NAFIKIRE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 660
- 456
Chadema msidanganywe ...hao wanaowambia msusie watawapa fedha za ruzuku...hao kweli wanaweza kuwachangia hata milioni hamsini kila mwezi..akili za kuambiwa changanya na za kwako. Mimi ninawashauri msisuse..mtaumia zaidi..afadhili kushiba kwa masimango kuliko kufa kwa njaa..wenzenu cuf walisusia Zanzibar walipata Nini...Chadema, kujiimarisha na kujiporomosha vyote viko mikononi mwenu.
Bora kufa kishujaa kuliko kuishi ukiwa unamuabudu, unasujudu, na kumsifu nyapara jiwe
si mmeona mwendo umekuwa ule ule..na Sasa hivi wasusie pia...wataendelea kupoteana.. kikubwa Mimi naona ruzuku Ni muhimu kwenye kujenga chama...kwa kauli yenu ya chadema msingi.
Kikubwa tumuonge mkono mheshimiwa rais kuijenga Tanzania yetu..kwa upendo na amani..uchaguzi umeisha tuijenge nchi sasa