Nchi sio mtu nchi ni katiba aliondoka Nyerere na basic tunasonga. Maisha ni safarii ukifika kituo chako unashuka, uzuii gari kusonga mbele. Wewe kama ni mnufaika imeisha hio, amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu.Mpuuzi kwelikweli wewe, unadhani Wewe unaweza kuiziba nafasi ya JPM. Kama kuna anayefanana naye ndiye anayetufaaa. Aliyemfaa JPM huyo ndiye tunayemtaka na aliyemkataa JPM huyo hatumtaki