Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Jifunze kujenga hoja na siyo kukurupuka na kuropoka tu.Acha Undezi Dogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kujenga hoja na siyo kukurupuka na kuropoka tu.Acha Undezi Dogo.
Ningependa hata hivyo kukufahamisha ya kuwa hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu.
Kama ni hivyo kwanini mnakataa tume huru ya uchaguzi au katiba mpya?Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.hii ni kutokana na kuwa na sera nzuri zinazogusa maisha ya watu,pamoja na utekelezaji bora wa ilani yake ambao umekuwa ukibeba na kusheheni mambo na vitu vinavyogusa mahitaji ya watu na wakati. Tofauti na vyama vya upinzani kama CHADEMA havina hata uwezo wa kuandaa ilani ya uchaguzi
Halafu acheni visingizio vyenu ninyi.hivi mbowe kwa miaka yote alikuwa anapita kwa kutumia tume ipi ya uchaguzi? Hivi upinzani wa nchi hii kwaajili zenu mnafikiri mnaweza kupewa nchi hii kuongoza? Acheni kuota ndoto zenu za mchana.
Huelewi lugha wewe! "Hakuna ulazima" Maoni yametolewa wasiteuliwe na Rais! Hasa wateule wa Rais wasihusike!Kwa hiyo unataka nini ndugu yangu.maana hata hueleweki unataka nini.
Ninyi CHADEMA ndio mnapaswa kuelimishwa kuwa kule UN mlikokwenda siyo zinakotungwa sheria za nchi hii ikiwepo sheria za uchaguzi. Kwa hiyo muache kujazana ujinga ujinga ambao hauna msaada kwenu wala kuwasaidia chochote kile...unatakiwa umuelishe Mama Samia.
..muelimishe Mama Samia kwamba uwezo wa kushinda anao hata kama Tume itateuliwa na Joe Biden / Donald Trump.
..Muelimishe kwamba ujanja-ujanja wanaotaka kufanya utautia najis ushindi wake na wa chama chake.
..Tume Huru isimamie chaguzi zote.
Uwe na adabu wewe kwa viongozi. Huna ubavu wa kuamrisha chochote kile katika nchi hii. Inachotaka CCM Ndio hicho hicho kitakachofanyika na kutokea na wala huna cha kufanya. Hata ukisusa kushiriki uchaguzi bado uchaguzi utafanyika na CCM itaunda serikali na mambo yataendelea kama kawaida kwa CCM na Serikali yake kuwahudumia wananchi kwa nguvu kubwa.Huelewi lugha wewe! "Hakuna ulazima" Maoni yametolewa wasiteuliwe na Rais! Hasa wateule wa Rais wasihusike!
Halafu mpumbavu mmoja anakuja na lugha za dhihaka! "Hakuna ulazima". Yaani huyo mchezani anaweza kumteua referree mwingine anayemtaka!!
ninataka huyo bi maushungi asijihusishe popote na tume ya uchaguzi na hii isomeke hadi kwenye Katiba!
Sasa Kwanini mlikuwa mnaendelea kushiriki katika uchaguzi? Si mngekaa pembeni kupigania madai yenu.Hata huyo Mbowe alipokuwa anapita uliwahi kuona watu wameridhika na hizo chaguzi za kihayawani?
Nani kakataa .kwani tume iliyopo kwa sasa si ndio hiyo hiyo pia ilikuwa ikiwatangaza akina Lissu,Lema,Mbowe,sugu ,Heche,Mnyika n.k.kuwa ni washindi? Serikali ilitoa nafasi ya wote kwenda kutoa maoni juu ya maboresho ya sheria za uchaguzi,vyama vya siasa na tume ya uchaguzi.ba watu walitoa maoni yao na kamati kuyapokea .kwa hiyo tuendelee kusubiri na kufuatilia kinachoendelea katika bunge letu.Kama ni hivyo kwanini mnakataa tume huru ya uchaguzi au katiba mpya?
Sasa Kwanini mlikuwa mnaendelea kushiriki katika uchaguzi? Si mngekaa pembeni kupigania madai yenu.
Nani kakataa .kwani tume iliyopo kwa sasa si ndio hiyo hiyo pia ilikuwa ikiwatangaza akina Lissu,Lema,Mbowe,sugu ,Heche,Mnyika n.k.kuwa ni washindi? Serikali ilitoa nafasi ya wote kwenda kutoa maoni juu ya maboresho ya sheria za uchaguzi,vyama vya siasa na tume ya uchaguzi.ba watu walitoa maoni yao na kamati kuyapokea .kwa hiyo tuendelee kusubiri na kufuatilia kinachoendelea katika bunge letu.
Either....or"Isiwe lazima" maana yake nini? Kwamba wanaweza kusimamia au wasisimamie..
Kama CCM wanajua hao ndio waokozi wao, basi watasimamia hata kama sio lazima.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Basi unda bunge lako uwe unalifuatilia MwenyeweTufuatillie kinachoendelea kwenye bunge kibogoyo la majizi ya kura?
Basi unda bunge lako uwe unalifuatilia Mwenyewe
Wewe kama una uwezo unda bunge lako.Hilo la majizi hatuna mpango nalo.
Sina uwezo wa kuunda bunge la majizi.Wewe kama una uwezo unda bunge lako.
Hoja gani na Zezeta la Lumumba.Jifunze kujenga hoja na siyo kukurupuka na kuropoka tu.
Kadai ada yako tu. Zama hizi unatwambia itakachotaka XYZ? bila kujari hata Katiba?Uwe na adabu wewe kwa viongozi. Huna ubavu wa kuamrisha chochote kile katika nchi hii. Inachotaka CCM Ndio hicho hicho kitakachofanyika na kutokea na wala huna cha kufanya. Hata ukisusa kushiriki uchaguzi bado uchaguzi utafanyika na CCM itaunda serikali na mambo yataendelea kama kawaida kwa CCM na Serikali yake kuwahudumia wananchi kwa nguvu kubwa.
Wewe kweli bwege. Ni lini nilikuambia kuwa mimi ni mwanachama wa chama cha mtu yeyote? Chama changu mimi ni ukweli. Hicho ndicho chama changu milele. Mimi siyo chawa au kunguni kama ulivyo wewe. Ndiyo maana akili na fikra zangu, vyote vipo huru.Mbona CHADEMA katika mapendekezo yake ilisema vyama vya siasa vitoa watu watakao kwenda kuwa wajumbe wa tume ya Taifa ya uchaguzi? Sasa wewe hapa unasema huwataka.huoni unajihatarishia uanachama wako ndani ya Sacco's ya Mbowe?