Kamati Kuu CCM: Matukio katika Picha - Aprili 28, 2021

Akili zako bado hujaenda kwa chakubanga kuzichukua?
 
Kwa upinzani huu wa kina mzee wa MIGA na wafuasiwake dizaini kama hawa bendera fuata upepo humu, ccm wata jinafasi sana kwenye nchi hii.
Mboe angemfunga breki za ulopokaji tundu asinge pata hasara kiasi hicho, nadhani anajuta sasaivi.

Mboe angecheza karatazake vizuri angepata wabunge angalau % 10 hivi, siaza zake kidogo zingeeleweka maana ni mstaarabu na mwenye busara kosalake ni kuwaamini machizi misifa wanaojifanya wajuaji.
 
Hujawah kumuona Ndugai!??
 
Bila shaka huko kote ulipopataja hapajui
 
Mbona hatuwaoni wakina bashiru na pole×2
Hapo
Pole×2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae

Ova
Hata jkm na krm siwaoni!
 
Kila la Heri Kamati Kuu, tunasubiri wakati mkutano mkuu umchague SSH kuwa Mwenyekiti wa sita wa CCM. Tuna imani na Mhe. Samia Suluhu Hassan, CCM Oyee!
 
Chadema wao kila mwaka wanaibiwaga kura tu. Tangu nianze kujitambua nasikia chadema wanaibiwa kura mpaka leo.[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…