Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

AMA kweli maisha yanaenda kasi sana, Leo Ccm wanatetea wabunge wa Upinzani!!! Majuzi tu Hapa waliwapinga kwa nguvu zote na kupora viti vyote, Leo kweli!!!!!
 
Unadhani dhana ya CCM kuua upinzani wanatekeleza vipi?.

Leo naomba nikwambie kitu cha tofauti UPINZANI wa Tanzania ni SELF DESTRUCTION kwani asilimia 60% ya viongozi wa vyama hivi ni watu waliokosa nafasi CCM matokeo yake wanatumia vyama hivi kama grounds za kuonekana waitwe National team (CCM) hawana commitments wala hawako loyal kwa itikadi na siasa za vyama husika.
Leo Hii ni viongozi wachache sana wa upinzani wanaweza kupiga chini nafasi za uteuzi!
 
Hata hao mawakala wangekuwepo kwa yaliyofanyika nini kingebadilika?.Ndio maana watu wameona wapande ndege ili kubadili uwanja wa mapambano.

Grounds za siasa za Tanzania si kwamba CDM walikuwa hawazielewi.
Kuna mahali wamekosea this time na ndio maana matokeo yake kuwa mabaya zaidi kwa upande wao .
 
Yamkini ni kweli lakini hiyo 40% yatosha sana.
 
Akate rufaa na kuomba msamaha
 
Hii nzuri sana, ndio sababu siachi kumuamini huyu jamaa hata dakika moja, Viva.
 
Done, hongera sana Chadema...No One is bigger than the party
 
Akina halima na matiko watakuwa wamepiga pesa ndefu sana za maccm ila hata kama ningekuwa mimi ningekubali maana kama wanachama wanaambiwa waandamane barabarani wao wanaandamana mtandaoni wakiongozwa na jasusi fake Yericko Nyerere
Maandamano yalikuwa tarehe 2 lakini siku moja kabla Yaani tarehe 1 wewe na Polisiccm mkaanza vitisho kuwakamata viongozi wa chadema kwa uoga wenu, hapo waoga wa maandamano ni CCM
 
Sina chama ila bila kupepesa macho upinzani baaado sana, mkabisha. Views si kura jamani, mkabisha

Sasa mmeanza kulana wenyewe kwa wenyewe. Soon John na Tundu wataunga juhudi ndio mtapoita maji mma, labda maono yatawarudia.

Bye Felicia!
 
Hata wangezielewa kwa yaliyofanyika nini kingebadilika?

Wakati huu wangeweza kuwa na wabunge na madiwani wengi zaidi .
Presidential candidate shouldn’t have been their priority from the first place .
 
-"unaitwa mbele ya kamati kuu, unasema upewe muda wa kutafakari? wakati unakwenda kuapa mbona hukutafakari"-; Freeman Mbowe😂😂😂
Ila Wachagga kwa kweli naomba niwaheshimu kuanzia leo! Nyie ni vichwa hatari sana, yaani hata ukikuta Mchagga hajapiga shule vizuri utafikri ana ma PhD! Maamuzi yaliyofanywa na Mbowe na kamati yake ni uthibitisho wa akili kubwa! La kwetu pamoja na kwamba sisi tunajua siyo li Sukuma, linafanya mambo ya hovyo kabisa utafikri lipumbavu la wapi? Limeiba jura kura mpaka likajiibia sasa linahaha ovyo ovyo tu kuhadaa viongozi wa upinzani, shenzy typuni kabisa!
 
Sina chama ila bila kupepesa macho upinzani baaado sana, mkabisha. Views si kura jamani, mkabisha

Sasa mmeanza kulana wenyewe kwa wenyewe. Soon John na Tundu wataunga juhudi ndio mtapoita maji mma, labda maono yatawarudia.

Bye Felicia!
Hata CCM bado sana kuchukua pesa za walipa kodi kuwanunua covid 19 badala ya Maendeleo ni matumizi mabaya ya pesa za umma, CCM kulazimisha kupendwa kwa kutumia gharama kubwa pesa za walipa kodi
 
Wakati huu wangeweza kuwa na wabunge na madiwani wengi zaidi .
Presidential candidate shouldn’t have been their priority from the first place .
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Thanx CDM mmefanya KILE nilichotamani....MDEE NA WENZAKO RUDI MTUBU,OMBENI RADHI WATANZANIA....NDUGAI ANAWATUMIA,ATAWATUPA...NA MTAPOTEA....

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Ushabiki mwingi kuliko uelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babu yangu aliniambia kuwa nikiona mtu anajiitia "bilionea", "John D. Rockerfeller", "Bob Marley", Isaac Newton", basi nijuwe kuwa ni kinyume chake,leo nimeamini kupitia comments zako.
Wewe ni certified kilaza na mwenye DNA ya ujinga uliopindukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…