Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Kamati kuu,itapitia application nyingi,then wanachuja mpaka 3,then hizo tatu,zinarudi Sasa chini kea wajumbe kupigia kura,,hii advantage yake Ni kuwa endapo Kama kuu itapeleka majina tofauti na yanayopendwa na wajumbe,Kuna hatari wasipigiwe kura,ama kukazuia malalamiko ya wajumbe,then wakilazimisha jina,maana yake wanaopendwa wanaweza kwenda cdm,act etc na watapata kura na kuwa wabunge,Kamati kuu inawajuaje wagombea wa majimboni, kwanini wajumbe wasiachwe wachague wenyewe.
makelele na kero zimeshaanza.Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Mimi bado nipo kwa hawa wenzangu wahamiaji hatma yao upone? Maana kura za maoni sidhani kuna hata mmoja anaweza penya walau kwa top ten.
Watapitishwa Kibabe Na Mwenyekiti.Mimi bado nipo kwa hawa wenzangu wahamiaji hatma yao upone? Maana kura za maoni sidhani kuna hata mmoja anaweza penya walau kwa top ten.
Haahaa pole Mkuu...subiri mchakato uanzeYaani Kamati Kuu CCM imeona kabisa, kwa wajumbe rushwa inatembea sana, so Kamati Kuu ndio itaua rushwa kabisa na inajua nani anakubalika wapi au kati ya hao watatu wananchi wanawakubali vema, wana data zote lazima, hivyo rushwa itakufa kabisa
Nimeona kama halmashauri kuu itapendekeza kwa kamati kuu kisha kamati kuu itateua matatu, halafu tunaletewa sisi wajumbe wa jimbo tunafanya yetu na baada ya hapo yanaenda halmashauri kuu sijui ndio mwisho hapo wa uteuzi au yatafika tena kwa kamati kuu kabla hajaletwa mteule kwa umma?, au sijaelewa vizuriNimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Watabebwa na kamati kuu chini ya jiweHao mwisho wao kisiasa ndiyo umetimia
Yaani blahblah zote lengo kuondoa wasio upande Wa jiwe.Nimeona kama halmashauri kuu itapendekeza kwa kamati kuu kisha kamati kuu itateua matatu, halafu tunaletewa sisi wajumbe wa jimbo tunafanya yetu na baada ya hapo yanaenda halmashauri kuu sijui ndio mwisho hapo wa uteuzi au yatafika tena kwa kamati kuu kabla hajaletwa mteule kwa umma?, au sijaelewa vizuri
Mi sioni ubaya,kamati itateua majina 3,then hayo majina ndo yakapigiwe kura huko jimboni,,iko sawa tu
Watamgomea....CCM kula za maoni ni jadi yao hawatakubalia this time!!Watapitishwa Kibabe Na Mwenyekiti.
Vipi kuhusu nafasi ya uraisNimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Wajiandae kesi za uhujumu uchumiWatamgomea....CCM kula za maoni ni jadi yao hawatakubalia this time!!
Mkataba lazima umpe Mbowe laki 5 kila mwezi toka kwe mshahara Kama utateuliwa viti maalumu unatoa million 1.5 kwa mwezi. Au uwe Joyce Mukya.Hii ni nzuri kuliko ya chadema unaingia mkataba na mbowe unapita hutaki unawekwa pembeni
Duh maamuzi yameanzia juu. Nadhani wanaepuka kile alichosema mwenyekiti eti wanaepusha "fujo"Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Kuepuka rushwa huko majimboni. Ukihonga majimboni kamati kuu unafyekwa.Kamati kuu inawajuaje wagombea wa majimboni, kwanini wajumbe wasiachwe wachague wenyewe.