodium Na23. Zile isotope mbili ambazo ni radioactive hazitumiki kwenye cyanide, moja Na22 (half-life approx 2.5 years) inatumika kwenye tomography, na ile nyingine Na24 (halfl ife aprox 1 day) hutumika kutengeza Magnesium. Unapouliza kuelezwa half-life ya cyanide, ni dalili ama kutokujua unalosema au kulijua nusunusu. Half-life ni specification ya radioactive materials tu, sasa unailetaje hapa kwenye mjdala wa cyanide. Ni cyanides chache sana ambazo ni radioactive, mfano Potassium Cyanide lakini hizo siyo zinazotumika kwenye leaching ya dhahabu.

3. Kuna watu wameshaweka hapa references mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za dunia zinazoonyesha kuwa byproducts za gold leaching kwa kutumia Sodium cynide ni sumu kwa wanyama na samaki. Haiwezekani wote walioandika report na papers hizo wakawa hawajui isipokuwa wewe ambaye hujatuonyesha paper yoyote uliyoandika ikatambuliwa duniani kuwa ni salama kutumia sodium cyanide umbali wa km 2.5 kutoka mtoni kwa sababu ya "half-life" (Approximate distance ya kutoka North Mara mgodini hadi mtoni ni kama km 2.5). Kuna mahakama Idaho ilizuia mgodi uliokuwa takriban km 5 kutoka mtoni kwa sababu hiyo hiyo.

4. Elewa kuwa watu wanapozungumzia environmental poisoning, siyo kuwa wanasema ukimwaga siku moja tu basi utasababisha vifo hivyo, la hiyo ni cummulative effect ya muda kadhaa; wakati mwingine nusu mwaka na wakati mwingine hata miaka mitano au zaidi. Leo tunapuzungumza global warming kutokana na mafuta ya petroleum, siyo kuwa ilianza leo, ni cumulative kwa muda mrefu.
 
Unavyojibu hoja hapa inaonyesha kuwa unaandika mambo usiyokuwa na uelewa nayo bali umewahi kuambiwa nusu nusu tu. Ni kawaida ya watu wanaojua mambo nusu nsusu kutaka kujionyesha ni wajuzi zaidi ya uwezo wao kwa kujitutumua.

1. Unaponiuliza mimi kama ninajua chemical reaction ya cyanide ni wazi kuwa hata wewe mwenyewe hujui unauliza nini iwapo unashindwa kuelewa kuwa chemical reaction yoyote inatokana na kuwepo kwa reactants mbili au zaidi, na sasa hivi hujasema unataka chemical reaction ya cyanide na reactant gani nyingine unategema nikujibu nini. Matokeo ya ujuaji nusu huo.

2. Cyanide inayotumika kwenye migodi ya dhahabu ni Sodium Cyanide, na hiyo siyo radioctive kabisa kwani inatokana na stable isotope za sodium Na23. Zile isotope mbili ambazo radioactive hazitumiki kwenye cyanide, moja Na22 (halflife approx 2.5 years) inatumika kwenye tomography, na ile nyingine Na24 (halfl ife aprox 1 day) hutumika kutengeza Magnesium. Unapouliza kuelezwa half life ya cynide, ni dalili ama kutokujua unalosema au kulijua nusunusu. Half life inapimwa kwenye radioactive materials tu, sasa unaielataje hapa kwenye mjdala wa cyanide. Ni cyanides chache sanaambazo ni radioactive, mfano Potassium Cyanide lkakini hizo siyo zinazotumika kwenye leacing

3. Kuna watu wameshaweka hapa references mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za dunia zinazoonyesha kuwa byproducts za gold leaching kwa kutumia Sodium cynide ni sumu kwa wanyama na samaki. Haiwezekani wote walioandika report na papers hizo wakawa hawajui ispiokuwa wewe ambaye hujatuonyesha paper yoyote uliyoandika ikatambuliwa duniani kuwa ni salama kutumia sodium cyanide umbali wa km 2.5 kutoka mtoni kwa sababu ya "half-life" (Approximate distance ya kutoka North Mara mgodini hadi mtoni ni kama km 2.5). Kuna mahakama Idaho iluzia mgodi uliokuwa takriban km 5 kutoka mtoni kwa sababu hiyo hiyo.

4. Elewa kuwa watu wanapozungumzia environmental poisoning, siyo kuwa wanasema ukimwaga siku moja tu basi utasababisha vifo hivyo, la hiyo ni cummulative effect ya muda kadhaa; wakati mwingine nusu mwaka na wakati mwingine hata miaka mitano au zaidi. Leo tunapuzungumza global warming kutokana na mafuta ya petroleum, siyo kuwa ilianza leo, ni cumulative kwa muda mrefu.
Mi sitak mambo ya kitaalam nawaachia wenyewe, aliyesema ng'ombe mmoja anatoa 25kg za kinyesi kwa siku alimaanisha namba hiyo hiyo au alikosea, na lita 21 za mkojo, ng'ombe? Achana na cyanide tuanzie hapa ambapo hapahitaji report wala paper
 
Back
Top Bottom