Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Ccm ikiamua inashinda kibabe tu,ila sasa ndo hivyo tena askofu alishawakera watu wa dini pa kubwa,,,yan apo kawe kila mgombea ni shimo refu la moto majanga matupu si halima wala gwajinongo
 
Mkuu KUTATABHETAKULE , nimeipenda argument yako na especially ule mfano wa Dr. Jekyll and Mr. Hyde ni kazi ya Robert Louis Stevenson na ilikuwa sighted na Dr. Sigmund Freud, kwenye Me and I, na nilipiga madarasa ya Freud humu jf
Psychoanalysis: Superiority Complex ni Dalili ya Inferiority Complex!. Maneno Mafupi Vitendo Virefu.

Baada ya Saulo kugeuka Paulo, he could not return to Saulo, hivyo Gwajima Mbunge ni huyu Gwajima wa sasa na sio Gwajima yule wa zamani!.
p
 
Kamati kuu Wana Akili Sana kumpitisha Gwajima ,nimependa Sana maamuzi yao wamefanya kitu Cha kiakili kumpitisha Mtu mwenye Akili Gwajima
 
Binadamu wote ni viumbe dhaifu, kukosea ni kawaida. Kufuatia ukongwe na uzoefu wa CCM, CCM, haikukosea kumteua Askofu Gwajima, ndiye chaguo sahihi kwa maendeleo ya jimbo la Kawe.

P
Hawakutaki MaCCM,hata ukitembea bila nguo,hupati hata uteuzi wa afisa mtendaji,mbona hujtambui na wewe ni mtu mzima.
 
Kampeni za Gwajima anaruka ruka kama vile karogwa.

Mara azoe taka kwenye mitalo, ma ajipake mavumbi....yaani mradi tu ajifanye kama hamnazo
 
Mimi nadhani CCM hawategemei kupigiwa kura ili kupata ushindi ndio maana wakawa na uthubutu wa kumsimamisha chizi maarifa
 
Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.

Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.

Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
 
Gwajima ashapita,kwani ni lazima apite mdee kila chaguzi? This time round it will be messy!!
 
Hahaha labda usema halima ndo amekataliwa kwenye kampen Kawe tunamkubal Gwajima asilimia zote
 
Halima hana ujasiri wa kusalimiana na wananchi kama Gwajima anavyofanya kwa ufupi tu nasubiri anguko la Halima mdee 28 kawe tunakwenda na Gwajima.

 
Huwa wanajinadi kuwa watafanya uchakachuaji mkubwa lakini inasemekana Bashite na yeye yupo na furaha wanasaidia kumdhoofisha ingawa Bashite hampendi mdee lakini anamchukia Gwajima zaidi
CCM oyeeeeeee
Gwajima oyeeee kama alikuwa nafasi ya tatu na akateuliwa ujue hata huu ubunge lazima ashinde tu maana n haki yake kabsa haijalishi nani anamchukia au nan anampenda Gwajima kushinda n lazima.
 
CCM ya sasa tumekua viburi sana timepuuza maoni ya wananchi tunaangalia wenye pesa tu
Wananchi wapi CCM imetenda haki kabsa wananchi watatenda haki zaidi tar 28 ndo utajua kwann mkate n Mlaini kwenye chai
Gwajima juuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…