#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Akili za watu wengine ni takataka kabisa mtu anagomea chanjo ukimwambia sababu ni nini atakuambia rais Jiwe alikataa ukimuuliza jiwe yuko wapi jibu ni hayati sasa hayati anakuwa vipi na walatii ya maisha yako jibu ni unatumiwa na madume ya mbuzi
Ok washawishi sasa kwanini unafikiri wanatakiwa kuchanjwa?
 
Akili za watu wengine ni takataka kabisa mtu anagomea chanjo ukimwambia sababu ni nini atakuambia rais Jiwe alikataa ukimuuliza jiwe yuko wapi jibu ni hayati sasa hayati anakuwa vipi na walatii ya maisha yako jibu ni unatumiwa na madume ya mbuzi
Nimeipenda post yako. Sisi wabongo ni shida sana. Mungu atuhurumie.
 
Chanjo siyo lazima mkuu, and kuna watu wabasafiri nje ya nchi, itafika kipindi condition itakuwa ni uwe umechanjwa, kama ilivyo manjano
Hoja dhaifu Sana watu wengi wanaounga mkono UShenZi huu wanatumia Alafu hizo chanjo mnazosema za polio je zimetengeneza kwamzaha Kama hizi chini ya mwaka 1 Alafu pia zimesababisha vifo na madhara makubwa Kama hizi pia zilipigwa nawatu Kama hizi???
 
Wamfuate Magufuli kaburini. Chanjo imetajwa kuwa ni hiyari hakuna anayelazimishwa

Ila haya majitu yasiyokuwa na elimu ni lawama kama vile yamelazimishwa
 
Ualimu Pasipo Elimu..... majaji wanateulwa kwa vile majaji hawatoshi, siyo kwa vile wana sifa. Ukion madaktari bingwa hawatoshi unachagua clinical officers, manesi kuwa madaktari bingwa
Miaka 60 baada ya kujitawala wenyewe.

Mambo haya hayakutakiwa ndiyo tuwe tunasumbuka nayo tena wakati huu!

Kuna haja ya kuifumua elimu yetu isukwe upya kabisa. Inatuangusha sana sasa.
 
Sawa basi na hio kamati ndo waanze kupata chanjo pamoja na Rais wao, na familia zao. Watanzania tumefunguka tayari mbona.
 
Awiii
IMG_8549.jpg
 
Mataifa makubwa yanatuonesha wazi hizi chanjo hazifai.ukiacha hoja nyingine zakisayansi Kama efficiency na
1.nguvu wanayotumia na mashinikizo mengi na vikwazo kwa wapingaji yaani anti vaxxx
2.Wanaleta chanjo expired kwa nchi za Afrika as if it is dumping place.
3.Madhara makubwa ya mda mfupi Kama kuganda damu.
4.hawajaweka wazi long time effects
 
Jopo lililobuniwa na Rais wa TZ linasema kwamba idadi ya watu walio na covid itangazwe na pia kwamba Malazy wadungwe chanjo.


 
Back
Top Bottom