Nyie mtakuwa waumini wa Gwajima kwenye kikanisa chake cha kukusanya pesa za watu.Na ndo halima aamin mpaka leo kuwa ubunge kashashindwa Hahaha hyo research yenu ndogo isiwape matumain kuwa Gwajima atashindwa aise mtasubiri sana kwanza hamjifunzi kitu kama aliweza kuwa nafasi ya tatu ana akateuliwa ujue tu hata ubunge lazima ashinde mlishangilia alivyokuwa nafasi ya tatu na kuona kuwa ameshindwa sasa hata ubunge nao lazima ashinde tena sio kushinda tu bali kwa kishindo kikuuuu amin nakuambia
Ndani ya wiki 5 zijazo tutajua kama walifanya makosa au walikuwa sahihi.Heshima sana wanajamvi.
CCM imefanya makosa makubwa,tukubali na kujisahihisha mapema.
Watu wameelimika na siyo ahadi za kuwapeleka Marekani na wakati waumini wake ni masikini wakutupwaNimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.
Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.
Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
Subiri th 28 dawa ikuingie vizuri.Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.
Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.
Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
Mwandiko ka wa madam Cocochannel 😀CCM oyeeeeeee
Gwajima oyeeee kama alikuwa nafasi ya tatu na akateuliwa ujue hata huu ubunge lazima ashinde tu maana n haki yake kabsa haijalishi nani anamchukia au nan anampenda Gwajima kushinda n lazima.
Hivi huyu mwenye shati la njano na tai ndo yule muimba injili?Halima hana ujasiri wa kusalimiana na wananchi kama Gwajima anavyofanya kwa ufupi tu nasubiri anguko la Halima mdee 28 kawe tunakwenda na Gwajima.
Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.
Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.
Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
ukilaza wako ulianzia chini sana sasa hivi umefikia grade 1,hongera kwa mafanikioUkweli n kwamba Gwajima anafaa ndo maana wanampinga sana hata Shetan anafahamu ilo kuwa kama
Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.
Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.
Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
Kwa hii clip huyu hafai kuwa mbunge hata siku mojaHeshima sana wanajamvi.
Tukubali tukatae CCM ni chama kikubwa,kikongwe,kina uzoefu katika medani ya siasa za Tanzania na wakati wa Mwl Nyerere kilikuwa na mitazamo iliyovuka mipaka ya Tanzania (Ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika) na pia masuala ya utangamano wa kikanda na hatimaye Afrika nzima.
Kutokana na ukongwe na ukubwa wake unabaki kushangaa ilikuwaje Askofu Gwajima jina lake likapitishwa na vikao vizito vya chama. Kamati kuu ilishindwa kupata ushahidi wa video za Askofu Gwajima akikashifu dini ya KiIslam, Catholic, Lutheran.Eti kwake yeye dini ya maana ni Assemblies of God.
Ipo Video najaribu kuiweka hapa kwa kweli inashangaza kama si kusikitisha.Askofu Gwajima badala ya kuhubiri/mafundisho ya imani yake kajikita zaidi katika kukashfu imani nyingine tena kwa maneno ambayo hata mimi naogopa kuandika hayafai yamekosa ustaarabu wa kiwango cha kutisha.Ni ajabu sana Askofu Gwajima bado anaoujasiri wa kupita mitaani bila aibu wala uoga wa kuomba kura jimbo la Kawe.
CCM imefanya makosa makubwa,tukubali na kujisahihisha mapema.
Waamuzi ni wapigakura. Waacheni tarehe 28 wachague wanayeona anawafaa.Kwa hii clip huyu hafai kuwa mbunge hata siku moja
Halima hana ujasiri wa kusalimiana na wananchi kama Gwajima anavyofanya kwa ufupi tu nasubiri anguko la Halima mdee 28 kawe tunakwenda na Gwajima.
Humjui Halima weweHalima hana ujasiri wa kusalimiana na wananchi kama Gwajima anavyofanya kwa ufupi tu nasubiri anguko la Halima mdee 28 kawe tunakwenda na Gwajima.
Unatka kusema leo Gwajima anaweza kukana hayo aliyoyasema?Binadamu wote ni viumbe dhaifu, kukosea ni kawaida. Kufuatia ukongwe na uzoefu wa CCM, CCM, haikukosea kumteua Askofu Gwajima, ndiye chaguo sahihi kwa maendeleo ya jimbo la Kawe.
P