Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheheMimi sioni kama huo mkataba hata upo kweli maana sijauona kokote
Mkuu na TLS watu wazima wale waingize kama wale wa Maria space
huwajui mawakili wa kujitegemea wewe. tunajijua sisi wenyewe, tuache kama tulivyo.Mkuu na TLS watu wazima wale waingize kama wale wa Maria space
hao lazima wapigwe mpunga mrefuu na wataleta jibu linalowafurahisha waarabu. waarabu wanajua sana kumwaga pesa.
hao lazima wapigwe mpunga mrefuu na wataleta jibu linalowafurahisha waarabu. waarabu wanajua sana kumwaga pesa.
30. Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Chama Cha Mapinduzi kitahakikisha Serikali inachukua hatua ili Taifa liendelee kunufaika na fursa zake za kijiografia kwa kutekeleza yafuatayo🙁a) Kubuni na kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati ili Tanzania iweze kunufaika zaidi na fursa hiyo ya kijiografia; (b) Kuboresha na kuimarisha diplomasia ya kiuchumi kwa lengo la kudumisha uhusiano wenye tija kiuchumi na nchi zinazotuzunguka; (c) Kubuni mikakati itakayowezesha kuimarika kwa Jiji la Dar es Salaam kuwa kitovu cha biashara kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati; (d) Kubuni na kutekeleza mikakati itakayowezesha kuainisha maeneo yote ambayo yatakuwa na manufaa kiuchumi ili kuweza kuzitumia fursa hizo kwa ajili ya kukuza uchumi; na (e) Kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji na shughuli nyingine za lojistiki na uchukuzi ili Taifa letu liweze kutumia fursa za kijiografia ipasavyo.Ccm Kimya Wao Wanasema Wana Ilani Vp Hili La Bandari Lipo
EYote yatapita na Mwarabu atachukua bandari tutaishia kupiga zogo kwenye keyboard ,kuonyesha hasira zetu twende Kwa road watanzania
Me, sioni maigizo ila naona hekaheka zakusaka Ma VX-V8,,Michezo tu hii ya kuigiza
Huyo hawa sinare si dada yake na mwanaidi maaja ambaye ni rafiki ya na saa100 unategema nini hapoBARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.
Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne
Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni
Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),
Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),
Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.
====
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.
na ni mmojawapo wa wanasheria waliokuwepo REX ATTORNEYS, waleee wa mkataba wa richmond kama mnakumbuka.Huyo hawa sinare si dada yake na mwanaidi maaja ambaye ni rafiki ya na saa100 unategema nini hapo
Sio lazima waombe mkuuIna maana Serikali hawakuomba legal opinion kutoka TLS?
Mh