Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mapema sana kabla hata ya kikao.Vuai Nahodha mmemkata?
Jecha wamemkata inasemekana anatamani kujiunga na ACTHakuna kama Jecha!
Huenda katika wote vuai ndiye angefaa zaidiVuai Nahodha mmemkata?
Hiyo ndiyo ccmUtawala wa kifalme Zanzibar umeanza kunukia kwa mara nyingine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jecha wamemkata inasemekana anatamani kujiunga na ACT
Naona wamejichanganya kuweka walamba viatu wa Jiwe ambaye hakubaliki kabisa Zanzibar. Hapo CCM wakilazimisha ushindi lazima kikombe kijae nyekundu!
Imbhonelakule (Nimekuonea Mbali)
Kundi Lililomsumbua Hayati Nkurunziza
[emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji2][emoji2]
Zanzibar 2020 - Namba 27: Pereira Ame Silima amechukua fomu ya kugombea Urais Zanzibar kupita CCM1. Dr. Mwinyi
2. Perera
3. Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
uwekaji wa namba hizo ulizingatia vigezo gani ?1. Dr. Mwinyi
2. Perera
3. Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa