Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hizi ndio akili za kipumbavu..!
Mizozo yote hii inayotokea ya viongozi kufisadi nchi zao na kuacha raia wakiishi katkika ufukara wa kutupwa, unyanyasaji na mauaji kwa wapinzani wa serikali dhalimu na watetezi wa haki za binadamu, magonjwa etc halafu unataka hao 'watasha' waidiscuss africa in a good way?
Utakuwa mgonjwa wewe.!
Anatakiwa kulazwa icu kabisa