Nchi sio mtu nchi ni katiba aliondoka Nyerere na basic tunasonga. Maisha ni safarii ukifika kituo chako unashuka, uzuii gari kusonga mbele. Wewe kama ni mnufaika imeisha hio, amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu.Mpuuzi kwelikweli wewe, unadhani Wewe unaweza kuiziba nafasi ya JPM. Kama kuna anayefanana naye ndiye anayetufaaa. Aliyemfaa JPM huyo ndiye tunayemtaka na aliyemkataa JPM huyo hatumtaki
Wacha wewee. Hii nchi bora tugawane mbao walah siyi kwa dharau hiziNdio wenye nchi hao wengine wapiga domo tu
Si ndo aliondolewa kipindi kileeee?!!!.
Utaratibu ulikuwa mtu akimaliza vipindi vyake viwili vya uongozi, basi harusiwi kugombea tena.CAG baada ya kumaliza term yake haajiriki popote serikalini. Ndivyo utaratibu ulivyo.
Mmekutana ili mcheze ngoma ya CDM maana ndio waliowabana kutangaza kifo na Leo mmebanwa kuomboleza siku 21 wakati serikali chini mvunja katiba Samia imemnyima marehemu siku Saba zaidi kwa kutangaza siku 14 tu. Eti polepole anadhani akisema sambamba na tangazo la serikali ndio ataivalisha nguo. Hovyo kabisa
Mmmh!!! Mbona serikali yenyewe inasema 14CCM imetangaza siku 21 za maombolezo sawia na tangazo la serikali.
Mmmh!!! Mbona serikali yenyewe inasema 14
Hahahaaaa.......!BAK ni Bashiru Ali Kakurwa![emoji276]
Unachofanya hapa ni kuabudu. Ni ibada.Mpuuzi kwelikweli wewe, unadhani Wewe unaweza kuiziba nafasi ya JPM. Kama kuna anayefanana naye ndiye anayetufaaa. Aliyemfaa JPM huyo ndiye tunayemtaka na aliyemkataa JPM huyo hatumtaki
Sheria ya mazishi ya viongozi inasema kifo cha makamu wa rais akiwa yuko ofisini maombolezo ni siku 14 lakini kwa Rais aliyeko madarakani ni siku 21. Je, hayati Dr. Magufuli alikuwa makamu wa rais?Serikali wataomboleza siku 14.
CCM wao wataomboleza siku 21.
Hata hivyo HAINA MAANA YOYOTE
Bashiru haingii tena yeye kabaki na Makamu wa Rais,Mfukuzeni Bashiru ni kirusi, mabaki ya jiwe yote fukuza.
Kwa sasa hivi inabidi tu washauri wavae barakoa hatuna tatizo naoMuanze kuvaa barakoa sasa. Mkishupaza shingo shauri yenu
Tupo kwenye maombolezo, ni wapi pameandikwa siku 21? Hayo ni maamuzi yako na PolepoleSheria ya mazishi ya viongozi inasema kifo cha makamu wa rais akiwa yuko ofisini maombolezo ni siku 14 lakini kwa rais aliyeko madarakani ni siku 21. Je, hayati Dr Magufuli alikuwa makamu wa rais?
Kwanini siku hizi zilitengwa!?Sheria ya mazishi ya viongozi inasema kifo cha makamu wa rais akiwa yuko ofisini maombolezo ni siku 14 lakini kwa rais aliyeko madarakani ni siku 21. Je, hayati Dr Magufuli alikuwa makamu wa rais?
Sheria ya mazishi ya viongozi inasema kifo cha makamu wa rais akiwa yuko ofisini maombolezo ni siku 14 lakini kwa rais aliyeko madarakani ni siku 21. Je, hayati Dr Magufuli alikuwa makamu wa rais?
WeeeweeeeeeeeBashiru haingii tena yeye kabaki na Makamu wa Rais,
sema Kikao hicho wakaribishwe Wazee wa Chama km J Kikwete, A. Kinana, Mzee Yusuf Makamba ndipo jina litatoka zuri kuliko kumkaribisha Bashiru huenda ana majina.
ππππAcha kujitoa ufahamu wewe! Mie na huyo Mrundi wapi na wapi!? π³
CCM muwe makini. Msituletee tena mgonjwaBashiru haingii tena yeye kabaki na Makamu wa Rais,
sema Kikao hicho wakaribishwe Wazee wa Chama km J Kikwete, A. Kinana, Mzee Yusuf Makamba ndipo jina litatoka zuri kuliko kumkaribisha Bashiru huenda ana majina.