WANAWAKE CHADEMA WAKOMALIA VITI MAALUM UBUNGE: WASEMA WAKO TAYARI KUVULIWA UANACHAMA WAKIWA BUNGENI
- Ni katika kikao kinachoendelea muda huu bahari beach Hotel
- Wanaume wawataka wanawake wa Viti Maalum kukataa Ubunge huo
- Halima Mdee na Esther Bulaya waongoza mgomo wa BAWACHA kutaka waingie bungeni
- Lissu acharuka, ataka wanawake hao wafutiwe uanachama, Mbowe asema michango yao ya fedha ni muhimu kusaidia kuimarisha Chama
- Hadi sasa mvutano ni mkubwa na kikao kinaendelea
- Ikumbukwe orodha ya Viti maalum vya ubunge ilipelekwa tume ya Uchaguzi siku 30 kabla ya Uchaguzi Mkuu.
- Orodha hiyo inaongozwa na Halima Mdee, Joyce Mukya na Esther Bulaya
- Nitaendelea kuwajuza hatima ta kikao
Wako,
Deo Meck, toka Bahari Beach, Dar es Salaam.