Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Iko wapi supporting document juu ya hili ulilobandika hapa?, No video hata picha tu imekushinda?
 
Hata Gaddafi na Mubaraka hawakuamini kuwa watatoondolewa madarakani mpaka yalipotimia.
Na ndo halima aamin mpaka leo kuwa ubunge kashashindwa Hahaha hyo research yenu ndogo isiwape matumain kuwa Gwajima atashindwa aise mtasubiri sana kwanza hamjifunzi kitu kama aliweza kuwa nafasi ya tatu ana akateuliwa ujue tu hata ubunge lazima ashinde mlishangilia alivyokuwa nafasi ya tatu na kuona kuwa ameshindwa sasa hata ubunge nao lazima ashinde tena sio kushinda tu bali kwa kishindo kikuuuu amin nakuambia
 
Mimi siwezi kua mbunge au waziri maana hivyo ni vyeo vidogo sana mbele ya Mungu,haleluyaaaaaaaaah-Gwajima.

Mimi Askofu Gwajima naomba unichague niwe mbunge wa Kawe-Gwajima.
 
Reactions: BAK
Itoshe tu kusema endeleen na porojo za mtandaoni huku hakuna wapiga kura kawe inasonga mbele kawe ya kijan na Gwajima yuko na kasi akiendelea na kampen zake mwaka huu kitaumana
 

Zingatia koma na nukta we kilaza.
 

Kawe tunakwenda na Gwajima
 
Uongo huo.
Halima MUST GO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…