Uchaguzi 2020 Kamati Kuu ya CHADEMA msimtie huzuni Lissu, kukubali adhabu ya kinyonyaji maana yake ni kukubali hata jaribio la kuibiwa kura

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu ya CHADEMA msimtie huzuni Lissu, kukubali adhabu ya kinyonyaji maana yake ni kukubali hata jaribio la kuibiwa kura

Tulia wewe hujui kitu
Sio hajui kitu tuu, Bali ni mpuuzi pia. Tulingoja kwa muda mrefu kupata MTU aina ya Lissu atuongoze kudai haki zetu na sasa tumempata.
Makosa anayotuhumiwa nayo kiuhalisia sio makosa ya kumfungia kampeni wiki moja kati ya muda mchache wa wiki nane.
Ujinga ni kwenda tuu, Ila kurudi tunajua njia. Lissu msimamo wako ndio halisi
 
Ni mitaa gani hiyo Moto umechochewa...tunachoona sisi wengine kwenye mitaa mingi watu wanaendelea na shughuli zao wakisubiri hiyo oktoba 28...lakini labda mtaa wa mitandao ndiko tunaona baadhi wanafurukuta..
Ni ujinga kama unategemea hisia za watu uwaone wakifanya fujo mitaa kwa sasa.
Waambieni wafanye Yale waliyo zoea chaguzi za marudio waone moto
 
Unayajua matokeo ya kuifuta chadema?
Waulize kwanini wengi wao wanatii sheria za uchaguzi; kama NEC hawana rungu ilo?

OK labda kufuta CDM yote kushiriki uchaguzi might be extreme lakini matatizo ya Lissu adhabu zake CDM yote lazima iyabebe kwa namna moja au nyingine.
 
2015 CUF walisusia uchaguzi Zanzibar, na uchaguzi uliendelea kama kawaida. Hakuna wa kusimamisha uchaguzi eti kisa Lissu kaenguliwa.
2015 sio 2020. Hata hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa inajua kuiba na kupuliza sio hii ya kishamba inayidhani kuiba na ubabe itawasaidia.
Mtakamuliwa kinyesi safari hii
 
Ajaribu kukaidi alafu aone nini maana ya kuheshimu sheria za nchi.
 
No Retreat no Surrender!!

Hakuna ufedhuli utaachwa kimya mwaka huu.
Kureorg ngome inapokuwa inapigwa sio ujinga nyie shupazeni shingo mnajichimbia shimo wenyewe msiilaumu CCM.

Kwani hamuoni tuu CCM inakwenda kushinda huu uchaguzi kwa kishindo?

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
CHADEMA ishamshtukia Lissu ndio maana kina Mbowe wamejitenga na yeye.

Mbowe anajuta kumpa Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA maana chama linaenda kujifia October
Pumbavuuuu! Mmeshindwa kukiua miaka mitano mtaweza wiki tatu?
 
Mbona mi naona ashazunguka sehemu nyingi, Lowasa alikuwa hajui kuongea lakini alitafutiwa Kura na watu wengine hasa mke wake, Sasa yeye hizo siku saba apumuzike ana mengi ya kufanya na Wala hataonekana Kama looser, watu wanaojua umuhimu wa kura washajua nani watamchagua tangu kila chama kilivyonadi Sera zake huu muda uliobaki nimikakati tu na kushereheshana kwenye mitandao.
 
Watu wanasahau kwamba huko Uganda, Rwanda, Afrika ya Kati, Cameroon, Gabon na nchi nyingine nyingi zenye udikteta kote huko Kuna ukandamizaji wa haki za kiraia na kisiasa lkn dunia ipo kimya. ..
tuweni wa kweli utawala wa haki na sheria hautajengwa na mashinikizo ya mabeberu lazima ziwe juhudi za ndani ya nchi kutoka kwa wananchi wenyewe.
kamwe tusijidanganye kuwa ccm na taasisi zake watatenda haki kwa hiari hili haliwezekani na halitawezekana.
 
Kumpa pumzi CCM kwa siku 7 litakuwa kosa kubwa sana kwenye huu uchaguzi wa kihistoria.

Kukubali kutekeleza amri za kinyonyaji za NEC maana yake ni kipimo pia cha kukubali kuibiwa kura na kutokufanya chochote.

Naomba msimamie msimamo wenu wa 'Hatutakubali' na Lissu ameshasema jana, kwa mazingira ya sasa ambayo haki haipo, lazima NEC na CCM waelewe kwamba amani haitakuwepo na tunaanza sasa, kampeni ziendelee kesho na kinachotokea kitokee.

Huku mtaani moto umeshachochewa na kinachotakiwa ni moto uendelee kuchochewa hivyo hivyo ukizingatia zimebaki wiki tatu tu, kupoa kwa siku saba kutapooza sana huu moto tuliouwasha.

Ushauri wangu ni Lissu endelea na kampeni, liwalo na liwe, kama wanakuengua tuelewe kimoja, kwamba uchaguzi hautakuwepo, halafu sasa tuone kinachotokea.

Shetani na auawe ni dhambi kumpa pumzi shetani.
Mihemuko na akili chakavu.Wewe ni CHADEMA ambao inaelekea kabisa hamumtaki Lissu.Akiendelea na Jeuri inaweza ikaja adhabu mbaya zaidi ambayo muathirika atakuwa ni Lissu. CHADEMA ni taasisi kubwa itapata michubuko tu lakini itaendelea kuwepo na Mwenyekiti na viongozi wengine wataendelea kuwepo.Kutokana na michubuko ya CHADEMA itakayosababishwa na tabia mbaya ya mtu mmoja,wataanza kumchukulia hatua na hatma yake ni Lissu kufukuzwa CHADEMA.Kwa ushauritu,Lissu afuate taratibu na hatua zinazochukuliwa kwake.
 
CHADEMA ishamshtukia Lissu ndio maana kina Mbowe wamejitenga na yeye.

Mbowe anajuta kumpa Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA maana chama linaenda kujifia October
Nendeni mkamtibu babu yenu aliyekata pumzi
 
Kumpa pumzi CCM kwa siku 7 litakuwa kosa kubwa sana kwenye huu uchaguzi wa kihistoria.

Kukubali kutekeleza amri za kinyonyaji za NEC maana yake ni kipimo pia cha kukubali kuibiwa kura na kutokufanya chochote.

Naomba msimamie msimamo wenu wa 'Hatutakubali' na Lissu ameshasema jana, kwa mazingira ya sasa ambayo haki haipo, lazima NEC na CCM waelewe kwamba amani haitakuwepo na tunaanza sasa, kampeni ziendelee kesho na kinachotokea kitokee.

Huku mtaani moto umeshachochewa na kinachotakiwa ni moto uendelee kuchochewa hivyo hivyo ukizingatia zimebaki wiki tatu tu, kupoa kwa siku saba kutapooza sana huu moto tuliouwasha.

Ushauri wangu ni Lissu endelea na kampeni, liwalo na liwe, kama wanakuengua tuelewe kimoja, kwamba uchaguzi hautakuwepo, halafu sasa tuone kinachotokea.

Shetani na auawe ni dhambi kumpa pumzi shetani.
CCM wamejaza mabango peke yao nchi nzima ,wanajisifu wamefanya mambo makubwa sana lakini wana mgombea weak vibaya mno hawezi kufanya kampeni mfululizo for 7 days mmebaki kutumia polisi na NEC kumdhibiti Lissu Muda wa kukataliwa duniani na mbinguni umeshafika kwa Meko.
 
Ukweli ndio huo kasoro jpm lakini jopo loote linamshambulia sijui anaridhishwa nani
Ushauri tu.

Kuweni Makini, Msije mkawaletea matatizo hata wale wasio husika.

No one is above the Law.
 
Ni ujinga kama unategemea hisia za watu uwaone wakifanya fujo mitaa kwa sasa.
Waambieni wafanye Yale waliyo zoea chaguzi za marudio waone moto
Chakaza tusijipe faraja hewa tuanze na mchakato wa kurejesha wagombea wetu.

Naamini tukichukua hatua za wazi dhidi ya tume itarejesha wagombea na heshima itarejea.

Tusijivishe faraja hewa

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom