Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Kwakosa gani kama wamevuliwa uanachama??
Subiri uone semantics za kuwavua uongozi na kuazimia kuwavua uanachamaMkuu hata Kama ujui kusoma hata picha uoni WAMEVULIWA UANACHAMA WAO wana haki ya kukata Rufaa kwa taratibu za chama cha CDM
Nyumbu ni CCM kwani acha ufala ulizani ukiipakazia chadema unyumbu kienyeji unakwepa kuwa nyumbu, kutengeneza sinema za kuidhoofisha chadema ni unyumbu hata kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani ni unyumbu huo, nyumbu ni CCM hata Ndungai kuwanunua covid 19 ni unyumbu huoHahahahaha! Umepaniki mzee! Kwa hiyo CCM wakighushi wakawateua wajumbe wa halmashauri kuu ya Chadema wawe wabunge, nyumbu wakimbilie kwa vile wameitwa? Tena nyumbu wote walioitwa asiwepo hata mmoja wa kugoma? Halafu manyumbu mengine yaambiwe, imbeni kughushi, basi wao ni kuimba tu kughushiii, kughushiii (kwa sauti ya ndama wa nyumbu)
Dadeki. Nyumbu ni nyumbu tu!
umeishia darasa la ngapi ?Kwakosa gani kama wamevuliwa uanachama??
Lipumba huwaita INZIView attachment 1636344
Taarifa rasmi ya chama hiyo, nzi wa kijani nyie
Hv unajua maana ya Damage Control wewe? ilikuwa ni lazima afanye hvyo kwa maana amefanya risk assessment Mbowe si mjinga kama unavyodhani anajua kutapoa ndo Maana kafunga mlango kazima taa ndani then kafungua dirisha na kuwawashia tochi wale waliofukuzwa nje kuwa wanaweza pitia huku nyinyi bakini mnalinda mlango wenzenu wataingilia dirishani na watalala kitandani nyinyi mkiendelea kulinda mlango wasiingieduh mnaroho ngumu nyie kama paka yani bado tu hamtaki kuamini, okay tufanye hawajafukuzwa
Utofaut lazima uonekane tuu .... mpaka nataman Tuombe mdahalo(mechi ya kirafiki ugenini) bungeni na mashabiki wa maradonaMbowe ni kiongozi mstaarabu sana.
Bonge la khotuba kwa kutulia kabisa.
Covid 19 sasa ni madanga ya kisiasa huko CCM wapo busy kudanga kwa Ndungai mara kwa Mwanasheria mkuu wa CCM sasa watakuwa wabunge wa mahakamaccm siyo wabunge wa chadema tenaJUSTICE HAS BEEN SERVED, BORA WAONDOSHWE KAMA WATAKATA RUFAA WAKUBALI KUACHIA KOFIA MOJA, EITHER WAWE WABUNGWE WASALITI WA KUBEBWA NA CCM KWA MAGUMASHI AU WAWE WANACHAMA WATIIFU WAUACHIE UBUNGE.. IT'S EITHER OF THE TWO
Mkuu; bado siamini Mdee kunasa tundu bovu kiasi hiki...laahnenda kwenye tawi la Chadema lililo karibu nawe utapewa mwongozo
Siwa n nan???Hizi hela za wafadhili zimeipoteza kabisa serikali na chama, wamefanya mambo ya kitoto sana, unaapisha Bila Siwa
Ulitaka kunifanyaje dada? Tunaendelea kuwanyoosha sasa BAWACHA sasa haipo inabidi muanze upya! Huko siyo kunyooshwa huko?unajua siku zote nakuona duni sana sema jf ina sheria ngumu hasa kwa sisi waandamizi , ndio maana nakuacha tu
CDM chama la watu..tembea kifua mbele mkuuNajivunia kuwa chadema peoples
Unafurahi wakati saccos imesambaratika?Magonjwa Mtambuka
Ndugu zenu hao sasa muwapokee.