Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #321
Kama wewe ni huru ungeenda kutembeza bakuli kwao kudai unaomba hela za covid wakati umetangaza kuwa huna covid kilaza wewe??😂😂😂Sijaona hata kilichokufurahisha hapo! Tanzania ni nchi huru, tusipangiane vitu vyakufanya! Ukoloni ulikoma tarehe 9.12.1961!
Unaefurahia hayo, hutokuwa salama kabisa siku yakija mabaya!
Sisi wanyonge tunafurahia kuongezeka kwa fursa za biashara, na kutokusumbuliwa pale tu tunapokuwa tunaNikikuambia watu wanadaiwa kuwa ni "Wanyonge" ndio "wanaonyongwa" na Ndio mtaji wa Mwenye kupenda kutumia tabaka hilo kufanya yake kwa maslahi yake Utaidigest vipi?
Ndio maana walikamatwa na kuondolewa kwenye vituo, wakatumia ubinadamu na kuwaachia huru 😀Kama wapinzani walienda na kura fake kwenye vituo vya kupigia kura hiyo ni very serious crime,sasa kwa nini serekali haikuwachukulia hatua?
ARV za watu wa mjengoni ni Made in Spain na Italy....ghali sana na ndio maana haziletwi kwa msaada wa watu wa Marekani...shemeji yako na Baba Mkwe wako na mimi ndio tutaumia tunaotumia ARV made in India za bei ya chini!Tangu lini Dona kantri inalilia misaada? Tujiandae Tu maana wanywa ARV wengi wako mjengoni.
Rafiki mkubwa na mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania kwa sasa hivi eti ni Zimbabwe![emoji1782]Kokote zilikotoka haijalishi, nilichotaka ufahamu kwamba US na Ulaya kuzuia vijimisaada vyao si mwisho wa Tanzania kuendelea. Tanzania ina wadau wengi wa maendeleo. Akifunga mlango mmarekani kuna nchi zitafungua.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
EU sio Bunge duniaSasa wewe unaogopa nini?
Chapa kazi bwashee!
HahahahahahaRafiki mkubwa na mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania kwa sasa hivi eti ni Zimbabwe![emoji1782]
Hii ni wazi hata kwa mtoto wa chekechea sasa kuwa Tanzania inaongozwa na goigoi
Kuzirai kuhusu niniJiandae la ICC ndo mtazirai kabisa
Subiri. Halipo mbali, likija ndo utaelewa vizuriKuzirai kuhusu nini
Wazungu wanatulegeza kwa kutumia misaada. Marekani na Ulaya wanategemea mataifa mengine ku survive, wakiisusia Tanzania wanaacha nafasi kwa China na uturuki kunufaika, sio wajinga wa hivyo, wataleta tu hata kama sio kama EU lakini watakuja kama Ujerumani, Ubelgiji, ufaransa, uholanzi, uingereza, sweden, nk.Kokote zilikotoka haijalishi, nilichotaka ufahamu kwamba US na Ulaya kuzuia vijimisaada vyao si mwisho wa Tanzania kuendelea. Tanzania ina wadau wengi wa maendeleo. Akifunga mlango mmarekani kuna nchi zitafungua.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
China huyu mliyekamata bank yake Leo?? Au yupi???Wazungu wanatulegeza kwa kutumia misaada. Marekani na Ulaya wanategemea mataifa mengine ku survive, wakiisusia Tanzania wanaacha nafasi kwa China na uturuki kunufaika, sio wajinga wa hivyo, wataleta tu
Wachukue kwani bilioni 70 kitu gani?Fedha zaidi ya TZS billion 70 ambazo EU imeipa Tanzania katika kupambana na Corona ambayo serekali ilijinasibu haipo hadi kukataza watu kuvaa barakoa zipo wapi?Huu ni ufisadi wa karne na ufisadi wa kimataifa.Ufisadi across borders.Kwa mara ya kwanza tokea uhuru Tanzania imefanya ufisadi wa mabillion ya hela nje ya mipaka yake!
Mkuu unajua ICC inachunguza kesi za aina gani?
Then hawa jamaa hawajawahi kuidiscuss Africa in a positive way....haijawahi kutokea.......
Inawezekana kama nchi kuna mambo hayako sawa,ila kama jamii forum ninayoamini wengi ni watu wa kufuatilia mambo na kuyaelewa vizuri,ila kuendelea kushangilia na kufurahia nchi kusemwa vibaya,ukidhani ndiyo maisha yako yatakuwa bora ni kujidanganya tu.....
Mabadiliko yanaanza na sisi WaTz wenyewe,hakuna wakutusaidia maana kila mtu anaangalia maslahi yake
Kwa taarifa zako ni kwamba Tanzania kufuata masharti ya mabwana zenu ndiyo kuliua uchumi wa Tanzania. Wakati JK Nyerere Tanzania ilikuwa ni nchi ya viwanda kuliko sasa, tulikuwa na Tanganyika Packers Dar, Arusha na Shinyanga. Tulikuwa na textile industries Dar, Mwanza, Moro na Mbeya. Mikoa Mwanza na Shinyanga kila wilaya ilikuwa na cotton ginnery zaidi ya moja kwa ajili ya kusindika pamba. Bwana zenu zenu wakaja na sera za Structural Adjustment Program wakashinikiza ubinafsishaji wa mali za umma kwa private sector. Baada ya muda mfupi Bwana zenu waliua viwanda ajira zikapotea, viwanda vikageuka kuwa magodani.Sasa kwa taarifa yako jiandae. Wewe na hao mabwana zako. Mtajuta kuiba uchaguzi mwaka huu.
Eti Tanzania haijawai kuwalamba miguu wakati kila siku mbatembeza bakuli kwao kuomba hela za misaaada na mikopo.
Na jiandaeni kula jeuri yenu. Bado ICC sasa
kitu gani kiliwafanya mzitafune hamkuzirudisha ?Wachukue kwani bilioni 70 kitu gani?
Nilizani utasema tirioni kadhaa kumbe ni billioni?
Mbona wlikataa kutupa hiyo pesa kipindi caha corona na hatukufa kama walivyotaka?