Uchaguzi 2020 Kamati Kuu CCM kuteua wagombea watatu (03) ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika


Yaani Kamati Kuu CCM imeona kabisa, kwa wajumbe rushwa inatembea sana, so Kamati Kuu ndio itaua rushwa kabisa na inajua nani anakubalika wapi au kati ya hao watatu wananchi wanawakubali vema, wana data zote lazima, hivyo rushwa itakufa kabisa
 
Watakoma na utaratibu wao
 
Kamati kuu inawajuaje wagombea wa majimboni, kwanini wajumbe wasiachwe wachague wenyewe.
Kamati kuu,itapitia application nyingi,then wanachuja mpaka 3,then hizo tatu,zinarudi Sasa chini kea wajumbe kupigia kura,,hii advantage yake Ni kuwa endapo Kama kuu itapeleka majina tofauti na yanayopendwa na wajumbe,Kuna hatari wasipigiwe kura,ama kukazuia malalamiko ya wajumbe,then wakilazimisha jina,maana yake wanaopendwa wanaweza kwenda cdm,act etc na watapata kura na kuwa wabunge,
Hii ndo maana upinzani hawana haraka ya kuruhusu mbio za ubunge zianze kwao,
 
makelele na kero zimeshaanza.
 
Hao mwisho wao kisiasa ndiyo umetimia
Mimi bado nipo kwa hawa wenzangu wahamiaji hatma yao upone? Maana kura za maoni sidhani kuna hata mmoja anaweza penya walau kwa top ten.
 
Yaani Kamati Kuu CCM imeona kabisa, kwa wajumbe rushwa inatembea sana, so Kamati Kuu ndio itaua rushwa kabisa na inajua nani anakubalika wapi au kati ya hao watatu wananchi wanawakubali vema, wana data zote lazima, hivyo rushwa itakufa kabisa
Haahaa pole Mkuu...subiri mchakato uanze
 
Nimeona kama halmashauri kuu itapendekeza kwa kamati kuu kisha kamati kuu itateua matatu, halafu tunaletewa sisi wajumbe wa jimbo tunafanya yetu na baada ya hapo yanaenda halmashauri kuu sijui ndio mwisho hapo wa uteuzi au yatafika tena kwa kamati kuu kabla hajaletwa mteule kwa umma?, au sijaelewa vizuri
 
Yaani blahblah zote lengo kuondoa wasio upande Wa jiwe.
 
Vipi kuhusu nafasi ya urais

Jr[emoji769]
 
Chama chao wenyewe waachie wenyewe, sisi tunahitaji mgombea wa chama chao tuamue kwenye ballot centre
 
Kama lengo ni kuondoa the Kibajaji's Millinga's na Kasheku's basi poa.

Maana ukiacha Sana wananchi wakuchagulie, wanakulelea visivyofaa, visivyolika. Angalia mh. Anavyolazimika kurudia rudia uteuzi WA watu ambao ashawabwaga nafasi za uwaziri.

Mtanzania huyu huyu ninayemjua unampa demokrasia ya kuchagua ili iweje? Anajua nini?.

Labda nafasi ya kuchagua tisheti na kofia.

Unampa nafasi anachagua , wenye roho ya kigeugeu na usaliti, wanahama huku wanaenda kule. Si waTz walitaka kumchagua nanilii eti awe rais? Jamaniii.

Mimi naona Sawa Tu, wenye akili zao tulivu wakae wapange watu makini WA kuwasaidia.
 
Duh maamuzi yameanzia juu. Nadhani wanaepuka kile alichosema mwenyekiti eti wanaepusha "fujo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…