Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kumbe mlidhamiria kabisa kutuua! Dah nyie Watu ni mashetaniAmesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”
Wewe si pro CCM? SijakusahauWakati wanaanzisha au pendekeza hizo tozo hawakujua Kama zitaumiza wananchi?
Vp zile kaul za wazir wa fedha tuhamie Burundi Wanasemaje ?
Nadhan tozo zilianzishwa na CHADEMA Bila shaka maana ndio chama tawala
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
waliopo Serikalini ndio hao hao Waliopo ccmCCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Na wananchi wanaolalamikia tozo ndiyo walishauri serikali iweke tozo!CCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Kaka Pascal naomba unisaidie Mwenyekiti wa Kamati kuu ni Nani?Asante kwa taarifa
P
waliopo Serikalini ndio hao hao Waliopo ccm
Waziri Mwigulu kasema Wananchi Walitaka TOZO
CCM inasema Serikali iwasikilize Wananchi
Kwani hii ni geni kwakoCCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Harufu lazima itakushinda itabidi ufunue shuka usoni !!"Unajampa huku umejifunika shuka"
Yaani Kamati kuu inayoongozwa na fulani imeilekeza serikali inayoongozwa na huyo huyo fulani. Kwa kifupi kajielekeza.
’Kama mtu anaukataa mkono wako na wewe kataa mkono wako kufanya mambo yake, ajifunze ajue mkono wako una thamani, haiwezekani mbele ya watu unatoa mkono anaukataa halafu unatoka kwenda ofisini unasema unasaini hapa hela ya huyu kwenda kutibiwa’:-JPM
Kujitekenya wajitekenye wenywe na kuche wacheke wenyewe.CCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.