Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,070
Ccm ikiamua inashinda kibabe tu,ila sasa ndo hivyo tena askofu alishawakera watu wa dini pa kubwa,,,yan apo kawe kila mgombea ni shimo refu la moto majanga matupu si halima wala gwajinongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu KUTATABHETAKULE , nimeipenda argument yako na especially ule mfano wa Dr. Jekyll and Mr. Hyde ni kazi ya Robert Louis Stevenson na ilikuwa sighted na Dr. Sigmund Freud, kwenye Me and I, na nilipiga madarasa ya Freud humu jfNimekuekewa Paskali. Hapo ndio tunaingia kwenye sayansi ya "split personality". Rejea William Shakespeare, Dr. Jekyll and Mr. Hyde. Upande mmoja tunaye Gwaji ambaye ni Mtume Paulo na ule mwingine ni Saul. Hivyo unashauri tumchague Gwaji kama Mt. Paulo na tumwache Gwaji ambaye ni Saul. Tatizo linalojitokeza hapo ni lini utajua kwamba aliyepo leo ni Paulo na si Sauli ili watu waweze kumchagua. Ufumbuzi wake ni kuwaacha wote na si kucheza patapotea.
Hawakutaki MaCCM,hata ukitembea bila nguo,hupati hata uteuzi wa afisa mtendaji,mbona hujtambui na wewe ni mtu mzima.Binadamu wote ni viumbe dhaifu, kukosea ni kawaida. Kufuatia ukongwe na uzoefu wa CCM, CCM, haikukosea kumteua Askofu Gwajima, ndiye chaguo sahihi kwa maendeleo ya jimbo la Kawe.
P
Kampeni za Gwajima anaruka ruka kama vile karogwa.Heshima sana wanajamvi.
Tukubali tukatae CCM ni chama kikubwa,kikongwe,kina uzoefu katika medani ya siasa za Tanzania na wakati wa Mwl Nyerere kilikuwa na mitazamo iliyovuka mipaka ya Tanzania (Ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika) na pia masuala ya utangamano wa kikanda na hatimaye Afrika nzima.
Kutokana na ukongwe na ukubwa wake unabaki kushangaa ilikuwaje Askofu Gwajima jina lake likapitishwa na vikao vizito vya chama. Kamati kuu ilishindwa kupata ushahidi wa video za Askofu Gwajima akikashifu dini ya KiIslam, Catholic, Lutheran.Eti kwake yeye dini ya maana ni Assemblies of God.
Ipo Video najaribu kuiweka hapa kwa kweli inashangaza kama si kusikitisha.Askofu Gwajima badala ya kuhubiri/mafundisho ya imani yake kajikita zaidi katika kukashfu imani nyingine tena kwa maneno ambayo hata mimi naogopa kuandika hayafai yamekosa ustaarabu wa kiwango cha kutisha.Ni ajabu sana Askofu Gwajima bado anaoujasiri wa kupita mitaani bila aibu wala uoga wa kuomba kura jimbo la Kawe.
CCM imefanya makosa makubwa,tukubali na kujisahihisha mapema.
Mpaka sasa kanapiga mademu vibaya humo humo kwenye kampeni kamezoa wengi.Sikapendi hako kajamaa na tuhuma zake za kupora wake za watu. Yaani nimetokea tu kutokumpenda
Hahaha mtaongea mengi mwaka huu ila ndo hvyo kashawashindwa kotekote hvyo jpange upyaMpaka sasa kanapiga mademu vibaya humo humo kwenye kampeni kamezoa wengi
CCM oyeeeeeeeHuwa wanajinadi kuwa watafanya uchakachuaji mkubwa lakini inasemekana Bashite na yeye yupo na furaha wanasaidia kumdhoofisha ingawa Bashite hampendi mdee lakini anamchukia Gwajima zaidi
Wananchi wapi CCM imetenda haki kabsa wananchi watatenda haki zaidi tar 28 ndo utajua kwann mkate n Mlaini kwenye chaiCCM ya sasa tumekua viburi sana timepuuza maoni ya wananchi tunaangalia wenye pesa tu
Ni wivu tuuuuuSikapendi hako kajamaa na tuhuma zake za kupora wake za watu. Yaani nimetokea tu kutokumpenda