Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Musoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu, huku samaki wakifa ambapo chanzo kimeelezwa kuwa ni shughuli za binadamu pamoja na nguvu za asili.

Akitoa matokeo ya uchunguzi leo Jumamosi Machi 19, 2022 mjini Musoma, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Profesa Samuel Manyele amesema kuwa hali hiyo imetokana na kuwepo kwa kiwango kikubwa cha kinyesi cha mifugo mtoni pamoja na uozo wa mimea ndani ya mto hasa mimea vamizi kama vile magugu maji na matete.

Amesema kuwa hali hiyo ilisababisha kupungua kwa kiasi kikubwa kiwango cha oksijeni ndani ya mto na hivyo maji kubadilika rangi na kuwa na harufu mbaya huku samaki wakikosa chakula na hivyo kusababisha vifo vyao.

Hata hivyo, amekanusha picha zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zilizokuwa zikionyesha samaki wakiwa wamekufa kwa wingi, akisema sio kutoka mkoani Mara.

Amesema kuwa kwa mujibu wa uchunguzi waliofanyana walibaini kuwa mabadiliko hayo ni matokeo ya mvua kubwa iliyonyesha ghafla kwa muda mfupi katika kipindi cha mwezi huu hivyo kutibua uchafu uliokuwa umejikusanya chini ya mto kwa muda mrefu.

"Mvua zingeendelea kunyesha hali hii ingeisha kwani uchafu ungetiririshwa lakini kwa vile mvua zimenyesha na kukatika ghafla ina maana uchafu ule unatoka taratibu na hii hali inaweza kudumu kwa zaidi ya miezi mitatu hadi minne endapo mvua hazitanyesha hapa katikakati," amesema.

Profesa Manyele amesema kuwa mto huo umeathiriwa kuanzia katika kijiji cha Marasibora wilayani Rorya na kijiji cha Wegero wilayani Butiama huku akisema kuwa mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara hauhusiki na uchafuzi huo.

"Mgodi upo mbali sana na maeneo yaliyoathirika na hata kama uchafu unaozalishwa mgodini pale ungezidishwa mara ishirini na kumwagwa mtoni maji yasingebadilika rangi wala kuwa katika hali iivyo sasa na maji ya mto kelekea kule mgodini ni masafi na hayana shida yoyote," amesema.

Amesema kuwa wamebaini uwepo wa kinyesi cha ng'ombe zaidi ya tani 1.8 milioni pamoja na mkojo wa ng'ombe lita 1.5 bilioni uchafu uliotokana na kuwepo kwa ng'ombe zaidi ya laki 3 waliokuwepo katika eneo oevu la mto Mara kwa kipindi cha miezi minane mwaka jana wakati wa kiangazi.

"Ng'ombe mmoja ana toa kilo 25 za kinyesi kwa siku moja na mkojo lita 21 kwa siku kwahiyo ukizidisha kwa idadi hiyo ya ng'ombe mara miezi minane utapata kiwango hicho na hapo bado hatujaweka kinyesi na mkojo wa kondoo, mbuzi na punda," amesema.

Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Suleiman Jafo ametoa muda wa siku mbili kwa kamati hiyo kuandaa taarifa kamili yenye mpango kazi juu ya nini kifanyike na muhusika ni nani kisha taarifa hiyo ikabidhiwe kwake kwaajili ya utekelezaji.

"Hii taarifa imenipa faraja baada ya uchunguzi kubaini kuwa hakuna kemikali mtoni maana kama kungekuwa na kemikali hii ingekuwa ni habari mbaya sana lakini taarifa hii inaonyesha kuwa tuna kazi kubwa sana ya kufanya ili mto uweze kuendelea kuwepo na tusipochukua hatua za haraka mto unaweza kupotea," amesema Jafo.

Chanzo: Mwananchi

Pia soma;

1).Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu

2). Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko
View attachment 2157025
"Mheshimiwa Spika, naona upinzani wamefikia pabaya, wanaikashifu serikali sikivu ya CCM. Chama kimefanya mengi sana, maendeleo makubwa tumepata, shule za msingi, sekondari na vyuo viko vingi leo, barabara za lami, umeme nchi nzima mpaka vijijini, lakini CHADEMA wanakebehi. Naipongeza sana serikali ya chama cha Mapinduzi.

Mheshimiwa Spika, nikiendelea mbele naomba nielezee kwa kifupi matatizo ya jimbo langu. Kule hatuna shule ya sekondari katika kata sita, maji ni ndoto, tunategemea mvua. Shule zilizopo hazina ubora wala walimu wa kutosha. Rais alikuja sasa ni miaka sita akatuahidi umeme lakini mpaka leo hakuna lolote. Barabara ni mbovu hazipitiki. Nauliza ni lini serikali híi (ya CCM) ITATUSIKIA NA KUTULETEA MAENDELEO?" (Makofi) Kwa! Kwa! Kwa!
 
Musoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu, huku samaki wakifa ambapo chanzo kimeelezwa kuwa ni shughuli za binadamu pamoja na nguvu za asili.

Akitoa matokeo ya uchunguzi leo Jumamosi Machi 19, 2022 mjini Musoma, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Profesa Samuel Manyele amesema kuwa hali hiyo imetokana na kuwepo kwa kiwango kikubwa cha kinyesi cha mifugo mtoni pamoja na uozo wa mimea ndani ya mto hasa mimea vamizi kama vile magugu maji na matete.

Amesema kuwa hali hiyo ilisababisha kupungua kwa kiasi kikubwa kiwango cha oksijeni ndani ya mto na hivyo maji kubadilika rangi na kuwa na harufu mbaya huku samaki wakikosa chakula na hivyo kusababisha vifo vyao.

Hata hivyo, amekanusha picha zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zilizokuwa zikionyesha samaki wakiwa wamekufa kwa wingi, akisema sio kutoka mkoani Mara.

Amesema kuwa kwa mujibu wa uchunguzi waliofanyana walibaini kuwa mabadiliko hayo ni matokeo ya mvua kubwa iliyonyesha ghafla kwa muda mfupi katika kipindi cha mwezi huu hivyo kutibua uchafu uliokuwa umejikusanya chini ya mto kwa muda mrefu.

"Mvua zingeendelea kunyesha hali hii ingeisha kwani uchafu ungetiririshwa lakini kwa vile mvua zimenyesha na kukatika ghafla ina maana uchafu ule unatoka taratibu na hii hali inaweza kudumu kwa zaidi ya miezi mitatu hadi minne endapo mvua hazitanyesha hapa katikakati," amesema.

Profesa Manyele amesema kuwa mto huo umeathiriwa kuanzia katika kijiji cha Marasibora wilayani Rorya na kijiji cha Wegero wilayani Butiama huku akisema kuwa mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara hauhusiki na uchafuzi huo.

"Mgodi upo mbali sana na maeneo yaliyoathirika na hata kama uchafu unaozalishwa mgodini pale ungezidishwa mara ishirini na kumwagwa mtoni maji yasingebadilika rangi wala kuwa katika hali iivyo sasa na maji ya mto kelekea kule mgodini ni masafi na hayana shida yoyote," amesema.

Amesema kuwa wamebaini uwepo wa kinyesi cha ng'ombe zaidi ya tani 1.8 milioni pamoja na mkojo wa ng'ombe lita 1.5 bilioni uchafu uliotokana na kuwepo kwa ng'ombe zaidi ya laki 3 waliokuwepo katika eneo oevu la mto Mara kwa kipindi cha miezi minane mwaka jana wakati wa kiangazi.

"Ng'ombe mmoja ana toa kilo 25 za kinyesi kwa siku moja na mkojo lita 21 kwa siku kwahiyo ukizidisha kwa idadi hiyo ya ng'ombe mara miezi minane utapata kiwango hicho na hapo bado hatujaweka kinyesi na mkojo wa kondoo, mbuzi na punda," amesema.

Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Suleiman Jafo ametoa muda wa siku mbili kwa kamati hiyo kuandaa taarifa kamili yenye mpango kazi juu ya nini kifanyike na muhusika ni nani kisha taarifa hiyo ikabidhiwe kwake kwaajili ya utekelezaji.

"Hii taarifa imenipa faraja baada ya uchunguzi kubaini kuwa hakuna kemikali mtoni maana kama kungekuwa na kemikali hii ingekuwa ni habari mbaya sana lakini taarifa hii inaonyesha kuwa tuna kazi kubwa sana ya kufanya ili mto uweze kuendelea kuwepo na tusipochukua hatua za haraka mto unaweza kupotea," amesema Jafo.

Chanzo: Mwananchi

Pia soma;

1).Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu

2). Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko
View attachment 2157025
Tangu nizaliwe sijawahi kusoma ripoti ya kipumbavu kama hii hapa inchini. Ndio maana maprofesa wa nchi hii wanadharaulika sana. Profesa mzima utakujaje na ripoti ya kizezeta kam hii? Inauma sana kupoteza pesa za wananchi kufanya utafiti wa mchongo na ovyo kama huu. Mfyuuuuuuuuuu!!!
 
Ni up.umbavu wa hali juu kufikiria kuwa eti kuna sumu za mgodini zingesababisha samaki kufa mto Mara. Ni fikra za kijinga kabisa kutoka kwa wajinga wasiojua chochote kuhusiana na shughuli za mineral processing.

Mgodi wa North Mara, mahali uliko halafu eti ukasababishe vifo vya samaki mto Mara, hata akili ndogo ya kawaida inakataa.

Kwanza ni sumu gani ambayo ingeweza kutembea toka mgodi wa North Mara mpaka ikafike mto Mara ikiwa bado ina nguvu ya kuua viumbe majini? Chemical pekee yenye sumu kali inayotumika kwenye mineral processing ni Sodium cyanide, ambayo kwa muda mfupi ikiwa exposed kwenye hewa hupoteza nguvu yake. Chemicals nyingine ni acids, ambazo zingeingia majini zingekuwa diluted kutokana na uwingi wa maji.
Mkuu nakushangaa sana. Kemikali ya zebaki inayotumika kwenye migodi ya Mara unajua madhara yake au unabwabwaja tu ili nawe uonekane upo? Ukijitoa akili jibakizie walau kidogo ya kukusaidia kufikiri kama binadamu wa kawaida.
 
Hivi wale nyumbu, nyati, punda milia, swala nk wa great migration huwa hawajisaidii? Ni ng'ombe, punda, mbuzi na kondoo tu?
Hawa ni wasafi huwa hawachafui maji. Ng'ombe tu ndiye anajisadia mtoni kwa sababu hajui kutunza ubora wa maji......kila akitaka kunya, utamuona huyoooooo anakimbilia mtoni 🤣 😅 😂 😀
 
Ina maana mifugo hiyo ilibadilisha mto Mara kuwa choo kwamba wakijisikia kujisaidia wanaenda mto Mara kujisaidia kinyesi na mkojo hysee wasomi na viongozi wa nchii hii ni hatari

Hii CCM watanzania tusimame kwa pamoja ipo kwa maslahi ya matumbo yao huku wananchi wakiteseka kwa magonjwa Kama kansa huku wao na watoto wao wana bima za kutibiwa nchi wa Ulaya na asia
 
Kirahisi tu Jaffo amemuamini porofeza.
Kikwete alisemaga
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Hivi ng'ombe wa huko akitaka kukojoa anawahi mtoni fasta, hata Kama mtu huna akili, unaweza kuamini kwamba ngombe mmoja anatoa kilo 25 za kinyesi, ng'ombe Hawa Hawa wa wakurya wenye kilo Mia na ushee. Ng'ombe gani anakojoa Lita 21 kwa siku?
Hata Kama Jaffo hajawahi kufuga hivi barabarani haonagi ng'ombe ?
 
Waliosema ni mkojo na kinyesi cha ng'ombe ingekuwa kwa amri yangu,walitakiwa kupigwa risasi bila hata kujitetea.

Haiwezekani wasomi wakubaliane ujinga kama huu,na kuja kutufanya watanzania wapumbavu kiasi hiki.

Kama mnaogopa dunia itapiga kelele,walitakiwa kutekwa mmoja baada ya mwingine na kupotezwa.

Hawa samaki kama wamekula sumu, sasa hivi wanauzwa kwa wingi sana hasa hata mikoa kama Shinyanga.Kwa hiyo watu wapate kansa kisa wapumbavu wachache kwa jina la wasomi
Bonde moja. Timu mbili za wachunguzi. Ripoti mbili tofauti.
Kuna mengi ya kujifunza!
 
Waliosema ni mkojo na kinyesi cha ng'ombe ingekuwa kwa amri yangu,walitakiwa kupigwa risasi bila hata kujitetea.

Haiwezekani wasomi wakubaliane ujinga kama huu,na kuja kutufanya watanzania wapumbavu kiasi hiki.

Kama mnaogopa dunia itapiga kelele,walitakiwa kutekwa mmoja baada ya mwingine na kupotezwa.

Hawa samaki kama wamekula sumu, sasa hivi wanauzwa kwa wingi sana hasa hata mikoa kama Shinyanga.Kwa hiyo watu wapate kansa kisa wapumbavu wachache kwa jina la wasomi
Rushwa Kaka
Lakini siwashangai ma profesa wa Tanzania.
Mnamkumbuka yule wa jalalani kumuita kiumbe dhaif mungu.
Mnamkumbuka Prof osoro kipindi Cha makinikia?
 
Waliosema ni mkojo na kinyesi cha ng'ombe ingekuwa kwa amri yangu,walitakiwa kupigwa risasi bila hata kujitetea.

Haiwezekani wasomi wakubaliane ujinga kama huu,na kuja kutufanya watanzania wapumbavu kiasi hiki...
Well said!
 
Kuna wakati inafikia hakuna haja kujivunia usomi!
Total disgrace for Tanzanians!
 
Kwa aina ya ng'ombe tulio nao wanaweza kutoa kati ya lita 7 hadi 13 za mkojo na kilo 10 had 15 za kinyesi na si hizo zilizotajwa ambazo hupatikana kwa ng'ombe wa kisasa au wanaolishwa chakula cha ziada kwa siku.
Ni up.umbavu wa hali juu kufikiria kuwa eti kuna sumu za mgodini zingesababisha samaki kufa mto Mara. Ni fikra za kijinga kabisa kutoka kwa wajinga wasiojua chochote kuhusiana na shughuli za mineral processing...
Bams fanya home work yako vizuri, mwanzo wa taarifa ya awali ilibaini kwa uchunguzi wa kimaabara vifo vya samaki vimesababishwa na kukoswa oxygen ambayo ilitokana na kuwa na kiwango kikubwa cha mafuta kwenye maji.

Report inakuja na issue ya kinyesi na mkojo? Unajiuliza hiyo ni chemical reaction gani hapo iliyozalisha mafuta?
North Mara ni wazalishaji wakubwa wa oil chafu kwa nature ya kazi yao... wana heavy equipments zinazo zalisha oil chafu kwa wingi... mfano Dump Truck ya CAT 785C ina engine oil 90lts ina hydraulic, gear box oil, break fluid, grease and etc ambavyo hubadilishwa time to time kutokana na maintenance plan au uharibifu...

Kwa uzoefu wangu mafuta yote humwagwa spillage dump ikiwa ni pamoja na udongo wowote utakaokuwa oil contaminated hofu yangu kuna leakage ya oil kwenye spillage dump ambayo bado effect zake sio karibu tu zinaweza kufika mbali... huko wachunguze... mambo ya TSF ambapo ndio kuna ammonium na metals Kutoka kwenye ball mill achana nazo
 
Ni hotuba akisimulia alivyofanya kazi yake

1647953343389.png

1647953412686.png

1647953500942.png

1647953555895.png

1647953621862.png

1647953710089.png
 

Attachments

Ngombe hawa hawa wa mara mmoja anakunya kinyesi cha kg 25 na mkojo lita 21..???

Hivi wanaficha nini kwa manufaa ya nani?..hivi hiyo mifugo imeanza kufungwa mwaka huu maeneo hayo..mbona hayakuwahi kutokea hayo....
Shukurani Ikufikie.
Mazingaombwe ya rushwa hayo sasa, yaani rushwa inanuka kuliko tani 25 za mavi ya ng'ombe!

Kwa kweli hao maprofesa na Chama cha siasa cha CCM ndio wamefeli kabisa, ni ulaghai na kuhadaa wananchi. Miaka nenda rudi hayakutokea na isitoshe hao ngo'mbe wamepungua wingi katika maeneo hayo. Fuateni pesa au kwa kimombo "Follow the money" mtakuta madudu yao huko.
 
Ni up.umbavu wa hali juu kufikiria kuwa eti kuna sumu za mgodini zingesababisha samaki kufa mto Mara. Ni fikra za kijinga kabisa kutoka kwa wajinga wasiojua chochote kuhusiana na shughuli za mineral processing...
Kinachojadiliwa hapa ni ujinga ndani ya ripoti. Binafsi nasema ni ujinga kusema kinyesi kingi cha ng'ombe ndo sababu. Kwa kusema hivyo, sijasema ni mgodi. Tukubaliane kwamba profesa ameandika ujinga wake wa kitaaluma.

Kwako wewe pia nahisi unatetea kwa nguvu tu bila uhakika. Sodium cyanide inapokuwa exposed kama unavyosema, inakosaje nguvu? Nini kinaifanya ikose nguvu? Na kama ni hivyo kwa nini inazuiliwa kwenye mabwawa ya mamilioni wakati ingeweza kuachiwa tu?

Njoo kwenye acid na dilution unayosema. wingi wa maji ya mto na acidi vitalinganishwaje, hadi useme ingekuwa diluted. Kwani ikiwa diluted samaki wanafaidi? Andika kitaalamu badala ya maneno kama dilution. Eleza pH itakuwa ngapi ili nasi tukusimulie tunayoyajua. Mgodi hautengenezi acid na tupo tunaofahamu jinsi inavyojitengeza.
 
Back
Top Bottom