Miaka4 ya utawala wake watu wa kaskazini alichoweza kutuletea ni kukarabati reli sijaona lingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeachiwa mjiandae kwenda kuipokea [emoji23][emoji23][emoji23]johnthebaptist, Hawajatoa mrejesho kuhusu bombardier yetu kule Canada?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nachompea Rais wetu anayaanyoosha hadi ma CCM menyewe yamebaki yanaimba nyimbo za pongezi huku yanatukana kimoyo moyo teh tehe tehe huu mwaka tumekamatika wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mtupu wa kale. Yaan kamati inaitishwa kwa ajili ya kupongezanaKamati kuu ya CCM imekutana jijini Mwanza na kuongozwa na Mwenyekiti wake Dr Magufuli.
Kamati kuu imempongeza Rais Magufuli na serikali yake kwa ujenzi wa miradi mikubwa inayoendelea nchini.
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kwa sasa hakuna kikwazo chochote kinachoweza kupunguza kasi ya chama na serikali yake katika kuwaletea maendeleo wananchi.
Dr Bashiru amewataka watanzania kuendelea kuwa na umoja huu tulionao sasa kwani umoja na amani iliyopo ndio vimewezesha kupatikana kwa haya maendeleo makubwa tunayoyashuhudia.
Source Uhuru
Maendeleo hayana vyama!
Ametumia Uhuru wake wa kikatiba kujieleza!Mzee Pinda, hahahahahhha
jamani!!!!
Na CCM imetumia sh.ngapi kuwanunua tujue kama tumepata faidaMwenyekiti wa CCM Dr Magufuli amewashukuru wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hichi kwa maamuzi mbalimbali waliyoyachukua katika kuleta mabadiliko.
Kwa mfano kamati ya kufuatilia mali za chama iliyoongozwa na Dr Bashiru iligundua ufisadi mkubwa kwenye mali za chama.
Baada ya kamati ya Dr Bashiru kumaliza kazi yake tumefanikiwa kurejesha mali nyingi mikononi mwa chama na kurekebisha baadhi ya mikataba ikiwemo ya Vodacom na jengo la HQ ya UVCCM.
Pia kituo cha habari cha Channel ten kimerejeshwa chamani.
Kwa sasa mapato ya CCM ni zaidi ya sh bilioni 59 kwa mwaka na thamani ya mali zake ni zaidi ya sh bilioni 900
Kadhalika Dr Magufuli amewapongeza wanaccm kwa kuwapokea wabunge na madiwani waliotokea upinzani kwani ujio wao umeiongezea ruzuku CCM kutoka sh bilioni 12 mwaka 2015/16 hadi zaidi ya sh bilioni 13 mwaka 2018/19
Dr. Magufuli anaihutubia NEC ya CCM jijini Mwanza muda huu na tukio liko mubashara Channel ten.
Mzee Pinda amesema japo katiba hairuhusu lakini kutokana na utendaji uliotukuka wa Rais Magufuli anamuomba Rais Magufuli atawale walau kwa miaka 15 badala ya ile 10 ya kikatiba.......japo anaamini kuwa Dr Magufuli hawezi kukubali.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama
sura mbovu mawazo mabovuMzee Pinda, hahahahahhha
jamani!!!!
CCM haifanyi biashara ya hasara!
viva jonhMwenyekiti wa CCM Dr Magufuli amewashukuru wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hichi kwa maamuzi mbalimbali waliyoyachukua katika kuleta mabadiliko.
Kwa mfano kamati ya kufuatilia mali za chama iliyoongozwa na Dr Bashiru iligundua ufisadi mkubwa kwenye mali za chama.
Baada ya kamati ya Dr Bashiru kumaliza kazi yake tumefanikiwa kurejesha mali nyingi mikononi mwa chama na kurekebisha baadhi ya mikataba ikiwemo ya Vodacom na jengo la HQ ya UVCCM.
Pia kituo cha habari cha Channel ten kimerejeshwa chamani.
Kwa sasa mapato ya CCM ni zaidi ya sh bilioni 59 kwa mwaka na thamani ya mali zake ni zaidi ya sh bilioni 900
Kadhalika Dr Magufuli amewapongeza wanaccm kwa kuwapokea wabunge na madiwani waliotokea upinzani kwani ujio wao umeiongezea ruzuku CCM kutoka sh bilioni 12 mwaka 2015/16 hadi zaidi ya sh bilioni 13 mwaka 2018/19
Dr. Magufuli anaihutubia NEC ya CCM jijini Mwanza muda huu na tukio liko mubashara Channel ten.
Mzee Pinda amesema japo katiba hairuhusu lakini kutokana na utendaji uliotukuka wa Rais Magufuli anamuomba Rais Magufuli atawale walau kwa miaka 15 badala ya ile 10 ya kikatiba.......japo anaamini kuwa Dr Magufuli hawezi kukubali.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama
Upuuzi uliotukuka-hata anayesema haya hayaamini ukimsikiliza maneno yake na kuangalia vitendo vyake.Maendeleo hayana vyama!
cc: Pascal MayallaWazee ni hazina kwa taifa..
Mzee Pinda katoa dira..Watanzania tumuunge mkono.
Kwa hakika watanzania tumebarikiwa sana
hakikaWazee ni hazina kwa taifa..
Mzee Pinda katoa dira..Watanzania tumuunge mkono.
Kwa hakika watanzania tumebarikiwa sana
Hii ndio sayansi ya siasa bwana mdogoPinda ni hovyo sana...kumbe CCM WAMENUNUA MADIWANI NA WABUNGE ILI KUONGEZA RUZUKU KWENYE CHAMA CHAO....CCM FANYENI BIASHARA SIASA ZIMEWASHINDA KABISAAAAAA
wanaume mnajisifu kununuliwa?!!!
Usichojua ni kuwa wananunuliwa kwa hela nyingi kuliko hiyo mnayodai ni nyongeza , wewe unafikiri kimbau mbau Chakubanga hadi kunenepesha shavu vile ni mchezo?Siasa ni kilimo
Acha Wabunge wa upinzani waendelee kupeleka mavuno ccm