Kamati ya Amani yapiga marufuku Magufuli kuitwa "Mwendazake", Wametumia sheria gani?

Kamati ya Amani yapiga marufuku Magufuli kuitwa "Mwendazake", Wametumia sheria gani?

Kwahiyo ukimwita mwendazake unapelekwa mahakamani au? Shangazi wa taifa kaisha muita mwendazake hukohuko insta .
 
Mwandazake ni jina la sifa linalotumika kwa mwenye sifa hiyo sawa na baba, mama, mtoto, mjoli, mwali, binti nk.
Hawa wanaojiita viongozi wa amani ni lazima waonyeshe jinai iliyopo kwa jina mwendazake ili kuwezesha shtaka kama wanavyotaka.
Vinginevyo wakae kimya maana wao ndiyo wanao iondoa amani.
 
Hii kàmàti mbona ilikuwà kimya sana unafiki tu! Simamieni ukweli utawaweka huru! farisayo katika ubora wake
 
Kwahiyo ndo wakapendekezwa aitwe Hamnazo. Ila haya maisha haya!
 
Ni lini Tanzania iliwahi kuwa na mgogoro au sintofahamu yeyote hadi kuwepo kamati ya amani????!!!Je tumewahi tangaziwa kuhusu mgogoro au sintofaham yeyote hapa nchini?!!!Binafsi siitambui kamati hiyo!!!!
 
Kamati ya Amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.

Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.

Je, unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita Magufuli mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?

Credit Malisa GJ

Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Sasa ndio ametutuma tuendelee. Hili kanisa baada ya Jiwe kuamuru Lissu apigwe risasi wao walimpa tuzo ya kiongozi bora. Mbona hatukuwaingilia? Watuache na wasituingilie. Kama yeye alipata mgao toka kwa kazi ya Ole Sabaya aliyokuwa akitumwa na mwendazake aendelee kutafuna taratibu huku sisi tukiendelea kumkumbuka mwendazake kwa maovu yake
 
Hawa ni wa kuwapuuza kabisa, hawakukemea maovu waliyofanyiwa raia,walikuwa watu wa kupongeza tu,wamefikia hatua ya uvivu wa kuangalia kamusi
Uliwahi kusikia kiongozi wa hayo makanisa wanaita ya kipentekoste wakikemea maovu ya watawala? Makanisa yao yenyewe ni ya mfukoni mwa mtu na siyo taasisi, kwa hiyo wakikemea wanaogopa kuchokonolewa na serikali na kuziba ulaji wao. Makanisa gani hayana mifumo, hayana nyuma wala mbele. Makanisa yapo mawili tu Tanzania. nayo ni KKKT ya Dkt. Shao na Dkt. Bagonza na ROman Catholic ya Askofu Severine Niwemugizi. Wengine hawa ni matapeli tu, eti sijui Gwajima, Upako, Gamanywa, Kakobe, etc. Wezi wakubwa
 
Kamati ya Amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.

Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.

Je, unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita Magufuli mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?

Credit Malisa GJ

Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Ukute huyo Anayejiita Askofu katoka ile Kanda ya watu wabaya na wauaji wakubwa. Au aliolea nyumba moja na mwandazake. Akijisahau na yeye atakuwa Mwendazake siyo muda mrefu
 
Itapendeza sana, endapo wata focus kwenye mambo ya maana na muhimu...
 
Uliwahi kusikia kiongozi wa hayo makanisa wanaita ya kipentekoste wakikemea maovu ya watawala? Makanisa yao yenyewe ni ya mfukoni mwa mtu na siyo taasisi, kwa hiyo wakikemea wanaogopa kuchokonolewa na serikali na kuziba ulaji wao. Makanisa gani hayana mifumo, hayana nyuma wala mbele. Makanisa yapo mawili tu Tanzania. nayo ni KKKT ya Dkt. Shao na Dkt. Bagonza na ROman Catholic ya Askofu Severine Niwemugizi. Wengine hawa ni matapeli tu, eti sijui Gwajima, Upako, Gamanywa, Kakobe, etc. Wezi wakubwa
Basi tuacheni kumwita Mwendazake tuanze kumuita "Hamnazo". Maana jana kwenye TBC kipindi cha TAFAJURI yule presenter Shaban Kissu amemuita Hamnazo
 
Basi tuacheni kumwita Mwendazake tuanze kumuita "Hamnazo". Maana jana kwenye TBC kipindi cha TAFAJURI yule presenter Shaban Kissu amemuita Hamnazo
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Kwani hapo kwa wazo lako hili murua huyo yeye Askofu anasemaje?
 
Huyo askofu mpelekeeni demu au singomaza mmoja ,wampunguze uzito ,mana anaharibikiwa na dawa tunayo
 
Mwendazake inatishia usalama wa nchi
Alivyokua anaitwa Mungu ilikua haitishii sio
Hawa viongozi wa dini ifike mahali tuwape nao ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom