Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Imebidi nicheke.Kwani siku hizi kuna Chama hapo au kuna familia ya MTU?
Mwalimu aliko labda analia machozi, Mkapa na JK wanatoa macho hawaamini kinacho endelea.
Maana haiwezekani juhudi zote zile za kukipigania chama zimeishia kuwa mfukoni kwa MTU ambaye hajawahi kukipigania hata TANU youth league au UVCCM haijui
Mwaka huu wagombea urais kwa tiketi ya ccm ni nani na nani ?Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Mwita waitara lazima apotezwe. Atapewa ukuu Wa WilayaNimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Vigezo gani vinatumika Kuchuja?Mimi nafikiri watia nia wanachama kwanza wanachakuwa form,baada ya kutimiza masharti wanarudisha form.
Hayo majina ya watia nia yanayopelekwa ngazi ya juu,ambapo yanachujwa na kubakiza majina matatu.
Hayo majina matatu ndio yanapigiwa kura kumpata mmoja.
Power grip by Jiwe!Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Kamati kuu ikiongozwa na chairman wao Wana access ya intelligensia ya watu wote nchi hii, tofauti na mwanachama wa kawaida huko vijijini. Hii itasaidia kutowafanya watu wasiofaa(kama wahalifu au wasio raia) kuwa watunga Sera na sheria za nchi.Kwanini wachujwe kamati kuu baadala ya kupigiwa kura za maoni.
Hujakosea!Usipofikiri sana utashangilia.lakini hakuna jipya.Rushwa ndani ya ccm ngumu kuiondoa
Hapo si ndo vizuri ili upinzani upate chance ya kupita vizuri.Wapinzani wao waende kinyume waachie wananchi husika ndio waamue wamtakae wanaopendekezwa na wananchi then kamati kuu ipitishwe makubaliano ya wananchiNimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Mmiliki wa chama ndie mwenye maamuzi Nani atagombea Nani asigombee,Kama we si muimba kwaya katafute kazi zingine.Kama mwenye chama ndie muamuzi wa mwisho wahamiaji haramu wote ndani asilia wao waendelee kusugua mabenchi tu.Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Lengo kuu wahamiaji haramu wote wapite plus waimba kwaya wote ili mbele ya pesa kwao kila kitu ndioo huku wakishindana kuimba kwaya ili waje wapitishe maamuzi ya kubadili katiba boss wao atawale milele,maamuzi ya ujenzi wa ikulu dodoma si mtu wa kuondoka kesho Wala kesho is there to stay.Hao mamluki wachumia tumbo waroho wa madaraka, wasaliti, walionunuliwa kwa rushwa za mabilioni waliohamia kwenye CCM ndio watakaopendelewa na hiyo kamati. Ukweli hao watu majimboni hawatakiwi na wanachama asili wenye upendo na uchungu wa chama.
Mwisho wa siku JPM ataacha chama katika hali mbaya kwa atakayempokea kijiti, kwani hao watu ni kama mla nyama ya binadamu. Watahama tena kufuata maslahi
Ndio vizuri ili wananchi wawakatae wasiowachagua,mfano mwita wanapewa Wana ukonga mmtake mtamchagua msitake mtamchagua.Kwa nguvu ya umma wagombea wa upinzani wanakwenda kushinda Ila kwa nguvu ya polisi mshindi atatangazwa wa ccm.Chama kimenyang'anya mamlaka wanachama haki ya kuchaguliwa na haki ya kuchagua.
Uongozi wa kisiasa ni muhimu upitie michakato ya uchaguzi huru na za kidemokrasia.
Hii kama chaguzi zingekuwa huru wangepoteza wabunge wengi sana.Ndio vizuri ili wananchi wawakatae wasiowachagua,mfano mwita wanapewa Wana ukonga mmtake mtamchagua msitake mtamchagua.Kwa nguvu ya umma wagombea wa upinzani wanakwenda kushinda Ila kwa nguvu ya polisi mshindi atatangazwa wa ccm.