Tetesi: Kamati ya maadili ya CCM yamuonya Makonda, yadaiwa baada ya ile hotuba yake matusi juu ya Rais wetu yalizidi kuzunguka mitandaoni maradufu

Baada ya ile hotuba,Mange ndo alifura. Ukweli Mange kamchukia sana Samia kisa alimchagua Makonda kuwa Mwenezi kisha mkuu wa mkoa.According to Mange ,Makonda hafai kupewa cheo chochote hata cha ukatibu kata.
Makonda hafai kuwa kiongozi,hana hekima
 
Makonda nae mwizi tu ana mahekalu Buswelu,igoma na Capripoint,huko dar sijui,magari yakifahari ndio usiseme
 
Matokeo ya kulilinda toto nunda.
Halijui liongee nini, kwa nani na wapi...!
Endeleeni kulilinda nunda, siku likinya hadharani mbele yao wataelewa.
 
Wewe ukipata chance hautajenga mahekalu?Come on ..
Jenga kwa pesa halali siio wizi,GSM alimkomesha alitaka kumtaoeli ghorofa GSM,kapora magari ya wauza unga kinguvu matakko yule
 
Kuna mawili, eitha hao mawaziri wanaolipa watukanaji mitandaoni wanaogopwa ndio maana hakuna aliyetajwa, aliyechukuliwa hatua au kuonywa. Pili, yawezekana imegundulika kuwa Makonda ni mropokaji tuu hakuna hao mawaziri lakini mropokaji huyo anaogopwa kuadhibiwa kwani kuna siri anayo nje ya jambo hili na ataropoka akiadhibiwa.
Siri zenu chafu CCM zitawatesa daima
 
Makonda nae mwizi tu ana mahekalu Buswelu,igoma na Capripoint,huko dar sijui,magari yakifahari ndio usiseme
Tangu lini mwizi awe kimbelembele kushutumu wezi. Wezi wenzake si watamuumbua. Huo ni uongo tu. Kama mtanzania yeyote makonda bila shaka ana mipango ya maendeleo yake binafsi halali. Wanachomkubali wananchi ni jinsi anajituma kushughulika na kero za wanyonge na wananchi wa kawaida.
 
Kuandika nini,angalia theme ya nilichoandika mimi mimi sijaambatanisha barua ya kamati ya maadili,nimeripoti tetesi zilizopo koridoni.
CCM na serikali hawakumtuma Makonda kuongea vile,yaani anezidi kumchafua Rais badala ya kumlinda asichafuke
Mkuu msamehe bure huyo ni msukule wa sisiemu
 
Hukusikia GSM alivyomuumbua kuwa alimdhulumu nyumba au we unaishi wapi mwezetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…