Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Watoto wao ni viongizi wa CDM? Maisha binafsi ya mtoto inamhusu nini mzazi? Wewe mjane akili ilishagakurukaga siku nyingi. Legacy fake itakutoa nyongo mwaka huu.
 
Usaliti ni jambo baya zaidi.

Kutorosha wake na watoto kwa Rushwa ya Ushoga ni hatari mno
Sasa mzungu akupe wewe mwafrica pesa ili ueneze ushoga wakati kila kitu unanunua kwao si angekuwekea tu humo ukala ukawa shoga mnakariri wapuuzi nyie
 
Sasa mzungu akupe wewe mwafrica pesa ili ueneze ushoga wakati kila kitu unanunua kwao si angekuwekea tu humo ukala ukawa shoga mnakariri wapuuzi nyie
Ndiyo maana wote walioficha watoto wao huko ni mashoga
 
Ndiyo maana wote walioficha watoto wao huko ni mashoga
Hata watoto wa MALECELA ni mashoga? Viongozi wote wa ccm watoto wao ni mashoga basi kama ni hivyo! Nitajie mtoto wa kiongozi japo mmoja anaesoma Nyarugusu sec.
Ushamba na athar za umasikini zinakusumbua wewe
 
Hata watoto wa MALECELA ni mashoga? Viongozi wote wa ccm watoto wao ni mashoga basi kama ni hivyo! Nitajie mtoto wa kiongozi japo mmoja anaesoma Nyarugusu sec.
Ushamba na athar za umasikini zinakusumbua wewe
Amemanisha viongozi wa Chadema ni mashoga
 
Ukiwa masikini alafu hauna exposure alafu ukawa huna elimu na unajifanya mjuaji ni tatizo kubwa sana
 
CCM wana majumba New York, Dubai n.k
 
 
Hata anaelewa basi? Yaani watu wasipeleke watoto wao kusoma kisa wataambiwa mashoga! Watz wote waliosoma sheria hajawaona yy yupo na lisu tu. Watt wa wana ccm wengine hata kiswahilo hawajui mtu punguani huyu
Jikite kwenye hoja
 
Hoja hapo ni bomoa bomoa mm nimezungumzia nn sasa? Baada ya comment hii wewe ndo utatoka kwenye hoja na kuanza kutukana watu mm situkani sijafunzwa hivyo
Amsterdam anatunza watoto wako na dereva?
 
Ulitaka wawe raia wa hapa Ili muwaue kama mlivyomuua Mawazo au Ben Saanane? Stupid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…