Hizi ndio akili za kipumbavu..!
Mizozo yote hii inayotokea ya viongozi kufisadi nchi zao na kuacha raia wakiishi katkika ufukara wa kutupwa, unyanyasaji na mauaji kwa wapinzani wa serikali dhalimu na watetezi wa haki za binadamu, magonjwa etc halafu unataka hao 'watasha' waidiscuss africa in a good way?
Utakuwa mgonjwa wewe.!
Hivi kizungu kina panda kweli, labda kama mjadala uliendeshwa kwa kisukumaNaisi mzee wa Chamwino kauangalia huu mjadala live. Kama hajaungalia Naomba atafute mtu amtafsirie. Yajayo yanafurahisha 😂😂😂
Kwani tuliwaomba!? Si walitupa wenyewe!? Sisi since day one Mambo ya Corona hatukuyataka kabisa,na ndiyo maana hata misaada ya Mask tuliikata,tukatumia za home made!!Ndio maana wamesema pesa zao lazima mzitolee maelezo ya kueleweka maana ni pesa za walipa kodi wa EU.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata ungepewa link usingeipata hadi utumie VPN ambayo CCM mmezuiwa.
Ni sawa na mtoto kumtukana baba baba hawezi acha timiza wajibu wakeHalafu tunawaita kuwa ni mabeberu![emoji1782]
Haya Baba ... sawaaaa !!!Mnajisumbua nyie vibaraka wa Tototundu! Kujuhakikishia kuwa JPM hawamuwezi, soma Gazeti la leo https://www.theglobeandmail.com/wor...n-election-and-arrests-of-opposition-leaders/
Canada criticizes Tanzanian election and arrests of opposition leaders, but won’t withdraw recognition
Kamanda uchwara umekalia kuchambua karanga kila siku.mataga punguza jazba.
Upuuzi mfanye nye halafu tunanyooshwa wote ,akili za nguruwe pori hiziWatanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako,ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo,vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...
Kama wapinzani walienda na kura fake kwenye vituo vya kupigia kura hiyo ni very serious crime,sasa kwa nini serekali haikuwachukulia hatua?Hizo kura inasemekana wapinzani walienda nazo kwenye vituo vya kupiga kura na kuleta fujo. Walijua wameshindwa.
Kalale mbele na shoga wako kwa sasa yuko ubelgiji anabinua kiunoKwa vyovyote itakavyo Kuwa wachumia tumbo na walio mshauri vibaya Rais ndio tutalala nao mbele. Hatuwezi teseka ilihali Tunajuwa Rais anawashauri
Kura feki wakati walizitengeneza na matukio waliyapanga lengo likiwa ni kuwafurahisha waliowatuma.Mpaka Leo najiuliza magufuli aliogopa nini kwenye uchaguzi mpaka kuchafua uchaguzi kiasi kile.?
Yaani Bora wale waliokamatwa na zile kura feki wangefunguliwa mashtaka.kidogo ingekuwa afadhali.lakini mnawalinda kwanini mnawalinda?
Ni mpumbavu wa kiwango cha daraja la kwanza ndiye anaweza kuona kuwa vitu hasi vinapaswa semwa na wapinzani.Haya ndiyo Mambo walitakiwa CDM itetee toka mwanzo! Lakini ikajisahau na Posho za Bunge pamoja na Ruzuku! Sasa wako nje eti ndiyo wanaanza kuona tena!!
Kama CCM wanaweza kufanya wenyewe, inamaana hakuna haja ya Upinzani Sasa!!Ina maana wabunge wa CCM kupunguza gharama wao hakuwahusu.
Leta wewe ukweli ulisemwa siyo unakata mauno hapaKwa nini usiseme ukweli uliosemwa, kwa nini unaeleza uongo kujifurahisha. Inaonekana hujui siasa za bunge la Ulaya. Kwa taarifa yako hakuna lolote litakalobadilika on the ground.
Amepanic achana naeLeta wewe ukweli ulisemwa siyo unakata mauno hapa
Kwa hiyo wwe unashauri Nchi tumpe NI YEYEEE!? Ndiyo Mambo yatakua Safi zaidi ya haya tulionayo!?Nikikuambia watu wanadaiwa kuwa ni "Wanyonge" ndio "wanaonyongwa" na Ndio mtaji wa Mwenye kupenda kutumia tabaka hilo kufanya yake kwa maslahi yake Utaidigest vipi?
Mtasubili ujinga wenu wakati nchi inasonga,Nimemsikia yule mwenyekiti wao akisema kwa ukali na kwa jazba "Violation of human rights in Tanzania is at downward spiral"!.....Msumari wa mwisho kwa Tanzania nafikiri ni Joe Biden.Biden huwa hana mchezo mchezo na mambo ya udikteta mchwara.